-
WHO: Katika kila dakika 10 jeshi la Israel linaua mtoto mmoja Gaza
Nov 11, 2023 23:25Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema, mtoto mmoja wa Kipalestina huuawa kwa wastani wa kila dakika 10 katika Ukanda wa Gaza na akatoa indhari kwa kusema "hakuna mahali popote na hakuna mtu yeyote aliye salama" chini ya mashambulizi ya Israel kwenye eneo hilo lililozingirwa.
-
Kaburi la pamoja kuchimbwa ndani ya hospitali Gaza ili kuzika maiti 100 za waliouliwa na mashambulio ya Israel
Nov 11, 2023 09:24Wizara ya Afya ya Palestina katikia Ukanda wa Gaza imetangaza leo kuwa kaburi la pamoja litachimbwa ndani ya hospitali ya Al-Shifa ili kuzika maiti 100 zilizokuwa zimetawanyika hospitalini humo, za watu waliouawa shahidi kwa mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Nchi za Kiarabu zinapaswa kukata uhusiano na utawala wa Kizayuni
Nov 10, 2023 08:07Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesisitiza ulazima wa serikali za nchi za Kiarabu kujibu ipasavyo matukio yanayojiri Ukanda wa Gaza na kusema: Jambo dogo kabisa linalotarajiwa kutoka kwa serikali za nchi za Kiarabu ni kukata uhusiano na utawala ghasibu wa Israel.
-
Palestina yaishtaki Israel IAEA kwa kutishia kudondosha bomu la nyuklia Gaza
Nov 09, 2023 23:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina amewasilisha faili mbele ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kulalamikia matamshi ya vitisho ya waziri wa utawala wa Kizayuni kwamba ikilazimu, utawala huo haramu utatumia bomu la nyuklia dhidi ya watu wa Gaza.
-
Malema aitaka ICC imtie mbaroni Netanyahu kwa mauaji ya Gaza
Nov 09, 2023 23:23Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na mashambulizi ya kinyama yanayoandelea kufanywa na utawala huo pandikizi katika Ukanda wa Gaza.
-
Misri yapinga mpango wa kuindoa Hamas mamlakani Gaza
Nov 09, 2023 10:02Serikali ya Misri imeripotiwa kukataa pendekezo la Marekani la kutwaa kwa muda mamlaka katika Ukanda wa Gaza, ikisisitiza kuwa Cairo haitakuwa na nafasi yoyote katika kuondolewa madarakani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 08, 2023 03:51Afrika Kusini imetangaza kuwa itawarejesha nyumbani wanadiplomasia wake wote kutoka Israel. Uamuzi huo umechukuliwa kutokana na kuendelea mashambulizi na jinai za Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
IRGC: Kushindwa Israel kutaleta amani na usalama duniani
Nov 08, 2023 02:54Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) sambamba na kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza amesema kuwa, kushindwa utawala wa Kizayuni na kuporomoka kwa Marekani, ni chanzo cha kupatikana amani na usalama duniani.
-
Bunge la Bahrain lataka kuangaliwa upya uhusiano wa nchi hiyo na Israel
Nov 07, 2023 23:29Naibu Spika wa Bunge la Kitaifa la Bahrain amesema Wabunge wa nchi hiyo wanakishinikiza chombo hicho cha kutunga sheria kubatilisha uhusiano wa kawaida baina ya nchi hiyo ya Kiarabu ya Ghuba ya Uajemi na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Marekani na kukana mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza
Nov 07, 2023 23:11Zaidi ya mwezi mmoja umepita sasa tangu kuanza kwa vita vya Gaza na tangu kutekelezwa kwa operesheni ya "Kimbunga cha Al-Aqsa" huku utawala wa Kizayuni unaoendesha operesheni za ardhini katika Ukanda wa Gaza dhidi ya wapiganaji wa Hamas ukizidisha mashambulizi yake ya anga dhidi ya eneo hilo. Mashambulio hayo ya kinyama ya Israe; yameendelea kusababisha mauaji makubwa ya watu wanaodhulumiwa wa Ukanda wa Gaza.