-
Wayemen waushambulia tena uwanja wa ndege wa kimataifa wa Saudia; mara hii watumia droni tano
Jun 14, 2019 02:58Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abha wa kusini mwa Saudi Arabia umeshambuliwa tena na jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen.
-
Magaidi 100 wangamizwa katika mkoa wa Hama nchini Syria
May 28, 2019 03:24Kituo cha Upatanishi cha Russia nchini Syria kimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limevunja shambulizi la magaidi wa Jabhat al Nusra kaskazini mwa mkoa wa Hama na kuangamiza magaidi wasiopungua 100 walioshambulia vituo vya jeshi hilo.
-
Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli
May 21, 2019 09:00Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametoa mwito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima, wakisisitiza kuwa vikao viwili vya mazungumzo vya juzi na jana jioni vimeshindwa kupatia ufumbuzi hitilafu zilizopo baina ya pande mbili.
-
Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai
May 16, 2019 22:02Jeshi la Misri limeangamiza magaidi 47 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo katika mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Amri ya Kim Jong-un ya kuimarishwa uwezo wa jeshi la Korea Kaskazini
May 12, 2019 05:57Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ametoa amri ya kuimarishwa uwezo wa jeshi la nchi hiyo kwa ajili ya kukabiliana na adui.
-
Kim Jong-un atoa amri ya kuongezwa uwezo zaidi wa hamasa ya jeshi la Korea Kaskazini kumkabili adui
May 11, 2019 10:05Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ametoa amri kwa viongozi wote wa nchi hiyo kuinua uwezo wa hamasa wa jeshi kwa ajili ya kukabiliana na adui.
-
Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq
Apr 21, 2019 02:09Duru za habari zimeripoti kuwa mwanajeshi mmoja gaidi wa Marekani ameuawa kaskazini mwa Iraq.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi: Udugu wa Jeshi na IRGC ni harakati maridadi baada ya hatua chafu ya Marekani
Apr 17, 2019 09:26Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Iran amesema umoja unaozidi kuimarika wa majeshi y Iran ni jambo ambalo limemkasirisha adui na kuongeza: "Mkondo wa udugu kati ya Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ni harakati maridadi baada ya harakati chafu ya Marekani."
-
Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo
Apr 10, 2019 10:06Mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela uliibuka tangu tarehe 10 Januari mwaka huu, wakati Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo aliposhinda kwa kuchaguliwa kwa mara ya pili na kuapishwa kuwa rais wa taifa hilo la Amerika ya Latini, katika uchaguzi ambao ulisusiwa na wapinzani.
-
Jeshi la Syria laangamiza maficho ya magaidi wa Jabhat al Nusra mkoani Hama
Mar 19, 2019 11:33Wanajeshi wa Syria wameshambulia na kuangamiza maficho ya magaidi wa Jabhat al Nusra katika viunga vya mkoa wa Hama wa magharibi mwa nchi hiyo.