-
Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana
Mar 07, 2017 07:17Washington imeanza kutuma nchini Korea Kusini mfumo wa ulinzi wa makombora wa THAAD, baada ya Korea Kaskazini kusema kuwa, jaribio lake la hivi punde la makombora ni maandalizi kwa ajili ya kuzishambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Japan.
-
Marekani: Tupo tayari kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Korea Kaskazini, kuwalinda marafiki zetu
Feb 17, 2017 04:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, ikiwa italazimu, Washington ipo tayari kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Korea Kaskazini, kwa ajili ya kuwalinda marafiki zake wa Japan na Korea Kusini.
-
Korea Kaskazini yaonya dhidi ya chokochoko za serikali mpya ya Trump
Feb 02, 2017 13:57Serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo kali juu ya chokochoko za Marekani katika serikali mpya ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Korea Kaskazini yaitaka UN kuunda tume ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa dhidi yake
Jan 12, 2017 14:37Korea Kaskazini imetoa pendekezo kwa Umoja wa Mataifa la kuundwa tume ya kimataifa itakayowajumuisha wataalamu wa sheria kwa ajili ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa na Baraza la Usalama katika kuhalalisha vikwazo dhidi yake kwa tuhuma za kumiliki silaha za nyuklia au makombora ya balestiki.
-
Korea Kaskazini yamwandikia barua katibu mkuu mpya kushitakia vikwazo
Jan 07, 2017 15:48Serikali ya Korea Kaskazini imemwandikia barua António Guterres, Katibu Mkuu Mpya wa Umoja wa Mataifa ikilalamikia hatua ya kuongezwa vikwazo vya umoja huo dhidi yake.
-
Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini
Jan 06, 2017 04:48Viongozi wa Korea Kusini wameanzisha kikosi maalumu cha kijeshi chenye wadhifa wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, endapo kutajiri vita baina ya nchi mbili.
-
Jumanne, Disemba 27, 2016
Dec 27, 2016 08:20Leo ni Jumanne tarehe 27 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 27, 2016 Milaadia.
-
Korea kusini kuimarisha mfumo wake wa kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na Korea Kaskazini
Nov 28, 2016 02:48Vyombo vya serikali ya Korea Kusini vimetangaza kuwa, kufuatia kushadidi vitisho vya silaha za nyuklia na makombora ya Korea Kaskazini, Seoul haina njia nyingine ghairi ya kuimarisha mfumo wake wa kiulinzi.
-
Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote
Nov 23, 2016 04:58Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini ametoa indhari kali kwa nchi jirani ya Korea Kaskazini akiitaka isithubutu kufanya hujuma yoyote dhidi yake.
-
Alkhamisi, 27 Oktoba, 2016
Oct 27, 2016 05:46Leo ni Alkhamisi tarehe 25 Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 27, 2016.