-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi aonana na maafisa wa Kituo cha Takwimu cha Iran
Sep 13, 2016 09:32Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa takwimu na taarifa sahihi, zenye muelekeo na za kisayansi ni msingi mkuu wa uchukuaji maamuzi ya kiutendaji kwa ajili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran: Jumuiya ya Kiarabu iseme ukweli na isiufumbie macho
Sep 09, 2016 23:41Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taarifa ya hivi karibuni ya Baraza la Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jumuiya ya Kiarabu dhidi ya Iran haina ukweli na kimsingi inautumikia utawala wa Saudi Arabia.
-
Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa matamshi ya Katibu Mkuu wa A/League
Sep 07, 2016 23:34Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja madai ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kwamba Iran inaingilia masuala ya nchi za Kiarabu kuwa ni tuhuma zisizo na msingi na kurudia tuhuma zisizo na mpango za huko nyuma.
-
Ayatullah Khamenei: Kuna ulazima wa kuongeza uwezo wa kushambulia na wa kujilinda
Aug 31, 2016 10:20Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udharura wa Iran kuongeza uwezo wa kushambulia sambamba na uwezo wa kujihami na kujilinda.
-
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lapata mafanikio mengine
Aug 29, 2016 10:00Kamanda wa kituo cha ulinzi wa anga cha Khatamul-Anbiya cha jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kufanyiwa majaribio rada ya kisasa kwa jina la Nazir.
-
Iran yamuua kiongozi wa kundi la kigaidi lenye uhusiano na Saudi Arabia
Aug 25, 2016 10:31Waziri wa Intelijinsia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza habari ya kuuawa Abu Hafidh Balush Kinara wa kundi la kigaidi lenye mfungamano na Saudia.
-
Taarifa ya pamoja ya Iran na Afghanistan kwa ajili ya kufikia stratejia ya pamoja
Aug 07, 2016 08:40Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afghanistan zitaimarisha ushirikiano kati yao katika nyanja tofauti ili kufikia stratejia ya pamoja.
-
Nigeria yasifu maendeleo ya Iran
Jul 27, 2016 09:15Msemaji wa Rais wa Nigeria ambaye pia ni Mshauri katika masuala ya habari amesifu na kupongeza maendeleo na mafanikio iliyoyapata Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika miaka 30 ya hivi karibuni.
-
Iran yatajwa kuwa na nafasi chanya katika eneo la Mashariki ya Kati
Jul 15, 2016 03:37Mhariri wa gazeti moja nchini Misri ambaye pia ni mwandishi wa habari maarufu nchini humo, ameielezea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi yenye nafasi chanya na yenye nguvu katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Ugaidi hauna mipaka
Jul 05, 2016 08:40Katika siku za hivi karibuni walimwengu wameshuhudia mlolongo wa hujuma za kigaidi kuanzia Lebanon mpaka Iraq na kisha Syria, Bangladesh, baadhi ya maeneo ya Afrika na hata nchini Saudi Arabia.