-
Korea Kaskazini yaonyesha kombora jipya la balestiki la SLBMs
Apr 15, 2017 07:49Katika hali ambayo taharuki imetanda katika Peninsula ya Korea , serikali ya Korea Kaskazini imezindua kombora lake jipya la balestiki la nyambizi (SLBMs).
-
Korea Kusini nayo yafanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hyunmoo ili kuilenga Pyongyang
Apr 06, 2017 08:15Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imetangaza leo kwamba imelifanyia majaribio kombora jipya la balestiki la kilometa 800 kwa mafanikio makubwa.
-
Korea Kaskazini yarusha kombora la balestiki katika Bahari ya Japan
Apr 05, 2017 07:29Korea Kaskazini imevurumisha kombora la balestiki katika Bahari ya Japan, siku chache baada ya nchi hiyo kuapa kulipiza kisasi juu ya vikwazo vipya dhidi yake.
-
US yakiri kuwa Korea Kaskazini ina uwezo wa kuua mamilioni ya Wamarekani
Mar 30, 2017 15:45Maafisa wa ngazi za juu wa idara za usalama na itelinjensia za Washington wamekiri kuwa Korea Kaskazini ina uwezo wa kuwaangamiza mamilioni ya Wamarekani iwapo itafanya shambulizi moja la silaha za nyuklia dhidi ya Marekani.
-
Korea mbili zatunishiana misuli, kila moja yaitishia nyingine kwa jibu kali dhidi yake
Mar 28, 2017 03:55Korea Kaskazini imetangaza kwamba, imejiandaa kufanya operesheni za kujihami dhidi ya mipango ya kijeshi ya askari wa Marekani na Korea Kusini katika eneo la Peninsula ya Korea.
-
Korea Kaskazini: Kitendo cha Japan cha kurusha satalaiti ya ujasusi angani, ni hujuma dhidi yetu
Mar 23, 2017 15:55Serikali ya Korea Kaskazini imelaani hatua ya Japan ya kurusha angani satalaiti ya ujasusi na kuitaja kuwa ni hujuma dhidi yake.
-
Marekani: Chaguo la kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini lipo mezani
Mar 18, 2017 07:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Washington haitavumilia tena chokochoko za Korea Kaskazini na ikibidi, US itashambulia kijeshi Pyongyang.
-
Jeshi la Korea Kusini: Tumejiweka tayari na hujuma yoyote baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye
Mar 10, 2017 13:20Jeshi la Korea Kusini limetangaza utayarifu wake kutokana na hujuma yoyote tarajiwa ya Korea Kaskazini, baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo.
-
Mahakama yamuondoa madarakani rais wa Korea Kusini
Mar 10, 2017 07:51Mahakama ya Katiba ya Korea Kusini imeafiki uamuzi wa bunge wa kumuondoa madarakani rais wa taifa hilo Park Geun-hye.
-
Japan: Ni lazima tujiandae kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya Korea Kaskazini
Mar 09, 2017 07:58Waziri wa zamani wa Ulinzi Japan ametaka kuimarishwa uwezo wa kijeshi kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya Korea Kaskazini.