Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kasi ya harakati ya sayansi na teknolojia Iran

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kasi ya harakati ya sayansi na teknolojia Iran

    Jan 24, 2019 03:47

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano asubuhi mjini Tehran katika mkutano na wakuu pamoja na watafiti wa Taasisi ya Utambuzi wa Taaluma za Sayansi na Teknolojia (ICSS), Waziri wa Elimu na pia wakuu na wahadhiri wa vyuo vikuu husika alisistiza kuwa, taifa lolote linalobaki nyuma katika taaluma mpya na teknolojia zinazohusiana na taaluma hizo halitakuwa na hatima nyingine ghairi ya kubaki nyuma kimaendeleo, kudhalilishwa na kukoloniwa na madola yenye nguvu.

  • Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo

    Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo

    Aug 24, 2018 21:50

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov amesema kuwa nchi yake inaheshimu uwepo wa Iran nchini Syria kwani iko huko kihalali na kwa mwaliko wa serikali halali ya nchi hiyo.

  • Iran yalaani mashambulizi ya muungano wa Saudia katika mji wa al Hudaydah Yemen

    Iran yalaani mashambulizi ya muungano wa Saudia katika mji wa al Hudaydah Yemen

    Jun 14, 2018 10:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulio ya angani na baharini ya muungano vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya mji wa bandari wa al Hudaydah wa nchini Yemen na kusisitiza kuwa, Tehran inasikitishwa mno na hali mbaya ya kibinadamu waliyobebeshwa wananchi Waislamu wa Yemen.

  • Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa taarifa rasmi kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa taarifa rasmi kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    May 15, 2018 09:40

    Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa katika kulaani jinai na mauaji ya umati ya Wazayuni dhidi ya raia madhlum wa Palestina na kuitaka jamii ya kimataifa kuvunja ukimwa wake wa muda mrefu, kuhitimisha uvamizi na kudhamini haki za Wapalestina kama wamiliki halisi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Jumanne 18 Julai, 2017

    Jumanne 18 Julai, 2017

    Jul 17, 2017 21:59

    Leo ni Jumanne tarehe 23 Shawwal 1438 Hijria sawa na Julai 18, 2017

  • Jumanne, Aprili 11, 2017

    Jumanne, Aprili 11, 2017

    Apr 10, 2017 21:59

    Leo ni Jumanne tarehe 13 Rajab 1438 Hijria sawa na Aprili 11, 2017 Milaadia.

  • Ayatullah Khatami: Kuilinda Jamhuri ya Kiislamu kunahitaji maandalizi ya kisiasa, kiuchumi na kijeshi

    Ayatullah Khatami: Kuilinda Jamhuri ya Kiislamu kunahitaji maandalizi ya kisiasa, kiuchumi na kijeshi

    Mar 31, 2017 10:30

    Khatibu wa muda wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuilinda na kuihami Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kunahitajia maandalizi makubwa ya kisiasa, kiuchumi na kijeshi.

  • Iran, jirani mwema na mshirika mwenye utulivu na amani wa Russia

    Iran, jirani mwema na mshirika mwenye utulivu na amani wa Russia

    Mar 29, 2017 03:04

    Hati 14 za ushirikiano katika sekta mbalimbali zikiwemo masuala ya kibalozi, utalii, uchumi, mawasiliano, sheria na masuala ya mahakama zimesainiwa katika mazungumzo yaliyafanyika jana kati ya Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mwenyeji wake wa Russia Vladimir Putin mjini Moscow.

  • Iran na Uganda zasisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao

    Iran na Uganda zasisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao

    Jan 21, 2017 00:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda zimesisitiza juu ya kustawisha zaidi uhusiano wao katika nyanja mbalimbali.

  • Rais Rouhani afanya mazungumzo na Marais wa Bolivia na Ecuador

    Rais Rouhani afanya mazungumzo na Marais wa Bolivia na Ecuador

    Sep 18, 2016 02:43

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa nchi hii inakaribisha kuimarishwa uhusiano kati yake na nchi za Amerika ya Latini na khususan Bolivia katika nyanja zote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS