Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Watu 80 wakufa maji katika ajali ya boti magharibi ya DRC

    Watu 80 wakufa maji katika ajali ya boti magharibi ya DRC

    Jun 13, 2024 07:41

    Watu zaidi ya 80 wameripotiwa kuaga dunia baada ya boti iliyokuwa imewabeba kupinduka na kuzama kwenye maji ya Mto Kwa, magharibi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuacha kutumia sarafu ya dola

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuacha kutumia sarafu ya dola

    Jun 08, 2024 07:41

    Benki Kuu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetoa agizo la kupunguza matumizi ya dola ya Marekani katika miamala ya sasa ya bidhaa na huduma mbalimbali nchini humo.

  • Wamarekani 3 kizimbani wakihusishwa na jaribio la mapinduzi DRC

    Wamarekani 3 kizimbani wakihusishwa na jaribio la mapinduzi DRC

    Jun 07, 2024 02:46

    Raia watatu wa Marekani na mmoja wa Uingereza ni miongoni mwa makumi ya watu wanaotazamiwa kufikishwa katika Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Ijumaa, wakituhumiwa kuhusika na jaribio la mapinduzi katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.

  • Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yatangaza serikali mpya baada ya kuchelewa kwa miezi kadhaa

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yatangaza serikali mpya baada ya kuchelewa kwa miezi kadhaa

    May 29, 2024 09:16

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza serikali mpya leo Jumatano, na hivyo kuhitimisha sintofahamu ya kisiasa ya zaidi ya miezi mitano tangu kuchaguliwa tena rais wa nchi hiyo Felix Tshisekedi.

  • Makomandoo 3 wa US wahusishwa na jaribio la mapinduzi DRC

    Makomandoo 3 wa US wahusishwa na jaribio la mapinduzi DRC

    May 21, 2024 07:19

    Makomandoo watatu wa Marekani na raia mmoja wa Uingereza ni miongoni mwa makumi ya watu waliokamatwa na vyombo vya usalama vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakituhumiwa kuhusika na jaribio la mapinduzi katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.

  • Kongo DR yaituhumu Apple Inc. kwa kutumia

    Kongo DR yaituhumu Apple Inc. kwa kutumia "madini ya damu"

    Apr 27, 2024 11:43

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetishia kuichukulia hatua ya kisheria kampuni ya Apple Inc kwa kushirikiana na watoroshaji wa madini kutoka Kongo DR.

  • UN: Hali mashariki mwa DRC inatisha na kuna hatari ya mzozo kusambaa kikanda

    UN: Hali mashariki mwa DRC inatisha na kuna hatari ya mzozo kusambaa kikanda

    Apr 25, 2024 10:17

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Kanda ya Maziwa Makuu amewasilisha kwa Baraza la Usalama taswira ya kutisha ya hali ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC, inayoambatana na mvutano unaoendelea kati ya nchi hiyo na Rwanda, na hatari ya mzozo huo kusambaa kikanda.

  • Meli iliyozama Ziwa Tanganyika ni mali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Meli iliyozama Ziwa Tanganyika ni mali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Apr 08, 2024 12:17

    Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeeleza kuwa meli inayotambulika kwa jina la MV Maman Benita, iliyozama katika eneo la Kabimba nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo (DRC) ni mali ya kampuni kutoka nchini humo.

  • Waislamu DRC ni waungaji mkono wa Quds na kadhia nzima ya Palestina + Video

    Waislamu DRC ni waungaji mkono wa Quds na kadhia nzima ya Palestina + Video

    Apr 04, 2024 11:38

    Masheikh wawili maarufu wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamezungumzia umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds na uungaji mkono wa Waislamu wa nchi hiyo kwa kadhia nzima ya Palestina hususan Ghaza.

  • Angola: Tshisekedi aafiki kukutana na Kagame kujadili machafuko mashariki mwa Kongo

    Angola: Tshisekedi aafiki kukutana na Kagame kujadili machafuko mashariki mwa Kongo

    Mar 12, 2024 07:53

    Viongozi wa nchi mbili zenye mvutano yaani Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanatazamiwa kukutana ili kujadili hali ya machafuko katika maeneo ya mashariki mwa Kongo ambayo Kigali imekuwa ikituhumiwa kuyachochea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS