-
Jumanne 18 Julai, 2017
Jul 17, 2017 21:59Leo ni Jumanne tarehe 23 Shawwal 1438 Hijria sawa na Julai 18, 2017
-
Jumanne, Aprili 11, 2017
Apr 10, 2017 21:59Leo ni Jumanne tarehe 13 Rajab 1438 Hijria sawa na Aprili 11, 2017 Milaadia.
-
Ayatullah Khatami: Kuilinda Jamhuri ya Kiislamu kunahitaji maandalizi ya kisiasa, kiuchumi na kijeshi
Mar 31, 2017 10:30Khatibu wa muda wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuilinda na kuihami Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kunahitajia maandalizi makubwa ya kisiasa, kiuchumi na kijeshi.
-
Iran, jirani mwema na mshirika mwenye utulivu na amani wa Russia
Mar 29, 2017 03:04Hati 14 za ushirikiano katika sekta mbalimbali zikiwemo masuala ya kibalozi, utalii, uchumi, mawasiliano, sheria na masuala ya mahakama zimesainiwa katika mazungumzo yaliyafanyika jana kati ya Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mwenyeji wake wa Russia Vladimir Putin mjini Moscow.
-
Iran na Uganda zasisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao
Jan 21, 2017 00:49Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda zimesisitiza juu ya kustawisha zaidi uhusiano wao katika nyanja mbalimbali.
-
Rais Rouhani afanya mazungumzo na Marais wa Bolivia na Ecuador
Sep 18, 2016 02:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa nchi hii inakaribisha kuimarishwa uhusiano kati yake na nchi za Amerika ya Latini na khususan Bolivia katika nyanja zote.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi aonana na maafisa wa Kituo cha Takwimu cha Iran
Sep 13, 2016 09:32Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa takwimu na taarifa sahihi, zenye muelekeo na za kisayansi ni msingi mkuu wa uchukuaji maamuzi ya kiutendaji kwa ajili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran: Jumuiya ya Kiarabu iseme ukweli na isiufumbie macho
Sep 09, 2016 23:41Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taarifa ya hivi karibuni ya Baraza la Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jumuiya ya Kiarabu dhidi ya Iran haina ukweli na kimsingi inautumikia utawala wa Saudi Arabia.
-
Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa matamshi ya Katibu Mkuu wa A/League
Sep 07, 2016 23:34Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja madai ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kwamba Iran inaingilia masuala ya nchi za Kiarabu kuwa ni tuhuma zisizo na msingi na kurudia tuhuma zisizo na mpango za huko nyuma.
-
Ayatullah Khamenei: Kuna ulazima wa kuongeza uwezo wa kushambulia na wa kujilinda
Aug 31, 2016 10:20Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udharura wa Iran kuongeza uwezo wa kushambulia sambamba na uwezo wa kujihami na kujilinda.