-
Ujumbe wa Israel uliitembelea Sudan baada ya mapinduzi
Nov 03, 2021 04:13Ujumbe wa utawala wa Kizayuni wa Israel unaripotiwa kuitembelea Sudan kwa siri na kificho, muda mfupi baada ya kujiri mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jihad Islami yatishia kuingia katika vita vya moja kwa moja na Israel
Nov 03, 2021 00:03Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetangaza kuwa itaanzisha vita silaha vya moja kwa moja dhidi ya utawala haramu wa Israel, iwapo utawala huo utaendelea kuwanyanyasa na kuwakandamiza wafungwa wa Kipalestina.
-
Hamaki za Israel hata kwa “ripoti isiyo na dhamana” ya Baraza la Haki za Binadamu la Umioja wa Mataifa
Nov 02, 2021 22:58Kitendo cha mwakilishi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Gilad Erdan cha kurarua na kuchanachana kwa hasira ripoti ya Baraza la Haki za Binadamu la umoja huo kuhusu jinai za utawala huo huko Palestina kimeonyesha wazi kwamba, utawala huo hauwezi kuvumilia hata ripoti ambazo kimsingi “hazina dhama ya utekelezwaji wake”.
-
Saudia katika njia ya kuimarisha uhusiano wake na utawala dhalimu wa Israel
Oct 29, 2021 23:14Gazeti la Kizayuni la Globes linalochapishwa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mbavu - ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel - limeandika kuwa, kumefikiwa makubaliano mengi baina ya utawala wa Kizayuni na Saudi Arabia kwa mashinikizo ya nchi mbili za Kiarabu za Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Ravanchi:Baraza la Usalama liilazimishe Israel ihitimishe kuikalia kwa mabavu Golan
Oct 28, 2021 11:15Balozi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa Baraza la Usalama la umoja huo linalazimiika kutekeleze wajibu wake na kuulazimisha utawala wa Kizayuni wa Israel uache kuikalia kwa mabavu miinuko ya Golan na uvamizi dhidi ya Syria.
-
Wanawake 33 wa Kipalestina wanazuiliwa katika mazingira ya kutisha Israel
Oct 26, 2021 04:30Shirika moja huru la kutetea haki za binadamu limesema makumi ya wanawake wa Palestina wanashikiliwa katika mazingira ya kuogofya na yasiyo ya kibinadamu na vyombo vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika gereza la Damon.
-
Ndege ya kwanza ya moja kwa moja kutoka Saudia kutua Israel
Oct 25, 2021 07:47Kwa mara ya kwanza, ndege ya moja kwa moja kutoka Saudi Arabia inatazamiwa kutua usiku huu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mufti wa Comoro: Uvumi kuhusu kuanzishwa uhusiano na Israel hauna msingi
Oct 22, 2021 06:34Abubakr Abdallah Jamal al-Lail, Mufti wa visiwa vya Comoro amesema madai kuwa nchi hiyo ina nia ya kuanzisha uhusiano wa kawaida wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel hayana msingi wowote.
-
HAMAS yapongeza jitihada za kupokonywa Israel uanachama wa AU
Oct 18, 2021 00:23Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono jitihada zinazoendelea za kuupokonya utawala wa Kizayuni wa Israel kibali cha kuwa mwanachama mtazamaji wa Umoja wa Afrika (AU).
-
HAMAS yakosoa hatua ya Saudia ya kuusifu utawala haramu wa Israel
Oct 17, 2021 08:56Moussa Abu Marzouk, mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa vikali matamshi ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia na kueleza kwamba, hakuna wakati wowote ule ambao Israel ilikuwa sababu ya amani na uthabiti Asia Magharibi na wala hakuna wakati itakuwa hivyo.