-
Ayatullah Kermani: Vitisho haviwezi kuifanya Iran isalimu amri mbele ya matakwa ya Marekani
May 13, 2016 11:45Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, vitisho vya Marekani haviwezi kuifanya Iran isalimu amri mbele ya matakwa ya kutotosheka ya Washington
-
Rais Rouhani: Utawala wa wananchi ni moja ya fahari kubwa kwa Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Apr 28, 2016 23:37Rais Hassan Rouhani amesema utawala unaotokana na ridhaa ya wananchi ni moja ya fahari kubwa kwa Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mazungumzo ya Rais Rouhani na Waziri wa Mambo ya Nje wa India
Apr 17, 2016 23:49Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na India ni kwa maslahi ya usalama na ustawi wa kiuchumi wa eneo.
-
'Jeshi la Iran liko imara kuilinda Jamhuri ya Kiislamu'
Apr 15, 2016 23:43Luteni Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Iran amesema kuwa, jeshi hilo liko imara katika kuyalinda Mapinduzi ya Kiislamu na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Hamu ya Austria ya kupanua uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Mar 29, 2016 23:39Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano ya kesho tarehe 30 Machi anatarajiwa kuelea Vienna Austria kujibu mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Heinz Fischer.
-
Kiongozi Muadhamu: Vita vya Mashariki ya Kati ni vya kisiasa tu
Mar 10, 2016 13:12Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, wananchi wa Iran wameonesha kivitendo imani yao kwa Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu kwa kushiriki kwa wingi katika uchaguzi uliofanyika nchini hivi karibuni.
-
Manowari za Jeshi la Iran zatia nanga bandari ya Dar es Salaam, Tanzania
Mar 01, 2016 12:16Manowari ndogo kadhaa za jeshi la wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zilizobeba ujumbe wa amani na urafiki zimetia nanga katika bandari ya mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam.