Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Watu 26 wahukumiwa kifo Kongo DR kwa 'jinai za kivita'

    Watu 26 wahukumiwa kifo Kongo DR kwa 'jinai za kivita'

    Aug 09, 2024 03:27

    Watu wasiopungua 26 wamehukumiwa kifo na mahakama ya kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, baada ya kupatikana na hatia katika mashitaka matatu yaliyokuwa yakiwakabili.

  • Rais Tshisekedi amtuhumu mtangulizi wake kwa kuwaunga mkono waasi

    Rais Tshisekedi amtuhumu mtangulizi wake kwa kuwaunga mkono waasi

    Aug 07, 2024 11:20

    Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa Rais wa zamani wa nchi hiyo Joseph Kabila ameanzisha mkakati wa kuunganisha makundi yenye silaha na vyama vya kisiasa nchini humo dhidi ya serikali yake.

  • Baraza la Usalama laidhinisha MONUSCO kuipa SADC msaada wa kilojistiki DRC

    Baraza la Usalama laidhinisha MONUSCO kuipa SADC msaada wa kilojistiki DRC

    Aug 07, 2024 06:43

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kuidhinisha kikosi cha kusimamia amani cha umoja huo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO kutoa msaada wa kiutendaji na wa suhula na zana za kijeshi kwa ujumbe wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) nchini DRC.

  • Mahakama ya Nigeria yawatia hatiani wanamgambo 125 wa kundi la kigaidi la Boko Haram

    Mahakama ya Nigeria yawatia hatiani wanamgambo 125 wa kundi la kigaidi la Boko Haram

    Jul 29, 2024 02:33

    Mahakama nchini Nigeria imewatia hatiani wanamgambo 125 wa kundi la kigaidi la Boko Haram na wafadhili wa kifedha wa msururu wa makosa yanayohusiana na ugaidi.

  • DRC yamuita balozi wa Uganda kujadili tuhuma za kuunga mkono M23

    DRC yamuita balozi wa Uganda kujadili tuhuma za kuunga mkono M23

    Jul 21, 2024 11:02

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemuita balozi mdogo wa Uganda nchini humo, baada ya Umoja wa Mataifa kusema katika ripoti yake kwamba, jeshi la Uganda limewauga mkono waasi wa M23 wanaoendesha harakati zao mashariki mwa DRC.

  • Mapigano baina ya jeshi na wanamgambo yaua watu 50 DRC

    Mapigano baina ya jeshi na wanamgambo yaua watu 50 DRC

    Jul 16, 2024 07:19

    Watu zaidi ya 50 wameripotiwa kuuawa katika mapigano makali baina ya askari wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi moja la wanamgambo magharibi mwa nchi.

  • DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda

    DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda

    Jul 14, 2024 06:48

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) huenda kikalazimika kuakhirisha mpango wa kuwaondoa wanajeshi wake katika mkoa unaokumbwa na vita wa Kivu Kaskazini kutokana na kuwepo kwa askari wa Rwanda mashariki mwa DRC.

  • Raia 6 wa China na askari 2 wa DRC wauawa mkoani Ituri

    Raia 6 wa China na askari 2 wa DRC wauawa mkoani Ituri

    Jul 05, 2024 02:16

    Waasi wa kundi la CODECO wameshambulia mgodi unaohusishwa na China katika jimbo lenye utajiri mkubwa wa dhahabu la Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuua raia sita wa China wa wanajeshi wawili wa Kongo.

  • Wanajeshi 25 wahukumiwa kifo Kongo kwa kumkimbia adui

    Wanajeshi 25 wahukumiwa kifo Kongo kwa kumkimbia adui

    Jul 04, 2024 06:44

    Jumla ya washtakiwa 31, wakiwemo wanajeshi 27 na wake zao wanne ambao ni raia wa kawaida wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya Butembo katika mkoa wa Kivu Kaskazini, karibu na mstari wa mbele wa vita kwa "kutoroka vitani na kumpa nafasi adui".

  • Waasi wa Codeco wauwa raia zaidi ya 20 katika jimbo la Ituri, Kongo

    Waasi wa Codeco wauwa raia zaidi ya 20 katika jimbo la Ituri, Kongo

    Jun 23, 2024 07:40

    Waasi kwa jina la Codeco wanatuhumiwa kuua raia zaidi ya 20 katika kijiji kimoja katika jimbo tajiri kwa madini ya dhahabu la Ituri kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS