Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti 2 kugongana Kongo DR

    Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti 2 kugongana Kongo DR

    Feb 14, 2024 07:45

    Makumi ya watu wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya ya boti iliyotokea magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 11 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi ya DRC

    Watu 11 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi ya DRC

    Feb 01, 2024 07:41

    Watu wasiopungua 11 wameuwa baada ya kuibuka mapigano makali ya kikabila katika mkoa wa Mai-Ndombe, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kagame: Rwanda haijahusika kivyovyote na mapigano mashariki ya DRC

    Kagame: Rwanda haijahusika kivyovyote na mapigano mashariki ya DRC

    Jan 24, 2024 00:07

    Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema nchi hiyo haijahusika kivyovyote na mapigano na ghasia zinazoendelea kushuhudiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  •  Tshisekedi ameapishwa leo, makumi ya viongozi wa nchi wamehudhuria

    Tshisekedi ameapishwa leo, makumi ya viongozi wa nchi wamehudhuria

    Jan 20, 2024 10:18

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi, ameapishwa hii leo Jumamosi kwa muhula wa pili wa miaka mitano baada ya Mahakama ya Katiba kuthibitisha ushindi wake katika uchaguzi mkuu wa mwezi Desemba mwaka jana.

  • Mkuu wa ujasusi wa M23 auawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani DRC

    Mkuu wa ujasusi wa M23 auawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani DRC

    Jan 17, 2024 11:50

    Mkuu wa kitengo cha ujasusi wa kundi la waasi la M23 ameripotiwa kuuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • UN: Walinda amani wote wataondoka Kongo DR mwishoni mwa 2024

    UN: Walinda amani wote wataondoka Kongo DR mwishoni mwa 2024

    Jan 14, 2024 04:10

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambacho kimesaidia katika vita dhidi ya waasi kwa zaidi ya miongo miwili sasa, kitaondoka kikamilifu nchini humo ifikapo mwezi Disemba mwaka huu.

  • UN: Maelfu wanahitaji msaada wa dharura DRC kutokana na mafuriko

    UN: Maelfu wanahitaji msaada wa dharura DRC kutokana na mafuriko

    Jan 13, 2024 08:20

    Umoja wa Mataifa umesema mamia ya maelfu ya watu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanahitaji msaada wa dharura kutokana na athari za mafuriko katika pembe mbali mbali za nchi hiyo.

  • Félix Tshisekedi atangazwa mshindi uchaguzi wa rais Congo DR, wapinzani wapinga matokeo

    Félix Tshisekedi atangazwa mshindi uchaguzi wa rais Congo DR, wapinzani wapinga matokeo

    Dec 31, 2023 23:36

    Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Disemba 20, 2023 kwa kupata zaidi ya asilimia 73 ya kura.

  • Hali tete DRC; Matokeo ya uchaguzi wa rais kutangazwa leo

    Hali tete DRC; Matokeo ya uchaguzi wa rais kutangazwa leo

    Dec 30, 2023 23:36

    Tume Huru ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) inatazamiwa kutangaza matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo leo Jumapili, na hali ya taharuki imetanda huku jamii ya kimataifa ikiwa na wasi wasi wa kuibuka machafuko ya baada ya uchaguzi nchini humo.

  • Mvua, maporomoko ya udongo yaua makumi ya watu DRC

    Mvua, maporomoko ya udongo yaua makumi ya watu DRC

    Dec 27, 2023 03:13

    Watu wasiopungua 22 wamefariki dunia kutokana na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika mji wa Kananga, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS