Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kikao

  • Kikao cha viongozi wa nchi za Amerika mjini Lima na njama za Washington dhidi ya Venezuela

    Kikao cha viongozi wa nchi za Amerika mjini Lima na njama za Washington dhidi ya Venezuela

    Apr 15, 2018 13:28

    Katika kikao cha viongozi wa nchi za Amerika kilichofanyika mjini Lima nchini Peru, Michael Pence sambamba na kuashiria kwamba Marekani haitoendelea kufumbia macho matukio yanayojiri nchini Venezuela, amesisitiza juu ya kuendelezwa mashinikizo dhidi ya serikali ya nchi hiyo.

  • Msimamo wa viongozi wa EU dhidi ya Russia; kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Uingereza

    Msimamo wa viongozi wa EU dhidi ya Russia; kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Uingereza

    Mar 24, 2018 07:13

    Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya wameamua katika kikao chao walichofanya kwenye makao makuu ya umoja huo yaliyoko mjini Brussels kuchukua msimamo mmoja wa kuiunga mkono Uingereza dhidi ya Russia.

  • Mtaalamu wa kisiasa: Marekani inasababisha machafuko Afghanistan

    Mtaalamu wa kisiasa: Marekani inasababisha machafuko Afghanistan

    Feb 16, 2018 04:34

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa wa nchini Afghanistan amesema kuwa, nchi za eneo hili haziwezi kuamini mipango ya Marekani nchini Afghanistan, hususan juu ya madai ya viongozi wa Washington kwamba wanapambana na ugaidi na madawa ya kulevya.

  • Mkutano wa 30 wa AU, juhudi za kushinda migogoro ya Afrika

    Mkutano wa 30 wa AU, juhudi za kushinda migogoro ya Afrika

    Jan 29, 2018 12:10

    Mkutano wa 30 wa Umoja wa Afrika (AU) unafanyika katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kwa kaulimbiu ya "Ushindi katika Mapambano dhidi ya Ufisadi na Mageuzi Barani Afrika".

  • Wasiwasi na mashauriano ya majirani wa Libya kuhusiana na kuendelea mgogoro wa nchi hiyo

    Wasiwasi na mashauriano ya majirani wa Libya kuhusiana na kuendelea mgogoro wa nchi hiyo

    Dec 20, 2017 02:35

    Juhudi za kieneo na kimataifa zenye lengo la kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Libya zinaendelea kushuhudiwa huku hatari ya kuenea ugaidi na ukosefu wa usalama ikizitishia pakubwa nchi za eneo la kaskazini mwa Afrika.

  • Huenda Baraza la Usalama la UN likakutana kesho kujadili uamuzi wa Trump dhidi ya Quds

    Huenda Baraza la Usalama la UN likakutana kesho kujadili uamuzi wa Trump dhidi ya Quds

    Dec 16, 2017 08:11

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema, kuna uwezekano kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la umoja huo kikafanyika hapo kesho kujadili rasimu ya azimio linalohusu uamuzi uliochukuwa na Marekani dhidi ya mji wa Baitul Muqaddas.

  • Palestina yaitisha mkutano wa OIC, Arab League Kujadili Tishio la Trump kwa Quds Tukufu

    Palestina yaitisha mkutano wa OIC, Arab League Kujadili Tishio la Trump kwa Quds Tukufu

    Dec 04, 2017 07:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Riad al-Maliki ametoa wito kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu OIC kuitisha mikutano ya kujadili hatima ya Quds Tukufu.

  • Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Nov 30, 2017 11:40

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) kilianza hapo jana na kuendelea hadi leo katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • Baraza la Usalama la UN linakutana leo kujadili masaibu ya Waislamu wa Myanmar

    Baraza la Usalama la UN linakutana leo kujadili masaibu ya Waislamu wa Myanmar

    Oct 13, 2017 04:37

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo linakutana katika kikao kisicho rasmi kwa ajili ya kujadili mgogoro na masaibu yanayowakabili Waislamu Warohingya wa nchini Myanmar.

  • Rouhani: Aliyeanza kukiuka JCPOA amechagua njia ya kutengwa; tunamsubiri Trump awaombe radhi wananchi wa Iran

    Rouhani: Aliyeanza kukiuka JCPOA amechagua njia ya kutengwa; tunamsubiri Trump awaombe radhi wananchi wa Iran

    Sep 21, 2017 04:42

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa makubaliano ya JCPOA si makubaliano ya pande mbili na kwamba nchi yoyote itakayoanza kukiuka makubaliano hayo na kukiuka ahadi zake itakuwa imechagua njia ya kutengwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS