Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Kiongozi wa Mapinduzi atoa mkono wa pole kufuatia kuuawa shahidi Mahakimu wawili wa Idara ya Mahakama

    Kiongozi wa Mapinduzi atoa mkono wa pole kufuatia kuuawa shahidi Mahakimu wawili wa Idara ya Mahakama

    Jan 19, 2025 10:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa salamu za rambirambi na mkono wa pole kufuatia kuuawa shahidi katika shambulio la kigaidi mahakimu wawili wa Idara ya Mahakama ya Iran.

  • Kiongozi Muadhamu atilia mkazo wajibu wa kupambana na wavamizi

    Kiongozi Muadhamu atilia mkazo wajibu wa kupambana na wavamizi

    Jan 09, 2025 03:21

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesisitizia wajibu wa kupambana na uvamizi wa Marekani nchini Iraq. Ametoa mwito huo wakati alipoonana na Waziri Mkuu wa Iraq na ujumbe alioongozana nao waliokwenda kumtembelea ofisini kwake hapa Tehran jana Jumatano.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza Wakristo kwa mnasaba wa kuzaliwa Isa Masih

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza Wakristo kwa mnasaba wa kuzaliwa Isa Masih

    Dec 26, 2024 06:54

    Ukurasa wa lugha ya Kiingereza wa Ofisi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, katika mtandao wa kijamii wa X umechapisha ujumbe wake kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Nabii Isa Masih (as).

  • Kiongozi wa Mapinduzi: Wanaohuisha jina na kumbukumbu ya Mashahidi, wao pia ni Mujahidina katika njia ya Mwenyezi Mungu

    Kiongozi wa Mapinduzi: Wanaohuisha jina na kumbukumbu ya Mashahidi, wao pia ni Mujahidina katika njia ya Mwenyezi Mungu

    Nov 29, 2024 07:48

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwa kusema: "mimi ninawaona wale wote wanaofanya kazi ya kuhuisha kumbukumbu za Mujahidina na Mashahidi kuwa ni Mujahidina katika njia ya Mwenyezi Mungu; yaani hii yenyewe ni Jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu".

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kuongezwa uwezo wa kijeshi wa nchi

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kuongezwa uwezo wa kijeshi wa nchi

    Nov 28, 2024 13:10

    Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema, kuongeza utayari na uwezo wa kivita ndilo jukumu muhimu zaidi la vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Imam Khamenei: Ushindi wa kambi ya Haki na ya Muqawama ni kitu kisichoepukika

    Imam Khamenei: Ushindi wa kambi ya Haki na ya Muqawama ni kitu kisichoepukika

    Nov 07, 2024 11:13

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia jinsi harakati za Muqawama wa Kiislamu za Hizbullah na HAMAS zinavyoendelea na mapambano yao kwa nguvu zote licha ya misukosuko mikubwa iliyozikumba harakati hizo na kusisitiza kuwa, kama inavyoonesha ahadi ya Allah, ushindi wa kambi ya Muqawama ni kitu cha lazima kisichoepukika.

  • Kiongozi wa Mapinduzi: Wazayuni si lolote si chochote kuweza kuisababishia madhara makubwa Hizbullah

    Kiongozi wa Mapinduzi: Wazayuni si lolote si chochote kuweza kuisababishia madhara makubwa Hizbullah

    Sep 28, 2024 10:54

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza kuwa, watenda jinai wa Kizayuni wajue kwamba wao si lolote kuweza kuusababishia madhara makubwa muundo imara wa Hizbullah ya Lebanon.

  • Mambo yanayofanana katika vita vya miaka 8 vya kulazimishwa na vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza kwa mtazamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

    Mambo yanayofanana katika vita vya miaka 8 vya kulazimishwa na vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza kwa mtazamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

    Sep 26, 2024 11:55

    Siku ya Jumatano asubuhi, kundi la maveterani wa vita vya kulazimishwa vya Iraq dhidi ya Iran na wanaharakati wa jihadi na muqawama lilikutana na Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini, katika siku ya tano ya Wiki ya Kujitetea Kutakatifu.

  • Kiongozi Muadhamu amuidhinisha rasmi Dkt Pezeshkian kuwa Rais wa Iran

    Kiongozi Muadhamu amuidhinisha rasmi Dkt Pezeshkian kuwa Rais wa Iran

    Jul 28, 2024 07:48

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemuidhinisha rasmi Masoud Pezeshkian kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika hafla iliyohudhuriwa na maafisa wa kitaifa na kijeshi hapa Tehran.

  • Kiongozi Muadhamu: Uungaji mkono wa ulimwengu kwa Palestina unatokana na moyo wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu: Uungaji mkono wa ulimwengu kwa Palestina unatokana na moyo wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jul 26, 2024 04:24

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema harakati zinazofanywa duniani siku hizi kwa manufaa ya Palestina ni matokeo ya moyo wa Mapinduzi ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS