-
HAMAS yaishukuru Korea Kaskazini, Wazayuni walaumiana kwa kuichokoza Pyongyang
May 01, 2017 07:32Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa tamko na kuipongeza Korea Kaskazini kwa msimamo wake thabiti dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Korea Kaskazini yasema itaiadhibu vikali Israel
Apr 30, 2017 07:21Korea Kaskazini imesema itauadhibu vikali utawala haramu wa Israel kwa kuthubutu kuuvunjia heshima uongozi wa nchi hiyo.
-
Korea Kusini: Tupo tayari kuzungumza na Korea Kaskazini kutatua tofauti
Apr 27, 2017 15:57Serikali ya Korea Kusini imetangaza azma yake ya kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini kwa ajili ya kutatua tofauti zilizopo baina yao.
-
Kupamba moto tena mikwaruzano kati ya Korea Kaskazini na Marekani
Apr 26, 2017 02:32Sambamba na kuwadia maadhimisho ya mwaka wa 85 wa kuasisiwa jeshi la Korea Kaskazini na kukaribia kutimia siku 100 tangu Donald Trump atawazwe kuwa rais wa Marekani mikwaruzano ya kisiasa baina ya Pyongyang na Washington imeshtadi na kuzidi kupamba moto.
-
Korea Kaskazini: Marekani ima ijisalimishe kwa njia ya kisiasa au ichague vita
Apr 25, 2017 15:01Katika sherehe za mwaka wa 85 wa kuundwa jeshi la Korea Kaskazini serikali ya Pyongyang imetoa onyo kali kwa Marekani na kuikumbusha kuwa, inatakiwa ichague moja ya njia mbili, ima ijisalimishe kisiasa au ichague njia ya kijeshi.
-
Korea Kaskazini imewatia nguvuni raia 3 wa Marekani
Apr 24, 2017 03:26Katika hali ambayo taharuki ingali imetanda katika Peninsula ya Korea, serikali ya Korea Kaskazini imemtia mbaroni raia wa Marekani, na kupelekea idadi ya Wamarekani wanaozuiliwa na serikali ya Pyongyang hadi sasa kufikia watatu.
-
Indhari ya Korea Kaskazini kwa China kuhusiana na vikwazo vya kiuchumi dhidi yake
Apr 23, 2017 12:43Serikali ya Korea Kaskazini imeionya China kwamba, ikiwa itaendeleza vikwazo vya kiuchumi dhidi yake, basi uhusiano wa nchi hizo mbili utapata madhara makubwa.
-
Russia yatuma jeshi lenye silaha nzito katika mpaka wake na Korea Kaskazini, hali yazidi kuwa tata
Apr 21, 2017 04:10Gazeti la Telegraph la nchini Uingereza limeandika kuwa, Russia imetuma wanajeshi wake wenye silaha nzito katika mpaka wake na Korea Kaskazini kufuatia kuongezeka uwezekano wa Marekani kuivamia kijeshi Korea Kaskazini.
-
Waziri Mkuu wa Korea Kusini, atoa amri kulitaka jeshi la nchi hiyo lijiweke tayari kukabiliana na Pyongyang
Apr 20, 2017 18:10Waziri Mkuu wa Korea Kusini anayekaimu nafasi ya rais, amelitaka jeshi na vikosi vya nchi hiyo kujiweka tayari kutokana na kile alichokisema kuwa ni kushadidi kwa harakati za kijeshi za Pyongyang.
-
Majaribio mapya ya makombora ya Korea ya Kaskazini; dhihirisho la nguvu mbele ya Marekani
Apr 16, 2017 02:50Korea ya Kaskazini leo asubuhi kwa mara nyingine tena imeyafanyia majaribio makombora yake ya balistiki sambamba na kuanza hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa 150 wa kuzaliwa mwasisi wa taifa hilo Kim Il Sung.