Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Msimamo makini wa Russia, wa kupinga JCPOA kuhusishwa na masuala mengine ya Iran

    Msimamo makini wa Russia, wa kupinga JCPOA kuhusishwa na masuala mengine ya Iran

    Dec 13, 2018 23:12

    Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei mwaka huu wa 2018, kila mara imekuwa ikijaribu kufanya kila njia kuzishusisha shughuli za nyuklia za Iran na masuala mengine, ili kutetea na kuhalalisha uamuzi wake wa kujitoa kwenye makubaliano hayo.

  • Umoja wa Mataifa: Jamii ya kimataifa ina wajibu wa kulinda JCPOA

    Umoja wa Mataifa: Jamii ya kimataifa ina wajibu wa kulinda JCPOA

    Dec 12, 2018 03:00

    Kwa mara nyingine tena Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) yanapaswa kulindwa na wadau wote katika eneo na jamii ya kimataifa.

  • Sisitizo la Mogherini la kuzinduliwa hivi karibuni mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya

    Sisitizo la Mogherini la kuzinduliwa hivi karibuni mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya

    Dec 11, 2018 21:43

    Kujiondoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) Mei 8 mwaka huu, kulikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanachama wengine ya JCPOA katika kalibu ya kundi la 4+1.

  • Mogherini: EU kuzindua mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya karibuni

    Mogherini: EU kuzindua mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya karibuni

    Dec 11, 2018 00:04

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema mfumo maalumu kwa ajili ya mabadilishano ya fedha kati ya Iran na Ulaya kwa kifupi SPV utazinduliwa ndani ya siku chache zijazo.

  • Qassemi:

    Qassemi: "Mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya" unafuatiliwa

    Dec 03, 2018 12:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Mfumo maalumu kwa ajili ya mabadilishano ya fedha kati ya Iran na Ulaya kwa kifupi SPV ungali unaendelea kufuatiliwa; na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeshabainisha wazi mategemeo iliyonayo katika suala hilo.

  • Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran

    Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran

    Nov 30, 2018 03:57

    Umoja wa Ulaya mara kwa mara umekuwa ukisisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na sababu kuu ni nafasi muhimu na bora ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati ikiwa ni pamoja na nafasi yake bora katika upande wa jiopolitiki, kisiasa, kiuchumi na kinishati. Jambo jingine linalopewa umuhimu na Umoja wa Ulaya ni kulinda mapatano ya nyukilia ya JCPOA.

  • Jitihada za ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jitihada za ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Nov 28, 2018 23:35

    Mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, ambayo yalifikiwa Julai mwaka 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 yalikuwa mapatano muhimu sana katika uga wa kulinda amani na usalama wa kimataifa.

  • Iran na EU zasisitizia haja ya kuendelea kufungamana na JCPOA

    Iran na EU zasisitizia haja ya kuendelea kufungamana na JCPOA

    Nov 28, 2018 04:12

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya kwa mara nyingine tena zimesema kuwa pande mbili hizo zitaendelea kuheshimu na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Vienna, licha ya Marekani kujiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa.

  • Ufaransa na Ujerumani kuwa wenyeji wa mfumo wa ubadilishanaji fedha na Iran

    Ufaransa na Ujerumani kuwa wenyeji wa mfumo wa ubadilishanaji fedha na Iran

    Nov 27, 2018 04:26

    Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Ulaya wameliambia gazeti la Wall Street Journal kuwa huenda Ufaransa na Ujerumani zikawa wenyeji wa mfumo maalumu wa ubadilishanaji fedha na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unaojulikana kama SPV, kwa shabaha ya kukwepa vikwazo vya Marekani dhidi ya Tehran.

  • Iran ina haki ya kurutubuisha tena urani kama jibu kwa Marekani

    Iran ina haki ya kurutubuisha tena urani kama jibu kwa Marekani

    Nov 25, 2018 04:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran ina haki ya kuimarisha urutubishaji urani katika vituo vyake vya nyuklia, kama radiamali kwa hatua ya Marekani ya kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS