Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    May 21, 2019 13:30

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametoa mwito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima, wakisisitiza kuwa vikao viwili vya mazungumzo vya juzi na jana jioni vimeshindwa kupatia ufumbuzi hitilafu zilizopo baina ya pande mbili.

  • Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai

    Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai

    May 17, 2019 02:32

    Jeshi la Misri limeangamiza magaidi 47 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Amri ya Kim Jong-un ya kuimarishwa uwezo wa jeshi la Korea Kaskazini

    Amri ya Kim Jong-un ya kuimarishwa uwezo wa jeshi la Korea Kaskazini

    May 12, 2019 10:27

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ametoa amri ya kuimarishwa uwezo wa jeshi la nchi hiyo kwa ajili ya kukabiliana na adui.

  • Kim Jong-un atoa amri ya kuongezwa uwezo zaidi wa hamasa ya jeshi la Korea Kaskazini kumkabili adui

    Kim Jong-un atoa amri ya kuongezwa uwezo zaidi wa hamasa ya jeshi la Korea Kaskazini kumkabili adui

    May 11, 2019 14:35

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ametoa amri kwa viongozi wote wa nchi hiyo kuinua uwezo wa hamasa wa jeshi kwa ajili ya kukabiliana na adui.

  • Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq

    Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq

    Apr 21, 2019 06:39

    Duru za habari zimeripoti kuwa mwanajeshi mmoja gaidi wa Marekani ameuawa kaskazini mwa Iraq.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi: Udugu wa Jeshi na IRGC ni harakati maridadi baada ya hatua chafu ya Marekani

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi: Udugu wa Jeshi na IRGC ni harakati maridadi baada ya hatua chafu ya Marekani

    Apr 17, 2019 13:56

    Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Iran amesema umoja unaozidi kuimarika wa majeshi y Iran ni jambo ambalo limemkasirisha adui na kuongeza: "Mkondo wa udugu kati ya Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ni harakati maridadi baada ya harakati chafu ya Marekani."

  • Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo

    Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo

    Apr 10, 2019 14:36

    Mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela uliibuka tangu tarehe 10 Januari mwaka huu, wakati Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo aliposhinda kwa kuchaguliwa kwa mara ya pili na kuapishwa kuwa rais wa taifa hilo la Amerika ya Latini, katika uchaguzi ambao ulisusiwa na wapinzani.

  • Jeshi la Syria laangamiza maficho ya magaidi wa Jabhat al Nusra mkoani Hama

    Jeshi la Syria laangamiza maficho ya magaidi wa Jabhat al Nusra mkoani Hama

    Mar 19, 2019 15:03

    Wanajeshi wa Syria wameshambulia na kuangamiza maficho ya magaidi wa Jabhat al Nusra katika viunga vya mkoa wa Hama wa magharibi mwa nchi hiyo.

  • Raia 10 wa Syria wauawa katika mashambulizi ya ndege za muungano vamizi

    Raia 10 wa Syria wauawa katika mashambulizi ya ndege za muungano vamizi

    Mar 17, 2019 16:55

    Duru za habari za Syria zimetangaza kuwa raia kumi wa nchi hiyo wamuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani huko mashariki mwa Syria.

  • Rais al Bashir wa Sudan atoa amri ya kuwastaafisha maafisa wa jeshi

    Rais al Bashir wa Sudan atoa amri ya kuwastaafisha maafisa wa jeshi

    Mar 09, 2019 07:31

    Rais Omar al Bashir wa Sudan ametoa amri ya kuwastaafisha maafisa kadhaa wa jeshi la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS