-
Wabahrain waendeleza maandamano ya kupinga uhusiano na Israel
Oct 15, 2021 00:49Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
OIC yalaani hatua ya Israel kubomoa makuburi ya Wapalestina Quds
Oct 13, 2021 09:26Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imelaani vikali kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kubomoa makaburi ya Waislamu katika mji wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Iran: Hatutaruhusu uwepo wa Israel karibu na mipaka yetu
Oct 11, 2021 04:44Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu katu haitaruhusu uwepo wa utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na mipaka yake.
-
Jeshi la Syria latungua makombora ya utawala haramu wa Israeli
Oct 10, 2021 04:17Mfumo wa ngao ya makombora wa Syria umefanikiwa kutungua aghalabu ya makombora ya Israeli yaliyokuwa yamevurumishwa kuelekea kwenye mkoa wa Homs, katikati mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Abbas akutana na mawaziri wa Israel usiku wa manane Ramallah
Oct 04, 2021 08:07Mamhoumd Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amekutana na kufanya mazungumzo na mawaziri wawili wa utawala haramu wa Israel mjini Ramallah, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Shirika la ujasusi la Kizayuni lafungua ofisi yake ya uwakilishi Abu Dhabi, UAE
Oct 01, 2021 09:59Duru za habari zimeripoti kuwa, shirika moja la kizayuni linalotengeneza vifaa vya intaneti vya ujasusi limefungua ofisi yake mjini Abu Dhabi, katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
-
Khatibzadeh: Kuikaribisha Israel eneo la Ghuba ya Uajemi kunavuruga amani
Oct 01, 2021 04:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa, aina yoyote ya kuandaa mazingira ya kuwepo Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi inatazidisha machafuko na mivutano katika eneo hilo na kunapaswa kulaaniwa.
-
Kukiri Israel udhaifu wa "Ngao ya Chuma" na kutoweza kwake kujilinda na makombora ya Wapalestina
Sep 30, 2021 09:12Kamanda wa ulinzi wa anga wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kwamba, mfumo wa kujilinda na mashambulizi ya makombora uliopachikwa jina la "Ngao ya Chuma" hauwezi kudhamini usalama wa utawala huo mbele ya vipigo vya makombora kutoka kwa wanamuqawama wa Palestina.
-
Leba yawa chama cha kwanza Ulaya kuitambua Israel kuwa ni utawala wa kibaguzi wa Apathaidi
Sep 27, 2021 13:19Mkutano mkuu wa chama cha Leba nchini Uingereza umepigia kura na kupitisha hoja ya kuitambua Israel kuwa ni utawala unaotenda jinai ya ubaguzi wa Apathaidi, na kukifanya kuwa chama cha kwanza kikubwa cha siasa barani Ulaya kuchukua msimamo huo dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni.
-
Sudan: Hakuna ishara zozote za kuboreka uhusiano wetu na Israel
Sep 27, 2021 09:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amesema kuwa, miezi 11 imepita tangu nchi yake itangaze kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel lakini hakuna ishara zozote za kuboreka uhusiano wa pande mbili kama ambavyo hakuna pia mazungumzo yoyote rasmi baina yao.