-
Uwezo wa Iran wa kujihami angani umemfanya adui apoteze matumaini
Sep 01, 2019 06:55Brigedia Jenerali Alireza Sabahi Fard, Kamanda wa Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Khatamul Anbiya (SAW) cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akizingumza katika mkesha wa 'Siku ya Ulinzi wa Anga' ameashiria mafanikio ya Iran katika sekta ya ulinzi wa anga na kusema: "Uwezo wa Iran wa kujihami angani umemfanya adui apoteze matumaini."
-
Majeshi ya Iran yako tayari kukabiliana na maadui
Aug 28, 2019 03:33Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema majeshi yote ya Iran yako katika hali ya juu ya utayarifu wa kukabiliana na maadui.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar
Aug 22, 2019 22:01Maafisa wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya wamefichua kuwa kundi moja la jeshi la Ufaransa linalomsaidia jenerali mstaafu Khalifa Haftar limewajengea wapiganaji wa kiongozi huyo muasi kituo cha kurushia ndege zisizo na rubani katika bandari ya mafuta ya al Sidr huko kaskazini mwa Libya.
-
Mafanikio ya sekta ya ulinzi ya Iran; Nguvu kuu na isiyo na shaka katika eneo
Aug 21, 2019 08:12Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) limetoa taarifa kuadhimisha Siku ya Sekta ya Ulinzi nchini Iran na kuyataja mafanikio katika sekta hiyo ya ulinzi hapa nchini kuwa ni nguvu kuu na isiyo na shaka katika eneo la Asia Magharibi.
-
Jeshi la Iran lazindua mfumo wa rada wa Falaq wa ulinzi wa anga
Aug 10, 2019 10:59Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limezindua mfumo wa rada wa ulinzi wa anga uliopewa jina la Falaq katika hafla iliyohudhuriwa na Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi.
-
Wanamuqawama wa Yemen wavurumisha makombora 4 ya Zilzal-1 kwenye ngome za askari wa Saudia
Jul 26, 2019 23:42Jeshi na kamati za wananchi nchini Yemen limevurumisha makombora manne aina ya Zilzal-1 kwenye ngome za vibaraka wa muungano vamizi wa Saudia katika mikoa ya Aseer na Najran kusini mwa Saudia.
-
Jumamosi, 13 Julai, 2019
Jul 12, 2019 20:46Leo ni Jumamosi tarehe 10 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1440 Hijria mwafaka na tarehe 13 Julai 2019.
-
Mjumbe wa AU: Pande hasimu Sudan kusaini makubaliano ya kisiasa leo
Jul 12, 2019 20:39Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wanatazamiwa kusaini makubaliano ya kisiasa leo Jumamosi, saa chache baada ya jeshi hilo kutangaza kuwa limezima jaribio la mapinduzi.
-
Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka
Jul 04, 2019 22:25Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameafikiana juu ya suala la kugawana madaraka katika kipindi cha mpito kuelekea katika uchaguzi.
-
Pande mbili hasimu nchini Sudan zaanza tena mazungumzo ya ana kwa ana
Jul 04, 2019 02:59Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameanza tena mazungumzo ya moja kwa moja juu ya kipindi cha mpito baada ya kusitiishwa mazungumzo hayo kwa mwezi mzima kufuatia mauaji yaliyofanywa na jeshi la Sudan dhidi ya zaidi ya waandamanaji 100 mbele ya makao ya jeshi mjini Khartoum.