Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Uwezo wa Iran wa kujihami na kumzuia adui; chanzo cha uthabiti na usalama

    Uwezo wa Iran wa kujihami na kumzuia adui; chanzo cha uthabiti na usalama

    Feb 23, 2019 07:41

    Vikosi vya kijeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinadhibiti kikamilifu hali ya mambo na viko tayari kukabiliana na vitisho katika eneo.

  • Jeshi la Venezuela latangaza tena utiifu wake kwa Rais Maduro

    Jeshi la Venezuela latangaza tena utiifu wake kwa Rais Maduro

    Feb 21, 2019 02:55

    Waziri wa Ulinzi wa Venezuela ametangaza tena utiifu wake na vikosi vya majeshi ya nchi hiyo kwa Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo na kusema kuwa, makamanda na wanajeshi wa nchi hiyo wanafuata na kuutii amri ya Rais Maduro na wataendelea kusimama naye bega kwa bega hadi tone la mwisho la damu yao.

  • Silaha za Marekani na magaidi wa Israel zapatikana Syria

    Silaha za Marekani na magaidi wa Israel zapatikana Syria

    Feb 19, 2019 08:00

    Askari usalama wa Syria wamenasa idadi kubwa ya silaha za Marekani na Israel zinazomilikiwa na magaidi huko Rif-Dimashq.

  • Buhari: Jeshi litakabiliana vikali na hatua za kukwamisha uchaguzi ulioakhirishwa

    Buhari: Jeshi litakabiliana vikali na hatua za kukwamisha uchaguzi ulioakhirishwa

    Feb 19, 2019 07:53

    Rais Muhammadu Buhari ametahadharisha kuwa yoyote anayejaribu kuzuia uchaguzi wa rais ulioakhirishwa nchini humo anahatarisha maisha yake. Rais wa Nigeria ameituhumu pia Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo kwa kutofanya kazi kwa mujibu wa sheria.

  • Iran yazindua nyambizi mpya yenye makombora ya cruise

    Iran yazindua nyambizi mpya yenye makombora ya cruise

    Feb 18, 2019 02:33

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amezindua nyambizi ya kisasa iliyoundwa hapa nchini ambayo ina uwezo wa kusheheni makombora ya cruise.

  • Jeshi la Sudan: Hatutaruhusu nchi isambaratike kutokana na machafuko

    Jeshi la Sudan: Hatutaruhusu nchi isambaratike kutokana na machafuko

    Jan 31, 2019 14:55

    Jeshi la Sudan limesema kuwa halitaruhusu nchi isambaratike kufuatia maandamano ya nchi nzima yanayoendelea sasa huku Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo akitahadharisha juu ya kuwepo njama ya kuchochea hali ya mchafukoge nchini humo.

  • Maelfu ya wanajeshi wa Marekani waelekea katika mpaka wa Mexico

    Maelfu ya wanajeshi wa Marekani waelekea katika mpaka wa Mexico

    Jan 30, 2019 07:26

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa, maelfu ya wanajeshi wa nchi hiyo wameelekea katika mpaka wa Mexico kwa lengo la kile kilichotajwa kuwa ni kurejesha hali ya usalama katika eneo hilo.

  • Admeri Sayyari: Mfumo wa kijeshi wa Iran ni wa kujihami na kutegemea uwezo wa kuzuia hujuma dhidi yake

    Admeri Sayyari: Mfumo wa kijeshi wa Iran ni wa kujihami na kutegemea uwezo wa kuzuia hujuma dhidi yake

    Jan 27, 2019 08:01

    Mkuu wa uratibu wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, mfumo wa kijeshi wa Iran ni wa kujihami na unaotegemea uwezo wa kuzuia hujuma dhidi yake na akaongezea kwa kusema, zana zote za kijeshi na kiulinzi za vikosi vya ulinzi zinatengezwa humu humu nchini.

  • Israel yakiri kuwapa msaada wa silaha wapinzani wa serikali ya Syria

    Israel yakiri kuwapa msaada wa silaha wapinzani wa serikali ya Syria

    Jan 16, 2019 04:28

    Mkuu wa Majeshi ya Utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa utawala huo umekuwa ikiwapa silaha wapinzani wa serikali ya Syria.

  • Zimbabwe yatumia wanajeshi kuzima maandamano, kadhaa wauawa

    Zimbabwe yatumia wanajeshi kuzima maandamano, kadhaa wauawa

    Jan 15, 2019 14:38

    Watu wasiopungua watano wameuawa na maafisa usalama huku maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta kwa asilimia 150 nchini Zimbabwe yakishtadi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS