-
Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti 2 kugongana Kongo DR
Feb 14, 2024 07:45Makumi ya watu wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya ya boti iliyotokea magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu 11 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi ya DRC
Feb 01, 2024 07:41Watu wasiopungua 11 wameuwa baada ya kuibuka mapigano makali ya kikabila katika mkoa wa Mai-Ndombe, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kagame: Rwanda haijahusika kivyovyote na mapigano mashariki ya DRC
Jan 24, 2024 00:07Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema nchi hiyo haijahusika kivyovyote na mapigano na ghasia zinazoendelea kushuhudiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Tshisekedi ameapishwa leo, makumi ya viongozi wa nchi wamehudhuria
Jan 20, 2024 10:18Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi, ameapishwa hii leo Jumamosi kwa muhula wa pili wa miaka mitano baada ya Mahakama ya Katiba kuthibitisha ushindi wake katika uchaguzi mkuu wa mwezi Desemba mwaka jana.
-
Mkuu wa ujasusi wa M23 auawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani DRC
Jan 17, 2024 11:50Mkuu wa kitengo cha ujasusi wa kundi la waasi la M23 ameripotiwa kuuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
UN: Walinda amani wote wataondoka Kongo DR mwishoni mwa 2024
Jan 14, 2024 04:10Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambacho kimesaidia katika vita dhidi ya waasi kwa zaidi ya miongo miwili sasa, kitaondoka kikamilifu nchini humo ifikapo mwezi Disemba mwaka huu.
-
UN: Maelfu wanahitaji msaada wa dharura DRC kutokana na mafuriko
Jan 13, 2024 08:20Umoja wa Mataifa umesema mamia ya maelfu ya watu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanahitaji msaada wa dharura kutokana na athari za mafuriko katika pembe mbali mbali za nchi hiyo.
-
Félix Tshisekedi atangazwa mshindi uchaguzi wa rais Congo DR, wapinzani wapinga matokeo
Dec 31, 2023 23:36Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Disemba 20, 2023 kwa kupata zaidi ya asilimia 73 ya kura.
-
Hali tete DRC; Matokeo ya uchaguzi wa rais kutangazwa leo
Dec 30, 2023 23:36Tume Huru ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) inatazamiwa kutangaza matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo leo Jumapili, na hali ya taharuki imetanda huku jamii ya kimataifa ikiwa na wasi wasi wa kuibuka machafuko ya baada ya uchaguzi nchini humo.
-
Mvua, maporomoko ya udongo yaua makumi ya watu DRC
Dec 27, 2023 03:13Watu wasiopungua 22 wamefariki dunia kutokana na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika mji wa Kananga, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.