Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Kwa nini Marekani inataka kuwekeza katika sekta ya madini nchini Kongo DR?

    Kwa nini Marekani inataka kuwekeza katika sekta ya madini nchini Kongo DR?

    Mar 12, 2025 09:02

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Marekani zinapanga kushirikiana katika mapatano ya kiuchumi na kisiasa.

  • Kongo: Tutatoa kitita cha dola milioni 5 kwa atayesadia kutiwa nguvuni viongozi wa waasi

    Kongo: Tutatoa kitita cha dola milioni 5 kwa atayesadia kutiwa nguvuni viongozi wa waasi

    Mar 09, 2025 22:59

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetenga donge nono la dola milioni 5 kwa yeyote atakayesaidia kukamatwa kwa viongozi watatu wa kundi la waasi ambalo limeteka sehemu kubwa ya mashariki mwa nchi hiyo mwaka huu.

  • Mlipuko wa ugonjwa wa Mpox waukumba mji wa Kabare huku mzozo ukiendelea DRC

    Mlipuko wa ugonjwa wa Mpox waukumba mji wa Kabare huku mzozo ukiendelea DRC

    Mar 08, 2025 23:07

    Mji wa Kabare, unaopatikana katika jimbo la Kivu Kusini umeathiriwa na mlipuko mkali wa ugonjwa wa Mpox, ugonjwa ambao kimsingi huambukizwa kupitia mgusano wa karibu wa ngozi hadi ngozi.

  • Takriban watu 11 wameuawa na 65 kujeruhiwa katika milipuko 2 kwenye maandamano ya M23 huko Bukavu

    Takriban watu 11 wameuawa na 65 kujeruhiwa katika milipuko 2 kwenye maandamano ya M23 huko Bukavu

    Feb 28, 2025 04:04

    Mabomu mawili yalilipuka siku ya jana Alhamisi kwenye maandamano ya waasi wa M23 huko Bukavu, mji uliotekwa na makundi yenye silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kuua takriban watu 11 na kujeruhi 65.

  • Mgogoro mashariki mwa DRC waathiri zaidi ya wanafunzi milioni 1

    Mgogoro mashariki mwa DRC waathiri zaidi ya wanafunzi milioni 1

    Feb 27, 2025 07:32

    Kuongezeka kwa mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo waasi wa M23 wameshadidisha mashambulizi dhidi ya vikosi vya serikali, kumesababisha shule 2,594 kufungwa.

  • Hujuma za waasi mashariki mwa Kongo zimeuwa watu 7,000 mwaka huu

    Hujuma za waasi mashariki mwa Kongo zimeuwa watu 7,000 mwaka huu

    Feb 24, 2025 23:00

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa watu zaidi ya elfu saba wameuawa mwaka huu wakati waasi wa kundi la M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wakiteka miji kadhaa katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Kongo.

  • Rais Tshisekedi anapanga kuunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Rais Tshisekedi anapanga kuunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Feb 23, 2025 23:34

    Rais wa Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anatazamiwa kuzindua serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo. Tina Salama, msemaji wa Ofisi ya Rais wa Kongo amesema, Rais Tshisekedi ataunda serikali ya umoja wa kitaifa na kufanya mabadiliko ya uongozi katika muungano tawala wa nchi hiyo.

  • Mzozo wa DRC: Bunge la Rwanda lalaani azimio la EU dhidi yake

    Mzozo wa DRC: Bunge la Rwanda lalaani azimio la EU dhidi yake

    Feb 22, 2025 08:28

    Bunge la Rwanda limekosoa vikali azimio lililopasishwa hivi karibuni na Bunge la Ulaya, likidai kuwa Rwanda linahusika na mzozo na machafuko yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Waasi wa M23 waingia Bukavu baada ya kutwaa uwanja wa ndege

    Waasi wa M23 waingia Bukavu baada ya kutwaa uwanja wa ndege

    Feb 15, 2025 03:42

    Waasi wa M23 wametangaza habari ya kuingia katika jiji la Bukavu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Ugonjwa 'usiojulikana' waua makumi ya watu DRC; mapigano yanaendelea

    Ugonjwa 'usiojulikana' waua makumi ya watu DRC; mapigano yanaendelea

    Feb 14, 2025 08:40

    Ugonjwa usiojulikana umeua watu zaidi ya 50 katika eneo la Bansakusu, jimbo la Equateur, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS