-
Moise Katumbi ataka uchaguzi wa DRC utenguliwe; upinzani waitisha maandamano
Dec 23, 2023 23:55Wagombea watano wa upinzani katika uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo akiwemo Moise Katumbi wametoa mwito wa kufutiliwa mbali uchaguzi huo, wakidai kuwa zoezi hilo la kidemokrasia limekumbwa na wizi wa kura na uchakachuaji wa matokeo.
-
UN inajiandaa kuanza kuwaondoa taratibu wanajeshi wake huko Kongo
Dec 19, 2023 04:33Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo Jumanne linatarajiwa kukubali ombi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo la kuondolewa nchini humo askari wa kulinda amani wa umoja huo (MONUSCO).
-
Kiongozi wa upinzani Congo DR, Katumbi, aahidi 'kuikomboa nchi'
Dec 10, 2023 07:50Wiki mbili kabla ya uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kiongozi wa upinzani Moise Katumbi amepanua zaidi kampeni zake katika jitihada za kushinda cheo cha juu zaidi nchini humo.
-
Rais wa DRC amfananisha Rais Kagame na Adolf Hitler
Dec 09, 2023 23:33Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemshabihisha mwenzake wa Rwanda, Paul Kagame na mtawala wa zamani wa Ujerumani ya Manazi, Adolf Hitler.
-
Kikosi cha EAC chaanza kuondoa wanajeshi wake DRC
Dec 03, 2023 07:12Kikosi cha Kikanda cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACRF) kimeanza kuwaondoa askari wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Mshindi wa Tuzo ya Nobel Kongo afanya mkutano wa kampeni za uchaguzi wa rais katika mji alikozaliwa
Nov 26, 2023 03:13Denis Mukwege, daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo jana alifanya mkutano wa kampeni za uchaguzi wa rais katika mji alikozaliwa na kuahidi kukabiliana na ufisadi na kushughulikia migogoro mbalimbali iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Kongo katika uchaguzi wa rais wa mwezi ujao wa Disemba.
-
Wagombea sita wa uchaguzi Kongo waitaka mahakama kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na wa haki
Nov 24, 2023 04:25Wagombea sita wa upinzani katika uchaguzi wa Rais wa Disemba 20 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana waliiomba Mahakama ya katiba ya nchi hiyo kuilazimisha tume ya uchaguzi kuchapisha orodha ya mwisho ya wapigakura, wakionya juu ya uwezekano wa kukikwa ksheria na kujiri udanganyifu.
-
UN hatimaye yakubali kuondoa askari wake DRC baada ya miongo 2
Nov 22, 2023 23:36Umoja wa Mataifa umesaini makubaliano na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuhusu kuondoka kwa ujumbe wa umoja huo wa kulinda amani nchini humo (MONUSCO).
-
Kampeni za uchaguzi wa rais zang'oa nanga Kongo DR
Nov 19, 2023 10:16Makumi ya maelfu ya wagombea wa viti mbalimbali wakiwemo wagombea 26 wa kiti cha rais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamezindua rasmi kampeni za uchaguzi huo leo Jumapili.
-
Viongozi wa SADC wanakutana Angola leo kujadili amani Congo DR
Nov 04, 2023 00:46Viongozi wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wanakutana leo jijini Luanda huko Agola, katika mkutano wa dharura unaojadili juhudi za jumuiya hiyo katika kuimarisha amani, ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DEC).