Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia

    Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia

    Jul 17, 2025 11:04

    Meja Jenerali Mohammad Pakpour, Kamanda wa Vikosi vya Ardhini vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ametangaza kwamba majeshi ya Iran yamejipanga kikamilifu kushambulia tena, akiwaonya maadui kwamba uchokozi wowote ujao utakabiliwa na jibu la haraka, na kuendeleza vita hivyo pale vilipoishia.

  • Ansarullah yapiga kwa kombora, droni maeneo hasasi ya Israel

    Ansarullah yapiga kwa kombora, droni maeneo hasasi ya Israel

    Jul 17, 2025 01:09

    Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen vimeshambulia maeneo matatu nyeti ya Israel kwa kombora la balestiki na ndege nne zisizo na rubani, baada ya kuulazimisha utawala huo ghasibu kutangaza kufungwa kwa moja ya bandari zake muhimu.

  • Mabomu ni ghali, risasi ni bei nafuu! Mkakati wa Marekani na Israel wa kuwaua Wapalestina katika safu za chakula

    Mabomu ni ghali, risasi ni bei nafuu! Mkakati wa Marekani na Israel wa kuwaua Wapalestina katika safu za chakula

    Jul 16, 2025 13:20

    Katika mwezi wa 23 wa Vita vya Gaza, ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza kwa ukatili na unyama wa hali ya juu na kwa kutumia silaha ya njaa, sasa utawala huo umebuni mbinu mpya kwa ajili ya kile kinachojulikana kama 'mauaji ya bei nafuu' ya wakazi wa Gaza.

  • Kamanda wa ulinzi wa anga wa Israel abadilishwa kutokana na kipigo cha makombora cha Iran

    Kamanda wa ulinzi wa anga wa Israel abadilishwa kutokana na kipigo cha makombora cha Iran

    Jul 16, 2025 10:22

    Kamanda wa kikosi cha ulinzi wa anga cha jeshi la Israel amebadilishwa kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya makombora ya Iran yaliyolenga maeneo ya Palaestina yanayokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • "Marubani 30 wa Israel waliuawa katika operesheni ya kulipiza kisasi ya Iran"

    Jul 16, 2025 07:29

    Balozi wa zamani wa Iran nchini Iraq amefichua kuwa, marubani 30 wa Israel waliuawa wakati wa moja ya operesheni za kulipiza kisasi za Iran katika vita vya siku 12, akisisitiza kuwa hili lilikuwa pigo kubwa kwa utawala wa Kizayuni.

  • Wanajeshi wengine 4 wa Israel waangamizwa katika mashambulizi tofauti Gaza

    Wanajeshi wengine 4 wa Israel waangamizwa katika mashambulizi tofauti Gaza

    Jul 14, 2025 12:30

    Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti habari ya kuangamizwa wanajeshi wanne wa Kizayuni katika mashambulizi tofauti katika Ukanda wa Gaza jana Jumatatu.

  • Waliouawa shahidi Ghaza wapindukia 58,000, Israel yaendeleza mashambulizi ya kinyama bila ya khofu

    Waliouawa shahidi Ghaza wapindukia 58,000, Israel yaendeleza mashambulizi ya kinyama bila ya khofu

    Jul 14, 2025 00:38

    Wapalestina wasiopungua 58,026 wameshuawa shahidi katika vita vya kinyama na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza tangu Oktoba 2023.

  • Olmert: Walowezi haramu wanafanya 'uhalifu wa kivita' Ufukwe Magharibi kwa uungaji mkono wa utawala

    Olmert: Walowezi haramu wanafanya 'uhalifu wa kivita' Ufukwe Magharibi kwa uungaji mkono wa utawala

    Jul 13, 2025 14:03

    Waziri mkuu wa zamani wa utawala wa kizayuni Israel Ehud Olmert amekiri kuwa walowezi haramu wa kizayuni wamekuwa wakifanya "uhalifu wa kivita" kila leo dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huku wakilindwa na utawala wa Tel Aviv.

  • Mabalozi wa nchi 28 wakagua jengo la IRIB lililoshambuliwa na jeshi la kizayuni

    Mabalozi wa nchi 28 wakagua jengo la IRIB lililoshambuliwa na jeshi la kizayuni

    Jul 13, 2025 12:10

    Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, amewapokea mabalozi wanaowakilisha nchi 28 hapa mjini Tehran waliofanya ziara ya kukagua moja ya majengo ya IRIB lililolengwa na shambulio la kigaidi la jeshi la utawala wa kizayuni Israel mwezi uliopita.

  • Wabunge wa Iran waandaa muswada wa kuimarisha vikosi vya ulinzi kwa vita kamili na Israel

    Wabunge wa Iran waandaa muswada wa kuimarisha vikosi vya ulinzi kwa vita kamili na Israel

    Jul 13, 2025 10:46

    Wabunge wa Iran wamo mbioni kuandaa mswada wa kuongeza bajeti ya matumizi ya kijeshi kwa lengo la kuviimarisha Vikosi vya Ulinzi kwa ajili ya makabiliano ya kijeshi ya pande zote na utawala haramu wa kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS