• Yemen yaiwekea mzingiro Bandari ya Haifa ili kuiunga mkono Palestina

    Yemen yaiwekea mzingiro Bandari ya Haifa ili kuiunga mkono Palestina

    May 20, 2025 22:56

    Yemen imetangaza habari ya kuifunga Bandari ya Haifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel, ili kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kujibu mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Israel

    China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Israel

    May 19, 2025 03:55

    China imewapa tahadhari raia wake dhidi ya kusafiri kwenda katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni na kupachikwa jina bandia la Israel kutokana na kile inachokitaja kuwa sababu za kiusalama.

  • Israel imewaua wanahabari 219 wa Palestina Gaza ndani ya miezi 19

    Israel imewaua wanahabari 219 wa Palestina Gaza ndani ya miezi 19

    May 19, 2025 03:37

    Maafisa wa Palestina wamesema kuwa, wanajeshi wa Israel wamewauwa shahidi takriban waandishi wa habari 219 na wafanyakazi wa vyombo vya habari tangu vita vya mauaji ya halaiki vya utawala huo kuanza katika Ukanda wa Gaza zaidi ya miezi 19 iliyopita.

  • Ansarullah: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya makombora

    Ansarullah: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya makombora

    May 17, 2025 23:44

    Kwa mara nyingine tena Harakati ya Muqawama ya Ansarullah imevurumisha kombora la balestiki kutoka Yemen na kupelekea sauti za ving'ora kuhanikiza katika maeneo mengi katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu ikiwemo miji mikubwa, mbali na kuibua miripuko kadhaa.

  • Hamas: Witkoff aliahidi kuondoa mzingiro wa Gaza mkabala wa kuachiwa Edan Alexander

    Hamas: Witkoff aliahidi kuondoa mzingiro wa Gaza mkabala wa kuachiwa Edan Alexander

    May 17, 2025 06:57

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, mjumbe maalumu wa Marekani Steve Witkoff alilihakikishia kundi hilo la Muqawama la Palestina kwamba, Washington itaishinikiza Israel kukomesha mzingiro wa Gaza na kuruhusu ufikishaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya siku mbili baada ya kumwachilia huru mwanajeshi wa Israel, Edan Alexander, raia wa Marekani.

  • Shambulio la 3 la kombora la hypersonic la Yemen dhidi ya Ben Gurion

    Shambulio la 3 la kombora la hypersonic la Yemen dhidi ya Ben Gurion

    May 14, 2025 08:01

    Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen wamefanya shambulio jipya la kombora la hypersonic dhidi ya utawala haramu wa Israel na kupelekea sauti za ving'ora vya tahadhari kuhanikiza katika sehemu ya kaskazini ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo pandikizi.

  • Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    May 13, 2025 23:17

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya hivi karibuni ya anga dhidi ya kambi za wakimbizi wa Kipalestina yaliyofanywa na utawala ghasibu wa Israel na kusababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya Wapalestina wasio na hatia wakiwemo watoto wadogo.

  • Muungano mkubwa zaidi wa Norway wapiga kura kuisusia Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza

    Muungano mkubwa zaidi wa Norway wapiga kura kuisusia Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza

    May 10, 2025 08:50

    Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi vya Norway (LO), kundi kubwa na lenye nguvu zaidi la wafanyakazi nchini humo limeidhinisha kususiwa pakubwa kiuchumi utawala wa Israel, katika hatua muhimu ya kudhihirisha mshikamano wa wafanyakazi wa Ulaya na Palestina.

  • Israel yaendelea kupata pigo, mashirika makubwa ya ndege yagoma kwenda Tel Aviv

    Israel yaendelea kupata pigo, mashirika makubwa ya ndege yagoma kwenda Tel Aviv

    May 08, 2025 23:03

    Mashambulizi ya Jeshi la Yemen dhidi ya uwanja wa ndege wa Ben Gurion huko Tel Aviv yanaendelea kuutia hasara kubwa utawala wa Kizayuni ikiwa ni pamoja na mashirika mawili maarufu ya British Airways na Air Europa kuendelea kugoma kupeleka ndege zao kwenye uwanja huo wa Israel.

  • Jolani: Hay’at Tahrir al-Sham inafanya mazungumzo na Israel

    Jolani: Hay’at Tahrir al-Sham inafanya mazungumzo na Israel

    May 08, 2025 03:34

    Mkuu wa utawala wa Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) unaoongoza nchini Syria amethibitisha habari ya kuwepo mazungumzo "yasiyo ya moja kwa moja" kati ya utawala huo na utawala wa Israel eti kwa lengo la kuzuia kile alichokiita mripuko usioweza kudhibitiwa wa hali ya mambo, wakati huu ambapo Tel Aviv inaendeleza uchokozi wa kijeshi usiokoma dhidi ya Syria.