-
DRC yamuita balozi wa Uganda kujadili tuhuma za kuunga mkono M23
Jul 21, 2024 11:02Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemuita balozi mdogo wa Uganda nchini humo, baada ya Umoja wa Mataifa kusema katika ripoti yake kwamba, jeshi la Uganda limewauga mkono waasi wa M23 wanaoendesha harakati zao mashariki mwa DRC.
-
Mapigano baina ya jeshi na wanamgambo yaua watu 50 DRC
Jul 16, 2024 07:19Watu zaidi ya 50 wameripotiwa kuuawa katika mapigano makali baina ya askari wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi moja la wanamgambo magharibi mwa nchi.
-
DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda
Jul 14, 2024 06:48Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) huenda kikalazimika kuakhirisha mpango wa kuwaondoa wanajeshi wake katika mkoa unaokumbwa na vita wa Kivu Kaskazini kutokana na kuwepo kwa askari wa Rwanda mashariki mwa DRC.
-
Raia 6 wa China na askari 2 wa DRC wauawa mkoani Ituri
Jul 05, 2024 02:16Waasi wa kundi la CODECO wameshambulia mgodi unaohusishwa na China katika jimbo lenye utajiri mkubwa wa dhahabu la Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuua raia sita wa China wa wanajeshi wawili wa Kongo.
-
Wanajeshi 25 wahukumiwa kifo Kongo kwa kumkimbia adui
Jul 04, 2024 06:44Jumla ya washtakiwa 31, wakiwemo wanajeshi 27 na wake zao wanne ambao ni raia wa kawaida wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya Butembo katika mkoa wa Kivu Kaskazini, karibu na mstari wa mbele wa vita kwa "kutoroka vitani na kumpa nafasi adui".
-
Waasi wa Codeco wauwa raia zaidi ya 20 katika jimbo la Ituri, Kongo
Jun 23, 2024 07:40Waasi kwa jina la Codeco wanatuhumiwa kuua raia zaidi ya 20 katika kijiji kimoja katika jimbo tajiri kwa madini ya dhahabu la Ituri kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu 80 wakufa maji katika ajali ya boti magharibi ya DRC
Jun 13, 2024 07:41Watu zaidi ya 80 wameripotiwa kuaga dunia baada ya boti iliyokuwa imewabeba kupinduka na kuzama kwenye maji ya Mto Kwa, magharibi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuacha kutumia sarafu ya dola
Jun 08, 2024 07:41Benki Kuu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetoa agizo la kupunguza matumizi ya dola ya Marekani katika miamala ya sasa ya bidhaa na huduma mbalimbali nchini humo.
-
Wamarekani 3 kizimbani wakihusishwa na jaribio la mapinduzi DRC
Jun 07, 2024 02:46Raia watatu wa Marekani na mmoja wa Uingereza ni miongoni mwa makumi ya watu wanaotazamiwa kufikishwa katika Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Ijumaa, wakituhumiwa kuhusika na jaribio la mapinduzi katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.
-
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yatangaza serikali mpya baada ya kuchelewa kwa miezi kadhaa
May 29, 2024 09:16Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza serikali mpya leo Jumatano, na hivyo kuhitimisha sintofahamu ya kisiasa ya zaidi ya miezi mitano tangu kuchaguliwa tena rais wa nchi hiyo Felix Tshisekedi.