-
Makomandoo 3 wa US wahusishwa na jaribio la mapinduzi DRC
May 21, 2024 03:49Makomandoo watatu wa Marekani na raia mmoja wa Uingereza ni miongoni mwa makumi ya watu waliokamatwa na vyombo vya usalama vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakituhumiwa kuhusika na jaribio la mapinduzi katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.
-
Kongo DR yaituhumu Apple Inc. kwa kutumia "madini ya damu"
Apr 27, 2024 08:13Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetishia kuichukulia hatua ya kisheria kampuni ya Apple Inc kwa kushirikiana na watoroshaji wa madini kutoka Kongo DR.
-
UN: Hali mashariki mwa DRC inatisha na kuna hatari ya mzozo kusambaa kikanda
Apr 25, 2024 06:47Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Kanda ya Maziwa Makuu amewasilisha kwa Baraza la Usalama taswira ya kutisha ya hali ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC, inayoambatana na mvutano unaoendelea kati ya nchi hiyo na Rwanda, na hatari ya mzozo huo kusambaa kikanda.
-
Meli iliyozama Ziwa Tanganyika ni mali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Apr 08, 2024 08:47Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeeleza kuwa meli inayotambulika kwa jina la MV Maman Benita, iliyozama katika eneo la Kabimba nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo (DRC) ni mali ya kampuni kutoka nchini humo.
-
Waislamu DRC ni waungaji mkono wa Quds na kadhia nzima ya Palestina + Video
Apr 04, 2024 08:08Masheikh wawili maarufu wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamezungumzia umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds na uungaji mkono wa Waislamu wa nchi hiyo kwa kadhia nzima ya Palestina hususan Ghaza.
-
Angola: Tshisekedi aafiki kukutana na Kagame kujadili machafuko mashariki mwa Kongo
Mar 12, 2024 04:23Viongozi wa nchi mbili zenye mvutano yaani Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanatazamiwa kukutana ili kujadili hali ya machafuko katika maeneo ya mashariki mwa Kongo ambayo Kigali imekuwa ikituhumiwa kuyachochea.
-
10 wauawa, maelfu wahama makazi yao katika shambulio la M23 la kuuteka mji wa mashariki mwa DRC
Mar 07, 2024 08:32Kundi la waasi la M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) linalodaiwa kuwa na uhusiano na nchi jirani ya Rwanda limeuteka mji wa Nyanzale ulioko eneo la mashariki lililokumbwa na mapigano kufuatia mashambulizi yake yaliyosababisha vifo vya watu wasiopungua 10 mbali na kusababisha maelfu ya wengine kuyahama makazi yao.
-
Wakuu wa majeshi ya SADC wakutana Goma kujadili M23
Mar 03, 2024 04:10Majenerali na maafisa waandamizi wa majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) wamekutana mjini Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujadili stratajia ya kuimarisha operesheni dhidi ya waasi wa M23.
-
Ripoti: Wakimbizi DRC wanakabiliwa na hali mbaya ya kibinadamu
Feb 18, 2024 08:35Maelfu ya watu waliokimbia makazi yao wanaishi katika kambi zisizo salama kiafya mashariki mwa nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na mzozo kati ya waasi na jeshi la nchi hiyo.
-
Askari kadhaa wa Afrika Kusini wauawa na kujeruhiwa Kongo DR
Feb 15, 2024 23:17Wanajeshi wawili wa Afrika Kusini wameuawa huku wengine watatu wakijeruhiwa katika shambulizi la bomu lililolenga kambi ya wanajeshi hao mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.