Nov 04, 2023 04:16
Viongozi wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wanakutana leo jijini Luanda huko Agola, katika mkutano wa dharura unaojadili juhudi za jumuiya hiyo katika kuimarisha amani, ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DEC).