Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • UN: Maelfu wanahitaji msaada wa dharura DRC kutokana na mafuriko

    UN: Maelfu wanahitaji msaada wa dharura DRC kutokana na mafuriko

    Jan 13, 2024 11:50

    Umoja wa Mataifa umesema mamia ya maelfu ya watu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanahitaji msaada wa dharura kutokana na athari za mafuriko katika pembe mbali mbali za nchi hiyo.

  • Félix Tshisekedi atangazwa mshindi uchaguzi wa rais Congo DR, wapinzani wapinga matokeo

    Félix Tshisekedi atangazwa mshindi uchaguzi wa rais Congo DR, wapinzani wapinga matokeo

    Jan 01, 2024 03:06

    Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Disemba 20, 2023 kwa kupata zaidi ya asilimia 73 ya kura.

  • Hali tete DRC; Matokeo ya uchaguzi wa rais kutangazwa leo

    Hali tete DRC; Matokeo ya uchaguzi wa rais kutangazwa leo

    Dec 31, 2023 03:06

    Tume Huru ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) inatazamiwa kutangaza matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo leo Jumapili, na hali ya taharuki imetanda huku jamii ya kimataifa ikiwa na wasi wasi wa kuibuka machafuko ya baada ya uchaguzi nchini humo.

  • Mvua, maporomoko ya udongo yaua makumi ya watu DRC

    Mvua, maporomoko ya udongo yaua makumi ya watu DRC

    Dec 27, 2023 06:43

    Watu wasiopungua 22 wamefariki dunia kutokana na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika mji wa Kananga, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Moise Katumbi ataka uchaguzi wa DRC utenguliwe; upinzani waitisha maandamano

    Moise Katumbi ataka uchaguzi wa DRC utenguliwe; upinzani waitisha maandamano

    Dec 24, 2023 03:25

    Wagombea watano wa upinzani katika uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo akiwemo Moise Katumbi wametoa mwito wa kufutiliwa mbali uchaguzi huo, wakidai kuwa zoezi hilo la kidemokrasia limekumbwa na wizi wa kura na uchakachuaji wa matokeo.

  • UN inajiandaa kuanza kuwaondoa taratibu wanajeshi wake huko Kongo

    UN inajiandaa kuanza kuwaondoa taratibu wanajeshi wake huko Kongo

    Dec 19, 2023 08:03

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo Jumanne linatarajiwa kukubali ombi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo la kuondolewa nchini humo askari wa kulinda amani wa umoja huo (MONUSCO).

  • Kiongozi wa upinzani Congo  DR,  Katumbi, aahidi 'kuikomboa nchi'

    Kiongozi wa upinzani Congo DR, Katumbi, aahidi 'kuikomboa nchi'

    Dec 10, 2023 11:20

    Wiki mbili kabla ya uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kiongozi wa upinzani Moise Katumbi amepanua zaidi kampeni zake katika jitihada za kushinda cheo cha juu zaidi nchini humo.

  • Rais wa DRC amfananisha Rais Kagame na Adolf Hitler

    Rais wa DRC amfananisha Rais Kagame na Adolf Hitler

    Dec 10, 2023 03:03

    Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemshabihisha mwenzake wa Rwanda, Paul Kagame na mtawala wa zamani wa Ujerumani ya Manazi, Adolf Hitler.

  • Kikosi cha EAC chaanza kuondoa wanajeshi wake DRC

    Kikosi cha EAC chaanza kuondoa wanajeshi wake DRC

    Dec 03, 2023 10:42

    Kikosi cha Kikanda cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACRF) kimeanza kuwaondoa askari wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mshindi wa Tuzo ya Nobel Kongo afanya mkutano wa kampeni za uchaguzi wa rais katika mji alikozaliwa

    Mshindi wa Tuzo ya Nobel Kongo afanya mkutano wa kampeni za uchaguzi wa rais katika mji alikozaliwa

    Nov 26, 2023 06:43

    Denis Mukwege, daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo jana alifanya mkutano wa kampeni za uchaguzi wa rais katika mji alikozaliwa na kuahidi kukabiliana na ufisadi na kushughulikia migogoro mbalimbali iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Kongo katika uchaguzi wa rais wa mwezi ujao wa Disemba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS