Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Moise Katumbi ataka uchaguzi wa DRC utenguliwe; upinzani waitisha maandamano

    Moise Katumbi ataka uchaguzi wa DRC utenguliwe; upinzani waitisha maandamano

    Dec 23, 2023 23:55

    Wagombea watano wa upinzani katika uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo akiwemo Moise Katumbi wametoa mwito wa kufutiliwa mbali uchaguzi huo, wakidai kuwa zoezi hilo la kidemokrasia limekumbwa na wizi wa kura na uchakachuaji wa matokeo.

  • UN inajiandaa kuanza kuwaondoa taratibu wanajeshi wake huko Kongo

    UN inajiandaa kuanza kuwaondoa taratibu wanajeshi wake huko Kongo

    Dec 19, 2023 04:33

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo Jumanne linatarajiwa kukubali ombi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo la kuondolewa nchini humo askari wa kulinda amani wa umoja huo (MONUSCO).

  • Kiongozi wa upinzani Congo  DR,  Katumbi, aahidi 'kuikomboa nchi'

    Kiongozi wa upinzani Congo DR, Katumbi, aahidi 'kuikomboa nchi'

    Dec 10, 2023 07:50

    Wiki mbili kabla ya uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kiongozi wa upinzani Moise Katumbi amepanua zaidi kampeni zake katika jitihada za kushinda cheo cha juu zaidi nchini humo.

  • Rais wa DRC amfananisha Rais Kagame na Adolf Hitler

    Rais wa DRC amfananisha Rais Kagame na Adolf Hitler

    Dec 09, 2023 23:33

    Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemshabihisha mwenzake wa Rwanda, Paul Kagame na mtawala wa zamani wa Ujerumani ya Manazi, Adolf Hitler.

  • Kikosi cha EAC chaanza kuondoa wanajeshi wake DRC

    Kikosi cha EAC chaanza kuondoa wanajeshi wake DRC

    Dec 03, 2023 07:12

    Kikosi cha Kikanda cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACRF) kimeanza kuwaondoa askari wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mshindi wa Tuzo ya Nobel Kongo afanya mkutano wa kampeni za uchaguzi wa rais katika mji alikozaliwa

    Mshindi wa Tuzo ya Nobel Kongo afanya mkutano wa kampeni za uchaguzi wa rais katika mji alikozaliwa

    Nov 26, 2023 03:13

    Denis Mukwege, daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo jana alifanya mkutano wa kampeni za uchaguzi wa rais katika mji alikozaliwa na kuahidi kukabiliana na ufisadi na kushughulikia migogoro mbalimbali iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Kongo katika uchaguzi wa rais wa mwezi ujao wa Disemba.

  • Wagombea sita wa uchaguzi Kongo waitaka mahakama kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na wa haki

    Wagombea sita wa uchaguzi Kongo waitaka mahakama kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na wa haki

    Nov 24, 2023 04:25

    Wagombea sita wa upinzani katika uchaguzi wa Rais wa Disemba 20 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana waliiomba Mahakama ya katiba ya nchi hiyo kuilazimisha tume ya uchaguzi kuchapisha orodha ya mwisho ya wapigakura, wakionya juu ya uwezekano wa kukikwa ksheria na kujiri udanganyifu.

  • UN hatimaye yakubali kuondoa askari wake DRC baada ya miongo 2

    UN hatimaye yakubali kuondoa askari wake DRC baada ya miongo 2

    Nov 22, 2023 23:36

    Umoja wa Mataifa umesaini makubaliano na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuhusu kuondoka kwa ujumbe wa umoja huo wa kulinda amani nchini humo (MONUSCO).

  • Kampeni za uchaguzi wa rais zang'oa nanga Kongo DR

    Kampeni za uchaguzi wa rais zang'oa nanga Kongo DR

    Nov 19, 2023 10:16

    Makumi ya maelfu ya wagombea wa viti mbalimbali wakiwemo wagombea 26 wa kiti cha rais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamezindua rasmi kampeni za uchaguzi huo leo Jumapili.

  • Viongozi wa SADC wanakutana Angola leo kujadili amani Congo DR

    Viongozi wa SADC wanakutana Angola leo kujadili amani Congo DR

    Nov 04, 2023 00:46

    Viongozi wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wanakutana leo jijini Luanda huko Agola, katika mkutano wa dharura unaojadili juhudi za jumuiya hiyo katika kuimarisha amani, ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DEC).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS