Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Uchaguzi Kenya: Kofi Annan amtaka Raila Odinga atumie njia za kisheria

    Uchaguzi Kenya: Kofi Annan amtaka Raila Odinga atumie njia za kisheria

    Aug 13, 2017 23:04

    Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan, ambaye alikuwa mpatanishi mkuu baada ya mzozo wa kisiasa nchini Kenya miaka kumi iliyopita, ametoa wito kwa walioshindwa katika uchaguzi wa Kenya kutumia mifumo ya kisheria kwa ajili ya kutafuta haki.

  • Odinga: Kesho Jumatatu msiende kazini, Jumanne nitatoa tangazo muhimu

    Odinga: Kesho Jumatatu msiende kazini, Jumanne nitatoa tangazo muhimu

    Aug 13, 2017 09:18

    Kinara wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amewataka wafuasi wake wasiende kazini kesho Jumatatu na wajiandae kupokea kile alichokitaja kuwa maelekezo na tangazo zito litakalotikisa taifa siku ya Jumanne.

  • Katibu Mkuu wa UN awataka viongozi wa Kenya kutatua mzozo wa uchaguzi kupitia mamlaka husika

    Katibu Mkuu wa UN awataka viongozi wa Kenya kutatua mzozo wa uchaguzi kupitia mamlaka husika

    Aug 13, 2017 03:41

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewapongeza Wakenya kwa kushiriki kwa amani katika uchaguzi mkuu wa Agosti 8.

  • SAUTI, Wizara ya Usalama wa Ndani Kenya: Polisi haijatumia nguvu kuwazuia wanaoandamana kwa amani nchini

    SAUTI, Wizara ya Usalama wa Ndani Kenya: Polisi haijatumia nguvu kuwazuia wanaoandamana kwa amani nchini

    Aug 12, 2017 11:43

    Usalama umeimarishwa kikamilifu katika maeneo yanayoaminika kuwa ngome za upinzani nchini Kenya kwa lengo la kuzuia machafuko.

  • Ushindi wa Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa Rais nchini Kenya

    Ushindi wa Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa Rais nchini Kenya

    Aug 12, 2017 03:54

    Hatimaye na baada ya mjadala mkubwa kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 8 Agosti, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) jana usiku ilimtangaza Uhuru Kenyatta kuwa ndiye aliyeibuka na ushindi wa kiti cha rais wa nchi hiyo.

  • Uhuru Kenyatta atangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi wa rais wa Kenya

    Uhuru Kenyatta atangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi wa rais wa Kenya

    Aug 11, 2017 22:59

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya IEBC imemtangaza rasmi Rais Uhuru Kenyatta mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika siku ya Jumanne ya tarehe 8 Agosti.

  • NASA: Tutakubali matokeo ya uchaguzi kwa masharti

    NASA: Tutakubali matokeo ya uchaguzi kwa masharti

    Aug 11, 2017 12:38

    Muungano wa upinzani wa NASA nchini Kenya umetangaza kuwa utakubali matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi kote nchini humo iwapo utaruhusiwa kutazama data za asili katika sava za kumputa za Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya nchi hiyo (IEBC).

  • EU yazitaka pande zote kuheshimu sheria nchini Kenya

    EU yazitaka pande zote kuheshimu sheria nchini Kenya

    Aug 11, 2017 11:23

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa unafuatilia kwa makini mwenendo wa uchaguzi wa hivi karibuni huko Kenya.

  • Taharuki Kenya huku matokeo ya uchaguzi wa urais yakisubiriwa kwa hamu

    Taharuki Kenya huku matokeo ya uchaguzi wa urais yakisubiriwa kwa hamu

    Aug 11, 2017 03:15

    Hali ya taharuki imetanda nchini Kenya huku Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini humo (IEBC) ikitazamiwa kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa urais wakati wowote tokeo sasa hii leo.

  • Upinzani Kenya waitaka IEBC imtangaze Raila Odinga mshindi wa uchaguzi wa urais

    Upinzani Kenya waitaka IEBC imtangaze Raila Odinga mshindi wa uchaguzi wa urais

    Aug 10, 2017 10:47

    Mrengo wa upinzani wa NASA nchini Kenya umeitaka Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC imtangaze mgombea wa muungano huo Raila Odinga kuwa, mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika nchini humo siku ya Jumanne.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS