-
Touadera apata ushindi wa mapema katika uchaguzi wa rais CAR
Feb 19, 2016 23:37Faustin Archange Touadera, Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amepata ushindi wa mapema katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili iliyopita ya Februari 14.
-
Askari wa UN waliwanajisi watoto CAR
Feb 17, 2016 03:36Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekuwa wakiwadhalilisha kijinsia watoto wanne wanaoishi katika kambi ya wakimbizi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Tume: Uchaguzi nchini CAR umefanyika kwa amani
Feb 15, 2016 11:56Uchaguzi Mkuu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati umefanyika katika mazingira ya utulivu na amani.