Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Nukta muhimu katika ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa kikao cha Umoja wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya

    Nukta muhimu katika ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa kikao cha Umoja wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya

    Jul 07, 2024 08:23

    Katika ujumbe wake kwa mkutano wa 58 wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ameashiria masuala tata ya hivi sasa ya ulimwengu na akasisitiza nafasi na taathira za wanafunzi hao katika masuala makubwa kwa kuegemea shauku, imani na kujiamini.

  • Kiongozi Muadhamu ampongeza Rais mteule wa Iran; awashukuru Wairani kwa kupiga kura kwa wingi

    Kiongozi Muadhamu ampongeza Rais mteule wa Iran; awashukuru Wairani kwa kupiga kura kwa wingi

    Jul 06, 2024 08:40

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amempongeza Rais mteule wa Iran, Masoud Pezeshkian na kutoa shukrani za dhati pia kwa wagombea wote wa uchaguzi wa 14 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu; na maafisa walioshiriki katika mchakato mzima wa uchaguzi huo.

  • Kiongozi Muadhamu: Ushiriki mkubwa katika uchaguzi ni fahari kwa Iran, kiwewe kwa maadui

    Kiongozi Muadhamu: Ushiriki mkubwa katika uchaguzi ni fahari kwa Iran, kiwewe kwa maadui

    Jun 25, 2024 10:04

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema ushiriki mkubwa zaidi katika uchaguzi wa rais wa kabla ya wakati unatazamiwa kufanyika Juni 28, utalipa fahari taifa la Iran na kuwaghadhabisha maadui wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Kiongozi Muadhamu: Amali za Hija zinawatia wahaka maadui

    Kiongozi Muadhamu: Amali za Hija zinawatia wahaka maadui

    Jun 14, 2024 11:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema amali za ibada tukufu ya Hija zinawatia hofu na wasiwasi mkubwa maadui.

  • Barua ya Kiongozi Muadhamu kwa wanachuo wa Marekani

    Barua ya Kiongozi Muadhamu kwa wanachuo wa Marekani

    Jun 01, 2024 06:54

    Ifuatayo ni barua ya Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, aliyowaandikia wanachuo wa vyuo vikuu vya Marekani kufuatia utetezi wao wa kijasiri kwa maslahi ya watu wa Palestina.

  • Kiongozi Muadhamu awaambia wanachuo US: Mpo katika upande sahihi wa historia

    Kiongozi Muadhamu awaambia wanachuo US: Mpo katika upande sahihi wa historia

    May 30, 2024 03:38

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria mwamko wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel na kusisitiza kuwa, wanachuo hao wa US wamesimama katika upande sahihi wa historia.

  • "Mahudhurio makubwa katika mazishi ya Raisi na wenzake, dhihirisho la uaminifu wa Wairani kwa Mapinduzi"

    May 25, 2024 08:50

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mahuhudurio makubwa ya wananchi Waislamu wa Iran kwenye mazishi na misafara ya kuwaaga na kuwaenzi Rais Ebrahim Raisi wa Iran na mashahidi wenzake yameidhihirishia dunia kuwa, Wairani ni waaminifu na wamefungamana na nara za Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Kiongozi Muadhamu: Kushiriki uchaguzi ni wajibu wa kitaifa wa kila mmoja

    Kiongozi Muadhamu: Kushiriki uchaguzi ni wajibu wa kitaifa wa kila mmoja

    May 10, 2024 04:29

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kushiriki katika uchaguzi ni wajibu wa kitaifa kwa wananchi wote.

  • Kiongozi Muadhamu: Muqawama umevunja njama za Marekani katika eneo

    Kiongozi Muadhamu: Muqawama umevunja njama za Marekani katika eneo

    Mar 20, 2024 11:31

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza operesheni za makundi ya muqawama ya Palestina, Yemen, Syria, Iraq, na Lebanon dhidi ya utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa, mrengo wa mapambano ya Kiislamu umefanikiwa kusambaratisha njama za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.

  • Meta yafunga kurasa za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwenye Instagram, Facebook

    Meta yafunga kurasa za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwenye Instagram, Facebook

    Feb 10, 2024 06:50

    Kampuni ya Kimarekani ya Meta Platforms, Inc. inayoendesha na kumiliki Instagram, imefunga akaunti za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram na Facebook.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS