Nov 02, 2022 13:10
Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokuwa na ghadhabu wamechoma moto magari ya askari walinda amani wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa unaojulikana kwa jina la MONUSCO, wakisisitiza kuwa kikosi hicho cha UN kimeshindwa kukabiliana na harakati na mashambulizi ya kundi la waasi la M23.