Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Hamas: Tumetoa pigo kubwa kwa nadharia ya usalama wa Israel

    Hamas: Tumetoa pigo kubwa kwa nadharia ya usalama wa Israel

    Jun 11, 2021 23:42

    Mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema katika mapambano ya siku 12 hivi karibuni, harakati za ukombozi wa Palestina zimetoa pigo kubwa kwa nadharia ya usalama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambayo imejengeka kwa msingi kuwa utawala huo una uwezo zaidi ya wote katika eneo.

  • Hamas yapongeza mapambano ya jana ya Wapalestina dhidi ya Wazayuni huko Jenin

    Hamas yapongeza mapambano ya jana ya Wapalestina dhidi ya Wazayuni huko Jenin

    Jun 10, 2021 21:42

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amepongeza mapambano ya jana ya askari usalama wa Palestina dhidi ya wanajeshi wa utawala vamizi wa Israel kwenye Ukingo wa Magharibi na kuyataja kuwa ni hatua ya kishujaa.

  • Maafisa usalama 3 wa Palestina wauawa shahidi na jeshi la Israel

    Maafisa usalama 3 wa Palestina wauawa shahidi na jeshi la Israel

    Jun 10, 2021 07:54

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limevamia mji wa Jenin ulioko kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuua shahidi maafisa usalama watatu wa Palestina.

  • Kampuni ya Israel yaiuzia Saudia teknolojia ya ujasusi

    Kampuni ya Israel yaiuzia Saudia teknolojia ya ujasusi

    Jun 09, 2021 03:46

    Shirika moja la ujasusi wa mitandaoni la utawala wa Kizayuni wa Israel limeuuzia utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia teknoljia ya kisasa ya kufanya ujasusi na kudukua mawasiliano ya simu-erevu za rununu.

  • Makala inayofichua nafasi ya Israel katika vita dhidi ya Yemen kurushwa hewani

    Makala inayofichua nafasi ya Israel katika vita dhidi ya Yemen kurushwa hewani

    Jun 09, 2021 03:46

    Msemaji wa Vikosi vya Yemen amesema makala tarishi ya kufichua nafsi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita dhidi ya Yemen vilivyoanza tokea Machi 25 mwaka 2015 itarushwa karibuni hivi.

  • Israel yabomoa makumi ya nyumba za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Israel yabomoa makumi ya nyumba za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jun 08, 2021 03:40

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limebomoa madazeni ya nyumba za Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Mwaka wa 54 wa kumbukumbu ya Siku ya Naksa; kuanzia ushindi mkabala na nchi tatu za Kiarabu hadi kushindwa katika vita vya siku 12

    Mwaka wa 54 wa kumbukumbu ya Siku ya Naksa; kuanzia ushindi mkabala na nchi tatu za Kiarabu hadi kushindwa katika vita vya siku 12

    Jun 06, 2021 22:02

    Jumamosi tarehe 5 Juni ilisadifiana na maadhimisho ya mwaka wa 54 wa kumbukumbu ya Siku ya Naksa huko Palestina.

  • Baada ya kuchezea kipigo cha Wapalestina Gaza, Israel iliiomba Marekani iingilie kati

    Baada ya kuchezea kipigo cha Wapalestina Gaza, Israel iliiomba Marekani iingilie kati

    Jun 05, 2021 22:01

    Gazeti moja la Kizayuni limefichua kuwa, utawala haramu wa Israel uliiangukia miguuni Marekani ukiitaka iingilie kati na ishinikize kusitishwa mapigano baina ya utawala huo pandikizi na makundi ya muqawama ya Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi za mwaka 1948

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi za mwaka 1948

    Jun 04, 2021 21:58

    Katika ripoti yake mpya, Umoja wa Mataifa umefichua jinai mpya kadhaa zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel tangu mwaka 1948.

  • HAMAS: Mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza unaelekea kuvunjika

    HAMAS: Mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza unaelekea kuvunjika

    Jun 01, 2021 03:26

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema wananchi wa Palestina wamekaribia sana kuuvunja mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza uliowekwa na utawala wa Kizayuni tokea mwaka 2007.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS