Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • 10 wauawa, maelfu wahama makazi yao katika shambulio la M23 la kuuteka mji wa mashariki mwa DRC

    10 wauawa, maelfu wahama makazi yao katika shambulio la M23 la kuuteka mji wa mashariki mwa DRC

    Mar 07, 2024 12:02

    Kundi la waasi la M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) linalodaiwa kuwa na uhusiano na nchi jirani ya Rwanda limeuteka mji wa Nyanzale ulioko eneo la mashariki lililokumbwa na mapigano kufuatia mashambulizi yake yaliyosababisha vifo vya watu wasiopungua 10 mbali na kusababisha maelfu ya wengine kuyahama makazi yao.

  • Wakuu wa majeshi ya SADC wakutana Goma kujadili M23

    Wakuu wa majeshi ya SADC wakutana Goma kujadili M23

    Mar 03, 2024 07:40

    Majenerali na maafisa waandamizi wa majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) wamekutana mjini Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujadili stratajia ya kuimarisha operesheni dhidi ya waasi wa M23.

  • Ripoti: Wakimbizi DRC wanakabiliwa na hali mbaya ya kibinadamu

    Ripoti: Wakimbizi DRC wanakabiliwa na hali mbaya ya kibinadamu

    Feb 18, 2024 12:05

    Maelfu ya watu waliokimbia makazi yao wanaishi katika kambi zisizo salama kiafya mashariki mwa nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na mzozo kati ya waasi na jeshi la nchi hiyo.

  • Askari kadhaa wa Afrika Kusini wauawa na kujeruhiwa Kongo DR

    Askari kadhaa wa Afrika Kusini wauawa na kujeruhiwa Kongo DR

    Feb 16, 2024 02:47

    Wanajeshi wawili wa Afrika Kusini wameuawa huku wengine watatu wakijeruhiwa katika shambulizi la bomu lililolenga kambi ya wanajeshi hao mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti 2 kugongana Kongo DR

    Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti 2 kugongana Kongo DR

    Feb 14, 2024 11:15

    Makumi ya watu wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya ya boti iliyotokea magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 11 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi ya DRC

    Watu 11 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi ya DRC

    Feb 01, 2024 11:11

    Watu wasiopungua 11 wameuwa baada ya kuibuka mapigano makali ya kikabila katika mkoa wa Mai-Ndombe, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kagame: Rwanda haijahusika kivyovyote na mapigano mashariki ya DRC

    Kagame: Rwanda haijahusika kivyovyote na mapigano mashariki ya DRC

    Jan 24, 2024 03:37

    Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema nchi hiyo haijahusika kivyovyote na mapigano na ghasia zinazoendelea kushuhudiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  •  Tshisekedi ameapishwa leo, makumi ya viongozi wa nchi wamehudhuria

    Tshisekedi ameapishwa leo, makumi ya viongozi wa nchi wamehudhuria

    Jan 20, 2024 13:48

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi, ameapishwa hii leo Jumamosi kwa muhula wa pili wa miaka mitano baada ya Mahakama ya Katiba kuthibitisha ushindi wake katika uchaguzi mkuu wa mwezi Desemba mwaka jana.

  • Mkuu wa ujasusi wa M23 auawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani DRC

    Mkuu wa ujasusi wa M23 auawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani DRC

    Jan 17, 2024 15:20

    Mkuu wa kitengo cha ujasusi wa kundi la waasi la M23 ameripotiwa kuuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • UN: Walinda amani wote wataondoka Kongo DR mwishoni mwa 2024

    UN: Walinda amani wote wataondoka Kongo DR mwishoni mwa 2024

    Jan 14, 2024 07:40

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambacho kimesaidia katika vita dhidi ya waasi kwa zaidi ya miongo miwili sasa, kitaondoka kikamilifu nchini humo ifikapo mwezi Disemba mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS