-
Ivory Coast yatangaza tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Ufaransa nchini humo
Feb 08, 2025 02:58Serikali ya Ivory Coast imeainisha tarehe ya kuondoka wanajeshi 'vamizi' wa Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Rais wa Kenya akiri hadharani: Vyombo vya usalama vimejichukulia mamlaka kinyume cha sheria
Jan 02, 2025 06:48Rais William Ruto wa Kenya kwa mara ya kwanza amekiri hadharani matumizi mabaya ya mamlaka yanayofanywa na vikosi vya usalama, kufuatia wimbi la utekaji nyara wenye utata ambao umezua maandamano makubwa ya upinzani nchini humo.
-
Ouattara: Ufaransa kuondoa wanajeshi wake Ivory Coast
Jan 01, 2025 13:05Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast amesema kuwa wanajeshi wa Ufaransa wataondoka nchini humo mwezi huu wa Januari. Rais wa Ivory Coast alieleza haya jana Jumnanne katika hotuba yake ya mwisho wa mwaka kwa taifa.
-
Ivory Coast yasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Iran
Dec 01, 2024 04:12Balozi wa Ivory Coast nchini Iran amesisitiza azma ya nchi yake ya kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Iran.
-
Jumatatu, Agosti 7, 2023
Aug 07, 2023 02:37Leo ni Jumatatu Tarehe 20 Mfunguo Nne Muharram 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 7 Agosti mwaka 2023.
-
Jeshi la Mali 'lawasamehe' askari 49 wa Ivory Coast
Jan 07, 2023 09:56Kiongozi wa kijeshi nchini Mali ametangaza habari ya kuwapa msamaha makumi ya wanajeshi wa Ivory Coast waliokamatwa nchini humo mwezi Julai mwaka uliomalizika 2022, wakituhumiwa kuwa mamluki.
-
Mali yawahukumu wanajeshi wa Ivory Coast miaka 20 jela
Jan 01, 2023 07:34Mahakama moja huko Bamako, mji mkuu wa Mali imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela makumi ya wanajeshi wa Ivory Coast baada ya kuwapata na hatia ya 'kuhujumu' usalama wa taifa hilo jirani yake.
-
Ivory Coast imewahukumu watu 11 kifungo cha maisha jela kwa kuhusika katika shambulio la kigaidi mwaka 2016
Dec 29, 2022 02:51Mahakama nchini Ivory Coast imewahukumu watu 11 kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika katika shambulio la kigaidi katika mji wa pwani wa Grand Bassam nchini humo mwezi Machi 2016.
-
Ivory Coast yataka kufanyika mkutano wa ECOWAS kujadili mzozo wa kidiplomasia na Mali
Sep 15, 2022 08:13Ivory Coast imeituhumu Mali kwa kuidai fidia na kuamiliana na wanajeshi wake 46 kama wahalifu baada ya kutiwa nguvuni na serikali ya Bamako. Serikali ya Ivory Coast imewaomba viongozi wa jumuiya ya Ecowas kujadili hali hiyo ya mgogoro kati yake na Bamako haraka iwezekanavyo.
-
Kiongozi wa Mali ataka 'fidia' ili kuwaachia askari wa Ivory Coast
Sep 11, 2022 12:00Rais wa mpito wa Mali amesema anataka suluhu yenye maslahi ya pande mbili ili kuhitimisha mkwaruzano wa kidiplomasia baina ya nchi hiyo na Ivory Coast.