Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Zarif: Marekani inapaswa kuondoa bila masharti yoyote vikwazo vyote vilivyowekwa na Trump

    Zarif: Marekani inapaswa kuondoa bila masharti yoyote vikwazo vyote vilivyowekwa na Trump

    Feb 19, 2021 10:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani inapaswa kuondoa bila masharti yoyote na kwa namna iliyo athirifu vikwazo vyote vilivyorejeshwa upya na kutekelezwa na aliyekuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump.

  • Rouhani: Haiyumkiniki kujumuisha maudhui nyingine katika JCPOA

    Rouhani: Haiyumkiniki kujumuisha maudhui nyingine katika JCPOA

    Feb 17, 2021 23:44

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni jambo lisilowezekana kuarifisha na kujumuisha maudhui nyinginezo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Mashauriano ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufaransa kuhusu namna ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Mashauriano ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufaransa kuhusu namna ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Feb 16, 2021 04:23

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufanrasa jana usiku walifanya mashauriano kuhusu masuala tofauti yakiwemo jinsi ya kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA na vile vile hali ya msambao wa kasi wa virusi vya corona barani Ulaya.

  • Araqchi: JCPOA haina maana yoyote iwapo vikwazo dhidi ya Iran havitaondolewa

    Araqchi: JCPOA haina maana yoyote iwapo vikwazo dhidi ya Iran havitaondolewa

    Feb 13, 2021 05:10

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema makubaliano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA hayatakuwa na maana wala thamani yoyote iwapo vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu havitaondolewa.

  • Iran: Ni Marekani ndiyo iliyojitoa katika JCPOA na ndiyo yenye wajibu wa kurejea

    Iran: Ni Marekani ndiyo iliyojitoa katika JCPOA na ndiyo yenye wajibu wa kurejea

    Feb 11, 2021 23:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza tena kwamba ni Marekani ndiyo iliyojitoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA na ndiyo yenye wajibu wa kuchukua hatua za kwanza za kurejea kwenye makubaliano hayo, amesema, serikali ya Biden huko Marekani bado haijajua ifuate siasa zipi wakati siasa za Iran ziko wazi kabisa.

  • "Mlango wa fursa kwa Marekani kurekebisha makosa ya Trump unakaribia kujifunga"

    Feb 10, 2021 20:06

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema iwapo Marekani na nchi za Ulaya zitaendelea kujikokota katika utekelezaji na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, basi Jamhuri ya Kiislamu karibuni hivi itachukua hatua nyingine mpya za kupunguza uwajibikaji wake katika mapatano hayo.

  • Iran: Marekani ingali inakiuka azimio 2231 kwa vikwazo haramu

    Iran: Marekani ingali inakiuka azimio 2231 kwa vikwazo haramu

    Feb 05, 2021 09:00

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Marekani inaendelea kukanyaga azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la umoja huo kwa kuliwekea taifa hili vikwazo kinyume cha sheria.

  • EU: Diplomasia ichukue nafasi ya mashinikizo ya kiwango cha juu

    EU: Diplomasia ichukue nafasi ya mashinikizo ya kiwango cha juu

    Feb 05, 2021 08:18

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema 'diplomasia ya kiwango cha juu' inapaswa kuchukua nafasi ya 'mashinikizo ya kiwango cha juu.'

  • EU: Matamshi ya rais wa Ufaransa kuhusu JCPOA ni 'misimamo yake binafsi'

    EU: Matamshi ya rais wa Ufaransa kuhusu JCPOA ni 'misimamo yake binafsi'

    Feb 02, 2021 04:01

    Umoja wa Ulaya umesema, matamshi aliyotoa rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwamba Saudi Arabia ishirikishwe katika mazungumzo ya nyuklia ya Iran ya JCPOA ni 'misimamo yake binafsi'.

  • Zarif: Marekani sharti itekeleze wajibu wake kwa kurejea katika JCPOA

    Zarif: Marekani sharti itekeleze wajibu wake kwa kurejea katika JCPOA

    Feb 02, 2021 00:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haina budi kutekeleza wajibu na majukumu yake kwa kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS