Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Upinzani wa mrengo wa Mashariki wa kundi la 4+1 kwa msimamo wa IAEA kuhusu Iran

    Upinzani wa mrengo wa Mashariki wa kundi la 4+1 kwa msimamo wa IAEA kuhusu Iran

    Mar 05, 2020 22:54

    Ripoti ya mwisho kabisa ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kuhusiana na miradi ya nyuklia ya Iran, mbali na kudai kwamba Tehran haikuchunga mipaka iliyowekwa kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA, imetoa madai mengine mapya kuhusu Iran, mambo ambayo yamepingwa na mrengo wa Mashariki wa kundi la 4+1 ambao unaundwa na nchi mbili za Russia na China.

  • Rais Rouhani asisitiza kuwa JCPOA itabakia hai kwa ushirikiano

    Rais Rouhani asisitiza kuwa JCPOA itabakia hai kwa ushirikiano

    Feb 29, 2020 23:39

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yataendelea kuwepo na kubakia hai madhali kutakuwepo na ushirikiano wa pande zote husika.

  • Rouhani: Iran haijafunga mlango wa mazungumzo ya kuinusuru JCPOA

    Rouhani: Iran haijafunga mlango wa mazungumzo ya kuinusuru JCPOA

    Feb 23, 2020 10:02

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijafunga mlango wa kufanya mazungumzo na nchi za Ulaya kwa shabaha ya kuyanusuru makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  •  Borrell akosoa msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA

    Borrell akosoa msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA

    Feb 17, 2020 09:31

    Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya inayojumuisha Ujerumani, Ufaransa, na Uingereza ni pande ambazo zimekuwa na nafasi muhimu katika kufikiwa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA). Lakini baada ya Markenai kujiondoa katika mapatano hayo, pande hizo hazijachukua hatua za kivitendo kuyalinda na sasa hata maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Ulaya wamekiri kuhusu udhaifu huo.

  • "Njia sahihi ya kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo, ni Ulaya kufungamana na JCPOA"

    Feb 16, 2020 04:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inataraji kuwa nchi za Ulaya zitafungamana na ahadi zake kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama zilizovyoahidi, na kwamba hatua hiyo ndiyo njia pekee na sahihi ya kuyapatia ufumbuzi matatizo yaliyopo.

  •  Borrell autaka Umoja wa Ulaya kudhamini haki za Iran kwa mujibu wa mkataba wa JCPOA

    Borrell autaka Umoja wa Ulaya kudhamini haki za Iran kwa mujibu wa mkataba wa JCPOA

    Feb 08, 2020 23:12

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema uhai wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA unafungamana na suala la Iran kudhaminiwa mafao yake katika mkataba huo.

  • Mkurugenzi Mkuu wa IAEA: Wakala hautoi maoni kuhusu kupungua utekelezaji wa Iran ndani ya makubaliano ya JCPOA

    Mkurugenzi Mkuu wa IAEA: Wakala hautoi maoni kuhusu kupungua utekelezaji wa Iran ndani ya makubaliano ya JCPOA

    Feb 06, 2020 04:12

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) ambaye yuko ziarani nchini Marekani amesema kuwa, utoaji maoni kuhusu hatua ya Iran ya kupunguza uwajibikaji wake ndani ya JCPOA si katika majukumu ya taasisi hiyo.

  • Mkuu mpya wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya yuko safarini Iran

    Mkuu mpya wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya yuko safarini Iran

    Feb 03, 2020 08:16

    Josep Borell, mkuu mpya wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya leo Jumanne amewasili Iran ikiwa ni safari yake ya kwanza humu nchini baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo.

  • Mkuu mpya wa Sera za Kigeni wa EU kuitembelea Iran kwa mara ya kwanza

    Mkuu mpya wa Sera za Kigeni wa EU kuitembelea Iran kwa mara ya kwanza

    Feb 02, 2020 03:55

    Mkuu mpya wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya anatazamiwa kuwasili hapa mjini Tehran kesho Jumatatu, kujadili masuala yenye umuhimu kwa pande mbili na maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Sisitizo la Ufaransa la kupinga Umoja wa Ulaya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa ya Marekani dhidi ya Iran

    Sisitizo la Ufaransa la kupinga Umoja wa Ulaya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa ya Marekani dhidi ya Iran

    Jan 30, 2020 22:52

    Rais Donald Trump wa Marekani sambamba na kupinga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Mei mwaka 2018 alichukua uamuzi wa kuiondoa nchi yake katika makubaliano hayo ya kimataifa, hatua ambayo ilikwenda sambamba na kuiwekea Iran mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS