-
Uungaji mkono imara wa Russia na China kwa JCPOA na hatua za pamoja kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo
Sep 30, 2018 04:04Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akiyakosoa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalitiwa saini Julai 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo Marekani akiyataja kuwa makubaliano mabaya kabisa.
-
EU kuunda 'chombo maalumu' cha kufanikisha biashara na Iran
Sep 25, 2018 04:36Nchi zilizosalia kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kama JCPOA zimeazimia kuunda 'chombo maalumu' kitakachofanikisha mabadilishano ya kibiashara na Tehran kama sehemu moja ya kuyanusuru mapatano hayo yaliyotiwa saini Julai 2015 mjini Vienna Austria.
-
Maafisa wa zamani wa serikali Marekani wamtaka Trump arejee kwenye JCPOA
Sep 24, 2018 03:16Zaidi ya maafisa 50 wa zamani wa masuala ya usalama, siasa na jeshi wa Marekani wamesisitiza tena udharura wa nchi hiyo kurejea katika makubaliano ya nyuklia na Iran, kwa kifupi JCPOA.
-
Zarif: Marekani "imeyakejeli" matakwa ya kutaka amani
Sep 20, 2018 23:26Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali ya Marekani imeyafanyia kejeli matakwa ya amani.
-
Sisitizo la IAEA la kutekeza Iran makubaliano ya nyuklia; na njama mpya za Donald Trump dhidi ya JCPOA
Sep 18, 2018 07:06Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yalitiwa saini Julai 2015 mjini Vienna Austria baina ya Iran na kundi la 5+1, linaloundwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, China, Russia pamoja na Ujerumani na kuanza kutekelezwa Januari 2016.
-
Yukiya Amano asisitiza tena kwamba, Iran imetekeleza ahadi zake kuhusu JCPOA
Sep 17, 2018 11:12Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba, Iran imekuwa ikitekeleza ahadi zake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
John Kerry ajibu mashambulizi ya kimaneno ya Trump kuhusu JCPOA
Sep 15, 2018 20:42Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani sambamba na kutetea mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, amekiri kwamba, kwa kuzingatia ukiukaji wa ahadi wa Marekani, hakutofanyika mazungumzo yoyote kati ya Iran na Washington.
-
Zarif: Nchi za Ulaya ziamue ima kusimama kidete au kusalimu amri mbele ya Marekani
Sep 15, 2018 09:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zinapaswa kuamua ima zisimame kidete au zisalimu amri mbele ya Marekani. Aidha amesema nchi za Ulaya zinapaswa kufidia hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatnao ya nyuklia ya Iran, JCPOA.
-
Hatua mpya za Umoja wa Ulaya za kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Sep 15, 2018 03:29Umoja wa Ulaya (EU), ambao nchi zake tatu muhimu, yaani Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ni wanachama wa kundi 5+1, mbali kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya Iran ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) umesisitiza kukabiliana na hatua za Marekani za kutaka kuyavunja makubaliano hayo; na katika kufanya hivyo umechukua hatua nyengine mpya kwa madhumuni ya kuyalinda makubaliano hayo ya JCPOA.
-
Sisitizo la Rais Vladmir Putin wa Russia juu ya ulazima wa kudhaminiwa usalama wa kimataifa wa Korea Kaskazini
Sep 13, 2018 21:56Mgogoro wa Rasi ya Korea ni moja ya masuala ambayo Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akiyapa umuhimu mkubwa, tangu alipoingia madarakani nchini humo.