Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Mwanasheria Mmarekani: Israel imeua Wapalestina 360,000 Gaza

    Mwanasheria Mmarekani: Israel imeua Wapalestina 360,000 Gaza

    Feb 12, 2025 23:21

    Mwanasheria mashuhuri wa Marekani na mwanaharakati wa haki za watu asilia anakadiria kuwa jeshi la Israel limewaua takriban watu 360,000 katika vita vyake vya mauaji ya kimbari vilivyodumu kwa muda wa miezi 15 katika Ukanda wa Gaza, akisema kwamba idadi ya vifo vya kweli katika eneo lililozingirwa ni kubwa zaidi kuliko takwimu iliyoripotiwa na vyombo vya habari.

  • Mpango wa Trump kwa ajili ya Gaza; njama za kuifuta Palestina

    Mpango wa Trump kwa ajili ya Gaza; njama za kuifuta Palestina

    Feb 12, 2025 03:10

    Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria upinzani mkubwa wa nchi za eneo na kimataifa dhidi ya mpango haramu wa Rais wa Marekani kuhusu Gaza na kueleza kwamba, mpango huo wa kuwahamisha kwa nguvu watu wa Palestina kutoka Gaza kwa mujibu wa mpango wa kikoloni wa "kuifuta Palestina".

  • Wafanyabiashara Nigeria wataka kususiwa bidhaa za Israel

    Wafanyabiashara Nigeria wataka kususiwa bidhaa za Israel

    Feb 10, 2025 07:56

    Kundi moja la wajasiriamali wadogo na wa kati nchini Nigeria, limeandaa mkutano wa siku mbili katika Jimbo la Kaduna la kaskazini magharibi mwa nchi, kujadili mikakati ya kibiashara na umuhimu wa kususia bidhaa za Israel, ili kuonyesha uungaji mkono kwa kadhia ya Palestina.

  • Ben-Gvir: Israel imegeuzwa kuwa 'kioja' Mashariki ya Kati

    Ben-Gvir: Israel imegeuzwa kuwa 'kioja' Mashariki ya Kati

    Feb 10, 2025 07:55

    Aliyekuwa waziri wa usalama wa ndani wa Israel, Itamar Ben-Gvir amesema utawala huo wa Kizayuni umekuwa kioja na kichekesho katika eneo la Asia Magharibi.

  • Kwa mara ya kwanza Gallant akiri kuwa Israel yenyewe iliwaua Wazayuni 1,200 Oktoba 7, 2023

    Kwa mara ya kwanza Gallant akiri kuwa Israel yenyewe iliwaua Wazayuni 1,200 Oktoba 7, 2023

    Feb 07, 2025 07:44

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni Yoav Gallant amekiri kuwa utawala huo haramu ulitumia itifaki ya kutisha ijulikanayo kama "Hannibal Protocol" wakatii ya Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyotekelezwa na Hamas Oktoba 7, 2023.

  • Israel yashambulia Lebanon, yakiuka makubaliano ya usitishaji vita

    Israel yashambulia Lebanon, yakiuka makubaliano ya usitishaji vita

    Feb 07, 2025 04:22

    Jeshi la Israel limefanya mashambulizi kadhaa ya anga dhidi ya maeneo tofauti ya kusini na mashariki mwa Lebanon, huo ukiwa ni ukiukaji mkubwa na wa wazi wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati yake na nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Corbyn: Israel inabeba dhima ya kuuawa Wapalestina ' 61,709' Gaza

    Corbyn: Israel inabeba dhima ya kuuawa Wapalestina ' 61,709' Gaza

    Feb 04, 2025 23:11

    Kiongozi wa zamani wa Chama cha Leba nchini Uingereza, Jeremy Corbyn ameubebesha dhima utawala haramu wa Israel na wale ambao wanaendelea kuupelekea silaha utawala huo wa Kizayuni, kwa mauaji ya kimbari huko Palestina.

  • Kuongezeka mashinikizo dhidi ya watetezi wa Palestina nchini Marekani katika muhula wa pili wa urais wa Trump

    Kuongezeka mashinikizo dhidi ya watetezi wa Palestina nchini Marekani katika muhula wa pili wa urais wa Trump

    Feb 04, 2025 05:40

    Kwa kuanza muhula wa pili wa urais wa Donald Trump, pamoja na vitisho na hatua za serikali yake dhidi ya waungaji mkono wa Palestina, mashinikizo dhidi ya watu hao na harakati za ndani ya nchi hiyo pia zimeongezeka kwa kiasi kikubwa.

  • Hamas yawaachia huru mateka 3 wa Israel, mkabala wa Wapalestina 183

    Hamas yawaachia huru mateka 3 wa Israel, mkabala wa Wapalestina 183

    Feb 01, 2025 04:28

    Utawala wa Kizayuni wa Israel baadaye leo unatazamiwa kuwaachia huru mateka 183 wa Kipalestina, mkabala wa kuachiliwa Wazayuni watatu, katika awamu ya nne ya mabadilishano ya mateka katika Ukanda wa Gaza.

  • Mayahudi wa Marekani: Israel imeshindwa katika vita vya Gaza

    Mayahudi wa Marekani: Israel imeshindwa katika vita vya Gaza

    Jan 30, 2025 23:22

    Zaidi ya asilimia 80 ya jamii ya Wayahudi wa Marekani walioshiriki katika uchunguzi wa maoni wametangaza kuwa, Israel katu haijapata ushindi katika vita vya Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS