Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Jumanne 18 Julai, 2017

    Jumanne 18 Julai, 2017

    Jul 17, 2017 21:59

    Leo ni Jumanne tarehe 23 Shawwal 1438 Hijria sawa na Julai 18, 2017

  • Jumanne, Aprili 11, 2017

    Jumanne, Aprili 11, 2017

    Apr 10, 2017 21:59

    Leo ni Jumanne tarehe 13 Rajab 1438 Hijria sawa na Aprili 11, 2017 Milaadia.

  • Ayatullah Khatami: Kuilinda Jamhuri ya Kiislamu kunahitaji maandalizi ya kisiasa, kiuchumi na kijeshi

    Ayatullah Khatami: Kuilinda Jamhuri ya Kiislamu kunahitaji maandalizi ya kisiasa, kiuchumi na kijeshi

    Mar 31, 2017 10:30

    Khatibu wa muda wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuilinda na kuihami Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kunahitajia maandalizi makubwa ya kisiasa, kiuchumi na kijeshi.

  • Iran, jirani mwema na mshirika mwenye utulivu na amani wa Russia

    Iran, jirani mwema na mshirika mwenye utulivu na amani wa Russia

    Mar 29, 2017 03:04

    Hati 14 za ushirikiano katika sekta mbalimbali zikiwemo masuala ya kibalozi, utalii, uchumi, mawasiliano, sheria na masuala ya mahakama zimesainiwa katika mazungumzo yaliyafanyika jana kati ya Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mwenyeji wake wa Russia Vladimir Putin mjini Moscow.

  • Iran na Uganda zasisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao

    Iran na Uganda zasisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao

    Jan 21, 2017 00:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda zimesisitiza juu ya kustawisha zaidi uhusiano wao katika nyanja mbalimbali.

  • Rais Rouhani afanya mazungumzo na Marais wa Bolivia na Ecuador

    Rais Rouhani afanya mazungumzo na Marais wa Bolivia na Ecuador

    Sep 18, 2016 02:43

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa nchi hii inakaribisha kuimarishwa uhusiano kati yake na nchi za Amerika ya Latini na khususan Bolivia katika nyanja zote.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi aonana na maafisa wa Kituo cha Takwimu cha Iran

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi aonana na maafisa wa Kituo cha Takwimu cha Iran

    Sep 13, 2016 09:32

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa takwimu na taarifa sahihi, zenye muelekeo na za kisayansi ni msingi mkuu wa uchukuaji maamuzi ya kiutendaji kwa ajili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran: Jumuiya ya Kiarabu iseme ukweli na isiufumbie macho

    Iran: Jumuiya ya Kiarabu iseme ukweli na isiufumbie macho

    Sep 09, 2016 23:41

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taarifa ya hivi karibuni ya Baraza la Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jumuiya ya Kiarabu dhidi ya Iran haina ukweli na kimsingi inautumikia utawala wa Saudi Arabia.

  • Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa matamshi ya Katibu Mkuu wa A/League

    Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa matamshi ya Katibu Mkuu wa A/League

    Sep 07, 2016 23:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja madai ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kwamba Iran inaingilia masuala ya nchi za Kiarabu kuwa ni tuhuma zisizo na msingi na kurudia tuhuma zisizo na mpango za huko nyuma.

  • Ayatullah Khamenei: Kuna ulazima wa kuongeza uwezo wa kushambulia na wa kujilinda

    Ayatullah Khamenei: Kuna ulazima wa kuongeza uwezo wa kushambulia na wa kujilinda

    Aug 31, 2016 10:20

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udharura wa Iran kuongeza uwezo wa kushambulia sambamba na uwezo wa kujihami na kujilinda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS