-
Uwezo wa Iran wa kujihami na kumzuia adui; chanzo cha uthabiti na usalama
Feb 23, 2019 07:41Vikosi vya kijeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinadhibiti kikamilifu hali ya mambo na viko tayari kukabiliana na vitisho katika eneo.
-
Jeshi la Venezuela latangaza tena utiifu wake kwa Rais Maduro
Feb 21, 2019 02:55Waziri wa Ulinzi wa Venezuela ametangaza tena utiifu wake na vikosi vya majeshi ya nchi hiyo kwa Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo na kusema kuwa, makamanda na wanajeshi wa nchi hiyo wanafuata na kuutii amri ya Rais Maduro na wataendelea kusimama naye bega kwa bega hadi tone la mwisho la damu yao.
-
Silaha za Marekani na magaidi wa Israel zapatikana Syria
Feb 19, 2019 08:00Askari usalama wa Syria wamenasa idadi kubwa ya silaha za Marekani na Israel zinazomilikiwa na magaidi huko Rif-Dimashq.
-
Buhari: Jeshi litakabiliana vikali na hatua za kukwamisha uchaguzi ulioakhirishwa
Feb 19, 2019 07:53Rais Muhammadu Buhari ametahadharisha kuwa yoyote anayejaribu kuzuia uchaguzi wa rais ulioakhirishwa nchini humo anahatarisha maisha yake. Rais wa Nigeria ameituhumu pia Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo kwa kutofanya kazi kwa mujibu wa sheria.
-
Iran yazindua nyambizi mpya yenye makombora ya cruise
Feb 18, 2019 02:33Rais Hassan Rouhani wa Iran amezindua nyambizi ya kisasa iliyoundwa hapa nchini ambayo ina uwezo wa kusheheni makombora ya cruise.
-
Jeshi la Sudan: Hatutaruhusu nchi isambaratike kutokana na machafuko
Jan 31, 2019 14:55Jeshi la Sudan limesema kuwa halitaruhusu nchi isambaratike kufuatia maandamano ya nchi nzima yanayoendelea sasa huku Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo akitahadharisha juu ya kuwepo njama ya kuchochea hali ya mchafukoge nchini humo.
-
Maelfu ya wanajeshi wa Marekani waelekea katika mpaka wa Mexico
Jan 30, 2019 07:26Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa, maelfu ya wanajeshi wa nchi hiyo wameelekea katika mpaka wa Mexico kwa lengo la kile kilichotajwa kuwa ni kurejesha hali ya usalama katika eneo hilo.
-
Admeri Sayyari: Mfumo wa kijeshi wa Iran ni wa kujihami na kutegemea uwezo wa kuzuia hujuma dhidi yake
Jan 27, 2019 08:01Mkuu wa uratibu wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, mfumo wa kijeshi wa Iran ni wa kujihami na unaotegemea uwezo wa kuzuia hujuma dhidi yake na akaongezea kwa kusema, zana zote za kijeshi na kiulinzi za vikosi vya ulinzi zinatengezwa humu humu nchini.
-
Israel yakiri kuwapa msaada wa silaha wapinzani wa serikali ya Syria
Jan 16, 2019 04:28Mkuu wa Majeshi ya Utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa utawala huo umekuwa ikiwapa silaha wapinzani wa serikali ya Syria.
-
Zimbabwe yatumia wanajeshi kuzima maandamano, kadhaa wauawa
Jan 15, 2019 14:38Watu wasiopungua watano wameuawa na maafisa usalama huku maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta kwa asilimia 150 nchini Zimbabwe yakishtadi.