-
Kufunguliwa ubalozi wa Imarati huko Tel Aviv, pongezi kwa Israel kwa mauaji yake dhidi ya watoto wa Gaza
May 31, 2021 07:21Serikali ya Imarati jana tarehe 30 Mei ilifungua rasmi ubalozi wake mjini Tel Aviv.
-
Brigedia Jenerali Qaani: Wazayuni waondoke mara moja katika ardhi za Wapalestina
May 29, 2021 08:02Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema wakati umefika kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuondoka katika ardhi za Wapalestina unaozikalia kwa mabavu haraka iwezekanavyo.
-
Ripoti ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN kuhusu jinai za Israel katika vita vya Gaza
May 28, 2021 22:32Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Alkhamisi wiki hii alitoa ripoti yake kuhusu vita vya siku 12 vya Israel na mashambulizi ya kikatili ya utawala huo dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel
May 28, 2021 08:01Wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani na ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Jakarta kulalamikia na kulaani uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala haramu wa Israel.
-
Iran: Kinga ya kutoshitakiwa viongozi wa Israel barani Ulaya haipaswi kuendelea
May 27, 2021 22:18Ofisi ya Uwakilishi ya Iran katika Umoja wa Ulaya imetuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter na kusema kuwa, kinga ya kutoshitakiwa viongozi wa Israel wanaotenda jinai kubwa za kinyama dhidi ya watu wasio na hatia, haipaswi kuachiwa iendelee.
-
Baada ya kudhalilishwa Gaza, Israel sasa yaitishia vita Lebanon
May 27, 2021 03:20Baada ya kudhalilishwa na kushindwa vibaya na kambi ya muqawama katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, utawala wa Kizayuni wa Israel sasa unatishia kuishambulia kijeshi Lebanon.
-
Maprofesa wa Iran wataka kuhitimishwa jinai za utawala wa Kizayuni
May 26, 2021 23:07Maprofesa wa Vyuo Vikuu vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametoa mwito wa kuhitimishwa mara moja jinai zote zinazofanywa na wanajeshi wa utawala haramu wa Israel na walowezi wa Kizayuni dhidi wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Baraza la Haki za Binadamu la UN leo linajadili mpango wa kuundwa tume ya kuchunguza jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
May 26, 2021 21:49Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limepokea muswada unaotaka kuundwa tume ya kimataifa itakayochunguza jinai na uhalifu uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Ufaransa yakiri kuhusu utambulisho wa kigaidi wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina
May 25, 2021 06:03Jumapili iliyopita Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa aliashiria hujuma ya kinyama iliyofanywa karibuni na utawala haramu wa Israel katika miji kadhaa ya Waarabu katika ardhi unazozikalia kwa mabavu na kutahadharisha dhidi ya ubaguzi wa rangi unaotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina.
-
Msemaji wa Brigedi za al Qassam: Ushindi katika vita vya Saif al Quds ni natija ya damu za mashahidi
May 25, 2021 03:23Msemaji wa Brigedi za al Qassam ambazo ni tawi la kijeshi la harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, ushindi katika vita vya Saif al Quds ni matokeo ya damu za mashahidi na yenye baraka yanayotokana na utendaji mzuri wa wapiganaji wao katika chumba cha pamoja cha makundi ya muqawama.