Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lapata mafanikio mengine

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lapata mafanikio mengine

    Aug 29, 2016 10:00

    Kamanda wa kituo cha ulinzi wa anga cha Khatamul-Anbiya cha jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kufanyiwa majaribio rada ya kisasa kwa jina la Nazir.

  • Iran yamuua kiongozi wa kundi la kigaidi lenye uhusiano na Saudi Arabia

    Iran yamuua kiongozi wa kundi la kigaidi lenye uhusiano na Saudi Arabia

    Aug 25, 2016 10:31

    Waziri wa Intelijinsia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza habari ya kuuawa Abu Hafidh Balush Kinara wa kundi la kigaidi lenye mfungamano na Saudia.

  • Taarifa ya pamoja ya Iran na Afghanistan kwa ajili ya kufikia stratejia ya pamoja

    Taarifa ya pamoja ya Iran na Afghanistan kwa ajili ya kufikia stratejia ya pamoja

    Aug 07, 2016 08:40

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afghanistan zitaimarisha ushirikiano kati yao katika nyanja tofauti ili kufikia stratejia ya pamoja.

  • Nigeria yasifu maendeleo ya Iran

    Nigeria yasifu maendeleo ya Iran

    Jul 27, 2016 09:15

    Msemaji wa Rais wa Nigeria ambaye pia ni Mshauri katika masuala ya habari amesifu na kupongeza maendeleo na mafanikio iliyoyapata Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika miaka 30 ya hivi karibuni.

  • Iran yatajwa kuwa na nafasi chanya katika eneo la Mashariki ya Kati

    Iran yatajwa kuwa na nafasi chanya katika eneo la Mashariki ya Kati

    Jul 15, 2016 03:37

    Mhariri wa gazeti moja nchini Misri ambaye pia ni mwandishi wa habari maarufu nchini humo, ameielezea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi yenye nafasi chanya na yenye nguvu katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Ugaidi hauna mipaka

    Ugaidi hauna mipaka

    Jul 05, 2016 08:40

    Katika siku za hivi karibuni walimwengu wameshuhudia mlolongo wa hujuma za kigaidi kuanzia Lebanon mpaka Iraq na kisha Syria, Bangladesh, baadhi ya maeneo ya Afrika na hata nchini Saudi Arabia.

  • Brigedia Jenerali Jazayeri: Haki za binadamu za Kimarekani zinatambulisha ujahili wa kisasa

    Brigedia Jenerali Jazayeri: Haki za binadamu za Kimarekani zinatambulisha ujahili wa kisasa

    Jul 03, 2016 08:54

    Naibu Mkuu wa majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, haki za binadamu za Kimarekani zinatambulisha ujahili wa kisasa na ambao unachukiwa na fikra za waliowengi ulimwenguni.

  • Marasimu ya kukumbuka kufariki dunia Imam Khomeini (MA) yafanyika katika nchi mbalimbali

    Marasimu ya kukumbuka kufariki dunia Imam Khomeini (MA) yafanyika katika nchi mbalimbali

    Jun 04, 2016 09:17

    Marasimu ya mwaka wa 27 wa kukumbuka kufariki dunia Imam Khomeini (MA) mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yalifanyika jana usiku katika nchi mbalimbali duniani.

  • Mamilioni ya wafanyaziara wa ndani na nje ya nchi kushiriki kwenye Hauli ya Imam Khomeini (ra)

    Mamilioni ya wafanyaziara wa ndani na nje ya nchi kushiriki kwenye Hauli ya Imam Khomeini (ra)

    Jun 02, 2016 03:24

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ismail Najar, amesema wafanyaziara milioni moja na laki saba na nusu wa ndani na kutoka nje ya nchi watashiriki kwenye Hauli ya Imam Khomeini (ra) itakayofanyika hapo kesho.

  •  Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amjibu Adel al Jubeir

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amjibu Adel al Jubeir

    May 27, 2016 10:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani matamshi ya kuivunjia heshima Iran yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS