Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Japan

  • Alkhamisi tarehe 23 Disemba 2021

    Alkhamisi tarehe 23 Disemba 2021

    Dec 23, 2021 02:49

    Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Jamadil Awwal 1443 Hijria sawa na Disemba 23 mwaka 2021.

  • Onyo la Putin kwa Marekani kwa kuweka mifumo ya makombora katika mpaka wa Russia na Japan

    Onyo la Putin kwa Marekani kwa kuweka mifumo ya makombora katika mpaka wa Russia na Japan

    Sep 06, 2021 03:00

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameelezea wasiwasi wake kuhusu mpango wa Marekani wa kuweka mifumo yake ya kujilinda kwa makombora katika mpaka wa Russia na Japan na ameitaka Tokyo isiruhusu kufanyika jambo hilo.

  • Spika Qalibaf: Japan ichukue hatua za maana za kuachiliwa fedha za Iran

    Spika Qalibaf: Japan ichukue hatua za maana za kuachiliwa fedha za Iran

    Aug 23, 2021 07:55

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaka Japan ichukue hatua za maana kuhakikisha kwamba, fedha za Iran zilizozuiwa katika benki za nchi hiyo zinaachiliwa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan aitaka Marekani iache uroho na uchu wa mali

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan aitaka Marekani iache uroho na uchu wa mali

    Aug 23, 2021 03:31

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Japan amesema ili kuyahuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani inapaswa kuachana na tabia yake ya uroho, uchu na hamu kubwa ya kukusanya na kurundika mali.

  • Takwimu rasmi: Wajapan wanaojiua ni wengi zaidi kuliko wanaofariki kwa corona!

    Takwimu rasmi: Wajapan wanaojiua ni wengi zaidi kuliko wanaofariki kwa corona!

    Dec 03, 2020 07:24

    Takiwmu zilizotolewa na serikali ya Japan zinaonyesha kuwa, katika mwezi wa Oktoba pekee, watu 2,215 walijiua nchini humo, idadi ambayo ni kubwa zaidi kulinganisha na ya watu wote walioaga dunia hadi sasa nchini humo kwa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.

  • Mazoezi ya Kijeshi ya Japan, Marekani na Australia katika Bahari ya China Kusini

    Mazoezi ya Kijeshi ya Japan, Marekani na Australia katika Bahari ya China Kusini

    Oct 23, 2020 02:52

    Kikosi cha Tano cha Jeshi la Majini la Marekani kimetangaza habari ya kuanza mazoezi ya kijeshi ya nchi hiyo na majeshi ya Japan na Australia katika maji ya Bahari ya China Kusini. Haya ni mazoezi ya tano ya kijeshi ya pamoja ya nchi hiyo katika Bahari ya China Kusini katika mwaka huu wa 2020.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima

    Aug 09, 2020 07:14

    Mwezi Agosti mwaka 1945 Marekani ilishambulia mji wa Hiroshima kwa bomu la nyuklia na kuua watu zaidi ya laki moja; hii ndio hulka ya kibeberu ya jeshi la Marekani, kutokuwa na dini, kutomwamini Mwenyezi Mungu na utovu wa maadili wa Marekani.

  • Meli za kivita za Marekani, Australia na Japan zashiriki mazoezi ya kijeshi, China yaonya kuhusu taharuki

    Meli za kivita za Marekani, Australia na Japan zashiriki mazoezi ya kijeshi, China yaonya kuhusu taharuki

    Jul 23, 2020 07:00

    Meli tano za kivita za Australia zimejiunga na manowari za majeshi ya majini ya Japan na Marekani kwa ajili ya mazoezi ya pamoja katika Bahari ya Ufilipino eneo la Bahari ya Pasifiki.

  • Alkhamisi tarehe 16 Julai mwaka 2020

    Alkhamisi tarehe 16 Julai mwaka 2020

    Jul 16, 2020 17:54

    Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Mfunguo Pili Dhulqaada 1441 Hijria sawa na Julai 16 mwaka 2020.

  • Rais Rouhani: Iwapo Marekani ni mkweli kuhusu madai yake, isitishe vikwazo dhidi ya Iran

    Rais Rouhani: Iwapo Marekani ni mkweli kuhusu madai yake, isitishe vikwazo dhidi ya Iran

    May 06, 2020 04:15

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu madai ya Marekani kuwa iko tayari kuisadia Iran kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 (corona) na kusema: "Iwapo Wamarekani ni wakweli, njia pekee ni kuondoa vikwazo vilivyo kinyume cha sheria dhidi ya Iran."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS