Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar

    Aug 23, 2019 02:31

    Maafisa wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya wamefichua kuwa kundi moja la jeshi la Ufaransa linalomsaidia jenerali mstaafu Khalifa Haftar limewajengea wapiganaji wa kiongozi huyo muasi kituo cha kurushia ndege zisizo na rubani katika bandari ya mafuta ya al Sidr huko kaskazini mwa Libya.

  • Mafanikio ya sekta ya ulinzi ya Iran; Nguvu kuu na isiyo na shaka katika eneo

    Mafanikio ya sekta ya ulinzi ya Iran; Nguvu kuu na isiyo na shaka katika eneo

    Aug 21, 2019 12:42

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) limetoa taarifa kuadhimisha Siku ya Sekta ya Ulinzi nchini Iran na kuyataja mafanikio katika sekta hiyo ya ulinzi hapa nchini kuwa ni nguvu kuu na isiyo na shaka katika eneo la Asia Magharibi.

  • Jeshi la Iran lazindua mfumo wa rada wa Falaq wa ulinzi wa anga

    Jeshi la Iran lazindua mfumo wa rada wa Falaq wa ulinzi wa anga

    Aug 10, 2019 15:29

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limezindua mfumo wa rada wa ulinzi wa anga uliopewa jina la Falaq katika hafla iliyohudhuriwa na Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi.

  • Wanamuqawama wa Yemen wavurumisha makombora 4 ya Zilzal-1 kwenye ngome za askari wa Saudia

    Wanamuqawama wa Yemen wavurumisha makombora 4 ya Zilzal-1 kwenye ngome za askari wa Saudia

    Jul 27, 2019 04:12

    Jeshi na kamati za wananchi nchini Yemen limevurumisha makombora manne aina ya Zilzal-1 kwenye ngome za vibaraka wa muungano vamizi wa Saudia katika mikoa ya Aseer na Najran kusini mwa Saudia.

  • Jumamosi, 13 Julai, 2019

    Jumamosi, 13 Julai, 2019

    Jul 13, 2019 01:16

    Leo ni Jumamosi tarehe 10 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1440 Hijria mwafaka na tarehe 13 Julai 2019.

  • Mjumbe wa AU: Pande hasimu Sudan kusaini makubaliano ya kisiasa leo

    Mjumbe wa AU: Pande hasimu Sudan kusaini makubaliano ya kisiasa leo

    Jul 13, 2019 01:09

    Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wanatazamiwa kusaini makubaliano ya kisiasa leo Jumamosi, saa chache baada ya jeshi hilo kutangaza kuwa limezima jaribio la mapinduzi.

  • Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Jul 05, 2019 02:55

    Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameafikiana juu ya suala la kugawana madaraka katika kipindi cha mpito kuelekea katika uchaguzi.

  • Pande mbili hasimu nchini Sudan zaanza tena mazungumzo ya ana kwa ana

    Pande mbili hasimu nchini Sudan zaanza tena mazungumzo ya ana kwa ana

    Jul 04, 2019 07:29

    Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameanza tena mazungumzo ya moja kwa moja juu ya kipindi cha mpito baada ya kusitiishwa mazungumzo hayo kwa mwezi mzima kufuatia mauaji yaliyofanywa na jeshi la Sudan dhidi ya zaidi ya waandamanaji 100 mbele ya makao ya jeshi mjini Khartoum.

  • Wayemen waushambulia tena uwanja wa ndege wa kimataifa wa Saudia; mara hii watumia droni tano

    Wayemen waushambulia tena uwanja wa ndege wa kimataifa wa Saudia; mara hii watumia droni tano

    Jun 14, 2019 07:28

    Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abha wa kusini mwa Saudi Arabia umeshambuliwa tena na jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen.

  • Magaidi 100 wangamizwa katika mkoa wa Hama nchini Syria

    Magaidi 100 wangamizwa katika mkoa wa Hama nchini Syria

    May 28, 2019 07:54

    Kituo cha Upatanishi cha Russia nchini Syria kimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limevunja shambulizi la magaidi wa Jabhat al Nusra kaskazini mwa mkoa wa Hama na kuangamiza magaidi wasiopungua 100 walioshambulia vituo vya jeshi hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS