-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kutolewa pigo kali la mataifa ya Kiislamu dhidi ya Israel
Feb 06, 2024 03:56Kiongozi Muadhamu ametahadharisha kuhusu "maafa ya binadamu" yanayotokea Ukanda wa Gaza kwa himaya na misaada ya Marekani kwa utawala wa Israel na kubainisha kwamba, shakhsia na watu mashuhuri katika uulimwengu wa Kiislamu wanapaswa kuhimiza mwito wa kutoa pigo kali kwa utawala haramu wa Israel.
-
Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Kiongozi Muadhamu kuhusu Asia Magharibi na kadhia ya Palestina.
Dec 02, 2023 00:50Akizungumza siku ya Jumatano tarehe 29 Novemba katika kikao na askari wa kujitolea mashuhuri kama Basij kutoka pembe zote za nchi, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amegusia nukta kadhaa muhimu kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na stratijia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na kadhia ya Palestina.
-
Kiongozi Muadhamu aonana na Sheikh Zakzaky, asema Palestina ni dhihirisho la nguvu za Uislamu
Oct 14, 2023 10:30Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kusisitiza kuwa, Palestina na Ghaza ni dhihirisho la nguvu za Uislamu.
-
Kiongozi Muadhamu: Njama za Wazayuni za kuyagawa makundi ya muqawama zimefeli
Jun 21, 2023 23:54Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njama za Wazayuni za kupika majungu ya fitina ili kuibua mifarakano na kuyagawa makundi ya muqawama zimefeli na kusisitiza kwamba, utawala huo wa Kizayuni karibuni utapigishwa magoti na wanamuqawama katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Misri
May 29, 2023 08:02Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Iran inakaribisha azma ya kufufuliwa uhusiano wake na Misri.
-
Umuhimu wa kisiasa wa ibada ya Hija katika maneno ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
May 18, 2023 05:50Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei asubuhi ya jana Jumatano (tarehe 17 Mei) alieleza baadhi ya vipengee umuhimu vya kisiasa vya ibada ya Hija katika kikao chake na maafisa, wasimamizi na baadhi ya Wairani waliojiandikisha kushiriki ibada ya Hija mwaka huu.
-
"Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu"; Rai ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kusambaratika utawala wa Kizayuni
Apr 12, 2023 10:18Akizungumzia migogoro ya ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha sikukuu ya Nowruz cha maafisa wa Jamahuri ya Kiislamu, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei alisema: "Tulisema kwamba utawala wa Kizayuni hautaona miaka 25 mingine, wao wenyewe wana haraka na wanataka kuondoka mapema na wanaendelea kusema kwamba kusambaratika kwa Israel kumekaribia na hatutafikisha umri wa miaka 80."
-
Kiongozi Muadhamu: Maadui wanataka kubadilisha utambilisho wetu
Mar 21, 2023 11:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maadui wanapinga Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini (MA), na maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu kila mwaka, sambamba na kuupinga mfumo wa Kiislamu unaotawala hapa nchini Iran; na kusisitiza kuwa, lengo la maadui ni kubadilisha utambulisho wa taifa hili na Mapinduzi ya Kiislamu, na badala yake walete demokrasia bandia ya Kimagharibi.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Nowruz: 1402; Mwaka wa 'Udhibiti wa Mfumuko wa Bei, Ukuaji wa Uzalishaji'
Mar 21, 2023 00:00Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ametuma ujumbe kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1402 Hijria Shamsia akitoa pongezi kwa wananchi wa Iran na mataifa yote yanayosherehekea Nowruz.
-
Kiongozi Muadhamu azikosoa nchi za Waislamu kwa kufumbia macho kadhia ya Palestina
Feb 18, 2023 07:28Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezikosoa nchi za Kiislamu kwa kutochokua hatua yoyote ya maana juu ya kadhia ya Palestina.