Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Maafisa wa SADC na EAC watilia mkazo kusitishwa mapigano mashariki mwa Kongo

    Maafisa wa SADC na EAC watilia mkazo kusitishwa mapigano mashariki mwa Kongo

    Feb 08, 2025 07:49

    Maafisa wa ngazi ya juu kutoka mataifa ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika jana walitilia mkazo kusitishwa mara moja mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuzitaka pande zote husika kutoa kipaumbele kwa suala la kufanya mazungumzo ili kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo.

  • UN: Hali ya kibinadamu huko Goma bado ni mbaya licha ya kusimamishwa mapigano

    UN: Hali ya kibinadamu huko Goma bado ni mbaya licha ya kusimamishwa mapigano

    Feb 07, 2025 02:39

    Hospitali katika mji mkubwa wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Goma, zinatatizika kutibu mamia ya wagonjwa waliojeruhiwa, huku baadhi wakiripoti uhaba wa dawa siku chache baada ya kundi la waasi la M23 kutangaza kusitisha mapigano kwa upande mmoja.

  • Mahakama ya Kijeshi ya DRC yatoa hati ya kukamatwa Corneille Nangaa

    Mahakama ya Kijeshi ya DRC yatoa hati ya kukamatwa Corneille Nangaa

    Feb 06, 2025 11:17

    Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Corneille Nangaa, mkuu wa makundi ya waasi wa mashariki mwa nchi hiyo, ikimtuhumu kwa kushindwa kuzuia vitendo vya utesaji chini ya mamlaka yake.

  • Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC

    Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC

    Feb 05, 2025 02:40

    Uganda imeripotiwa kutuma wanajeshi zaidi ya 1,000 wa ziada huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndani ya wiki moja iliyopita, karibu na eneo ambalo wanajeshi wa serikali ya Kinshasa wanapambana na waasi wa M23.

  • Muungano wa waasi wa mashariki mwa Kongo likiwemo kundi la M23 watangaza kusitisha mapigano

    Muungano wa waasi wa mashariki mwa Kongo likiwemo kundi la M23 watangaza kusitisha mapigano

    Feb 04, 2025 07:30

    Muungano kwa jina la The Alliance Fleuve Congo; muungano wa waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaolijumuisha pia kundi la waasi wa M23 umetangaza kusitisha mapigano kuanzia leo Jumanne Februari 4.

  • Utulivu wa kulegalega washuhudiwa Goma; Mapigano yapungua mashariki mwa DRC

    Utulivu wa kulegalega washuhudiwa Goma; Mapigano yapungua mashariki mwa DRC

    Feb 02, 2025 07:45

    Ripoti mbalimbali zinaeleza kuwa licha ya kurejea utulivu wa kiwango fulani katika mji wa Goma, makao makuu ya jimbo la Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mashirika ya misaada ya kibinadamu yameonya juu ya kushtadi hali ya mambo huku hospitali zikizidiwa na wagonjwa, uhaba wa vifaa muhimu vya tiba ukishuhudiwa na miili ya watu waliouawa ikiendelea kuonekana mitaani.

  • UN: Watu 700 wameuawa DRC ndani ya siku tano

    UN: Watu 700 wameuawa DRC ndani ya siku tano

    Feb 01, 2025 07:59

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kukomesha ghasia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya vikosi vya serikali na waasi wa M23 yamesababisha watu zaidi ya 700 kuuawa huku wengine wasiopungua 2,800 wakijeruhiwa katika kipindi cha siku tano.

  • Watu 25 wauawa katika mapigano mashariki mwa DRC; M23 wadai kuidhibiti Goma

    Watu 25 wauawa katika mapigano mashariki mwa DRC; M23 wadai kuidhibiti Goma

    Jan 28, 2025 09:09

    Zaidi ya watu 22 wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa wakati wa mapigano kati ya waasi wa M23 na vikosi vya serikali mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mkuu wa MONUSCO awataka waasi wa M23 kuondoka Kongo

    Mkuu wa MONUSCO awataka waasi wa M23 kuondoka Kongo

    Jan 27, 2025 08:07

    Mkuu wa kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) amewataka waasi wa kundi la M23 kusitisha harakati zao na kuondoka nchini humo.

  • Waasi wa M23 wauteka mji wa kistratajia mashariki mwa DRC

    Waasi wa M23 wauteka mji wa kistratajia mashariki mwa DRC

    Jan 22, 2025 02:49

    Waasi wa M23 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameuteka mji wa mashariki wa Minova, njia kuu ya usambazaji wa bidhaa huko Goma, makao makuu ya mkoa wa Kivu Kaskazini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS