Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • UN yataka kutumwa askari wengine wa kimataifa DRC

    UN yataka kutumwa askari wengine wa kimataifa DRC

    Mar 11, 2017 00:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutuma askari wengine 320 wa kofia buluu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Asasi za kiraia DRC zataka Rais Kabila ashirikishwe katika utekelezwaji wa hati ya makubaliano ya amani

    Asasi za kiraia DRC zataka Rais Kabila ashirikishwe katika utekelezwaji wa hati ya makubaliano ya amani

    Mar 07, 2017 12:03

    Asasi za kiraia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimetoa wito wa kushirikishwa Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo katika utekelezwaji wa hati ya makubaliano ya amani yaliyotiwa saini kati ya serikali ya Kinshasa na wapinzani.

  • Watu wanne wauawa mapiganoni Kongo

    Watu wanne wauawa mapiganoni Kongo

    Mar 06, 2017 04:18

    Watu wanne wameuawa katika mapigano kati ya polisi na kundi moja linaloipinga serikali huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • SAUTI: Hatimaye kasisi anayejiita Nabii huko Kongo DR, ajisalimisha kwa polisi baada ya kumtusi Rais Kabila kuwa sio raia wa nchi hiyo

    SAUTI: Hatimaye kasisi anayejiita Nabii huko Kongo DR, ajisalimisha kwa polisi baada ya kumtusi Rais Kabila kuwa sio raia wa nchi hiyo

    Mar 04, 2017 15:04

    Mbunge na kiongozi wa Kanisa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye pia anajitaja kuwa ni nabii wa Mungu, Bwana, Ne Muanda Nsemi, amejitokeza hadharani baada ya kuwa mafichoni kwa wiki kadhaa, kufuatia kanisa lake kuzingirwa na jeshi la polisi la nchi hiyo.

  • Felix Tshsekedi arithi mikoba ya baba yake Kongo DR

    Felix Tshsekedi arithi mikoba ya baba yake Kongo DR

    Mar 03, 2017 04:45

    Chama kikuu cha upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimemteua Felix Tshisekedi kuwa kinara wa chama hicho kufuatia kifo cha baba yake, Etienne Tshisekedi.

  • Waasi 20 wa M23 wauawa mashariki mwa DRC

    Waasi 20 wa M23 wauawa mashariki mwa DRC

    Mar 02, 2017 12:13

    Waasi wasiopungua 20 wameuawa katika mapigano yaliyozuka kwenye siku za hivi karibuni kati ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 mkoani Kivu Kaskazini.

  • Kanisa katoliki lajiunga na watetezi wa haki za binadamu, laitaka serikali kukomesha mauaji dhidi ya raia Congo

    Kanisa katoliki lajiunga na watetezi wa haki za binadamu, laitaka serikali kukomesha mauaji dhidi ya raia Congo

    Mar 02, 2017 00:26

    Kanisa Katoliki la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetahadharisha kuhusu utendaji wa jeshi la serikali ya nchi hiyo katika mashambulizi yake dhidi ya wanamgambo wa kundi la Kamounia Nsap kwenye mkoa wa Kasai.

  • Sisitizo la kuundwa kamati maalumu ya kusimamia makubaliano ya Kongo

    Sisitizo la kuundwa kamati maalumu ya kusimamia makubaliano ya Kongo

    Feb 27, 2017 10:39

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesisitiza kuwa kuna udharura wa kuundwa kamati maalumu ya kusimamia makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kati ya serikali na vyama vya upinzani.

  • UN yataka uchunguzi ufanyike kuhusu mauaji Kasai, DRC

    UN yataka uchunguzi ufanyike kuhusu mauaji Kasai, DRC

    Feb 26, 2017 04:07

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa taarifa likilaani vikali matukio ya utumiaji mabavu yaliyotokea katika miezi ya hivi karibuni huko Kasai, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, na kuihimiza serikali ya nchi hiyo kuchunguza mara moja matukio hayo.

  • Askari wa kimataifa watuhumiwa kufanya uhalifu DRC

    Askari wa kimataifa watuhumiwa kufanya uhalifu DRC

    Feb 25, 2017 00:45

    Kamati ya nidhamu ya askari wa Umoja wa Mataifa wanaolinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa, askari wa umoja huo wanatumuhimiwa kufanya vitendo visivyo vya kimaadili mwaka 2016 nchini Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS