Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi aonana na maafisa wa Kituo cha Takwimu cha Iran

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi aonana na maafisa wa Kituo cha Takwimu cha Iran

    Sep 13, 2016 09:32

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa takwimu na taarifa sahihi, zenye muelekeo na za kisayansi ni msingi mkuu wa uchukuaji maamuzi ya kiutendaji kwa ajili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran: Jumuiya ya Kiarabu iseme ukweli na isiufumbie macho

    Iran: Jumuiya ya Kiarabu iseme ukweli na isiufumbie macho

    Sep 09, 2016 23:41

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taarifa ya hivi karibuni ya Baraza la Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jumuiya ya Kiarabu dhidi ya Iran haina ukweli na kimsingi inautumikia utawala wa Saudi Arabia.

  • Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa matamshi ya Katibu Mkuu wa A/League

    Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa matamshi ya Katibu Mkuu wa A/League

    Sep 07, 2016 23:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja madai ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kwamba Iran inaingilia masuala ya nchi za Kiarabu kuwa ni tuhuma zisizo na msingi na kurudia tuhuma zisizo na mpango za huko nyuma.

  • Ayatullah Khamenei: Kuna ulazima wa kuongeza uwezo wa kushambulia na wa kujilinda

    Ayatullah Khamenei: Kuna ulazima wa kuongeza uwezo wa kushambulia na wa kujilinda

    Aug 31, 2016 10:20

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udharura wa Iran kuongeza uwezo wa kushambulia sambamba na uwezo wa kujihami na kujilinda.

  • Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lapata mafanikio mengine

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lapata mafanikio mengine

    Aug 29, 2016 10:00

    Kamanda wa kituo cha ulinzi wa anga cha Khatamul-Anbiya cha jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kufanyiwa majaribio rada ya kisasa kwa jina la Nazir.

  • Iran yamuua kiongozi wa kundi la kigaidi lenye uhusiano na Saudi Arabia

    Iran yamuua kiongozi wa kundi la kigaidi lenye uhusiano na Saudi Arabia

    Aug 25, 2016 10:31

    Waziri wa Intelijinsia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza habari ya kuuawa Abu Hafidh Balush Kinara wa kundi la kigaidi lenye mfungamano na Saudia.

  • Taarifa ya pamoja ya Iran na Afghanistan kwa ajili ya kufikia stratejia ya pamoja

    Taarifa ya pamoja ya Iran na Afghanistan kwa ajili ya kufikia stratejia ya pamoja

    Aug 07, 2016 08:40

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afghanistan zitaimarisha ushirikiano kati yao katika nyanja tofauti ili kufikia stratejia ya pamoja.

  • Nigeria yasifu maendeleo ya Iran

    Nigeria yasifu maendeleo ya Iran

    Jul 27, 2016 09:15

    Msemaji wa Rais wa Nigeria ambaye pia ni Mshauri katika masuala ya habari amesifu na kupongeza maendeleo na mafanikio iliyoyapata Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika miaka 30 ya hivi karibuni.

  • Iran yatajwa kuwa na nafasi chanya katika eneo la Mashariki ya Kati

    Iran yatajwa kuwa na nafasi chanya katika eneo la Mashariki ya Kati

    Jul 15, 2016 03:37

    Mhariri wa gazeti moja nchini Misri ambaye pia ni mwandishi wa habari maarufu nchini humo, ameielezea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi yenye nafasi chanya na yenye nguvu katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Ugaidi hauna mipaka

    Ugaidi hauna mipaka

    Jul 05, 2016 08:40

    Katika siku za hivi karibuni walimwengu wameshuhudia mlolongo wa hujuma za kigaidi kuanzia Lebanon mpaka Iraq na kisha Syria, Bangladesh, baadhi ya maeneo ya Afrika na hata nchini Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS