-
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lapata mafanikio mengine
Aug 29, 2016 10:00Kamanda wa kituo cha ulinzi wa anga cha Khatamul-Anbiya cha jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kufanyiwa majaribio rada ya kisasa kwa jina la Nazir.
-
Iran yamuua kiongozi wa kundi la kigaidi lenye uhusiano na Saudi Arabia
Aug 25, 2016 10:31Waziri wa Intelijinsia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza habari ya kuuawa Abu Hafidh Balush Kinara wa kundi la kigaidi lenye mfungamano na Saudia.
-
Taarifa ya pamoja ya Iran na Afghanistan kwa ajili ya kufikia stratejia ya pamoja
Aug 07, 2016 08:40Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afghanistan zitaimarisha ushirikiano kati yao katika nyanja tofauti ili kufikia stratejia ya pamoja.
-
Nigeria yasifu maendeleo ya Iran
Jul 27, 2016 09:15Msemaji wa Rais wa Nigeria ambaye pia ni Mshauri katika masuala ya habari amesifu na kupongeza maendeleo na mafanikio iliyoyapata Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika miaka 30 ya hivi karibuni.
-
Iran yatajwa kuwa na nafasi chanya katika eneo la Mashariki ya Kati
Jul 15, 2016 03:37Mhariri wa gazeti moja nchini Misri ambaye pia ni mwandishi wa habari maarufu nchini humo, ameielezea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi yenye nafasi chanya na yenye nguvu katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Ugaidi hauna mipaka
Jul 05, 2016 08:40Katika siku za hivi karibuni walimwengu wameshuhudia mlolongo wa hujuma za kigaidi kuanzia Lebanon mpaka Iraq na kisha Syria, Bangladesh, baadhi ya maeneo ya Afrika na hata nchini Saudi Arabia.
-
Brigedia Jenerali Jazayeri: Haki za binadamu za Kimarekani zinatambulisha ujahili wa kisasa
Jul 03, 2016 08:54Naibu Mkuu wa majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, haki za binadamu za Kimarekani zinatambulisha ujahili wa kisasa na ambao unachukiwa na fikra za waliowengi ulimwenguni.
-
Marasimu ya kukumbuka kufariki dunia Imam Khomeini (MA) yafanyika katika nchi mbalimbali
Jun 04, 2016 09:17Marasimu ya mwaka wa 27 wa kukumbuka kufariki dunia Imam Khomeini (MA) mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yalifanyika jana usiku katika nchi mbalimbali duniani.
-
Mamilioni ya wafanyaziara wa ndani na nje ya nchi kushiriki kwenye Hauli ya Imam Khomeini (ra)
Jun 02, 2016 03:24Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ismail Najar, amesema wafanyaziara milioni moja na laki saba na nusu wa ndani na kutoka nje ya nchi watashiriki kwenye Hauli ya Imam Khomeini (ra) itakayofanyika hapo kesho.
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amjibu Adel al Jubeir
May 27, 2016 10:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani matamshi ya kuivunjia heshima Iran yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia.