Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Waasi wa M23 wauteka mji wa kistratajia mashariki mwa DRC

    Waasi wa M23 wauteka mji wa kistratajia mashariki mwa DRC

    Jan 21, 2025 23:19

    Waasi wa M23 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameuteka mji wa mashariki wa Minova, njia kuu ya usambazaji wa bidhaa huko Goma, makao makuu ya mkoa wa Kivu Kaskazini.

  • Upinzani Kongo wataka kuchukuliwa hatua kuzuia mabadiliko ya katiba

    Upinzani Kongo wataka kuchukuliwa hatua kuzuia mabadiliko ya katiba

    Nov 21, 2024 04:09

    Vyama vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidmemokrasia ya Kongo vimewatolea wito wananchi kupinga mipango tarajiwa inayoandaliwa na Rais Felix Tshisekedi wa nchi hiyo ya kubadilisha katiba.

  • Makumi waaga dunia katika ajali ya boti mashariki ya DRC

    Makumi waaga dunia katika ajali ya boti mashariki ya DRC

    Oct 04, 2024 03:43

    Zaidi ya watu 70 wamekufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kupinduka kwenye Ziwa Kivu jana Alkhamisi, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, karibu na Rwanda.

  • Wanaharakati DRC wakaribisha kuhukumiwa kifo raia wa US

    Wanaharakati DRC wakaribisha kuhukumiwa kifo raia wa US

    Sep 15, 2024 08:27

    Wanaharakati, wanasiasa na watetezi wa haki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameipongeza Mahakama ya Kijeshi ya nchi hiyo kwa kuwahukumu kifo watu 37 wakiwemo raia watatu wa Marekani na mmoja wa Uingereza, baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na jaribio la kuipindua serikali katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika, Juni mwaka huu.

  • Wafungwa 129 wauawa wakijaribu kutoroka jela DRC

    Wafungwa 129 wauawa wakijaribu kutoroka jela DRC

    Sep 03, 2024 07:58

    Kwa akali watu 129 wamethibitishwa kuawa na wengine 59 kujeruhiwa wakati wa jaribio la kutoroka jela katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 100 wahofiwa kufa maji katika ajali ya boti Kongo DR

    Watu 100 wahofiwa kufa maji katika ajali ya boti Kongo DR

    Aug 21, 2024 08:22

    Watu zaidi ya 100 wametoweka baada ya boti iliyokuwa imewabeba kupinduka na kuzama magharibi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 16 wauawa katika makabiliano baina ya waasi, wanamgambo DRC

    Watu 16 wauawa katika makabiliano baina ya waasi, wanamgambo DRC

    Aug 16, 2024 07:40

    Mapigano kati ya waasi na wanamgambo wanaoiunga mkono serikali mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamepelekea kuuawa wanakijiji 16.

  • Watu 26 wahukumiwa kifo Kongo DR kwa 'jinai za kivita'

    Watu 26 wahukumiwa kifo Kongo DR kwa 'jinai za kivita'

    Aug 08, 2024 23:57

    Watu wasiopungua 26 wamehukumiwa kifo na mahakama ya kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, baada ya kupatikana na hatia katika mashitaka matatu yaliyokuwa yakiwakabili.

  • Rais Tshisekedi amtuhumu mtangulizi wake kwa kuwaunga mkono waasi

    Rais Tshisekedi amtuhumu mtangulizi wake kwa kuwaunga mkono waasi

    Aug 07, 2024 07:50

    Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa Rais wa zamani wa nchi hiyo Joseph Kabila ameanzisha mkakati wa kuunganisha makundi yenye silaha na vyama vya kisiasa nchini humo dhidi ya serikali yake.

  • Baraza la Usalama laidhinisha MONUSCO kuipa SADC msaada wa kilojistiki DRC

    Baraza la Usalama laidhinisha MONUSCO kuipa SADC msaada wa kilojistiki DRC

    Aug 07, 2024 03:13

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kuidhinisha kikosi cha kusimamia amani cha umoja huo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO kutoa msaada wa kiutendaji na wa suhula na zana za kijeshi kwa ujumbe wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) nchini DRC.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS