-
Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki
Jan 06, 2022 02:49Marekani imeingiwa na kiwewe baada ya jeshi la Korea Kaskazini kuvurumisha baharini kombora jingine la balestiki.
-
Jumamosi, 20 Novemba 2021
Nov 20, 2021 04:46Leo ni Jumamosi tarehe 14 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1443 Hijria sawa na tarehe 20 Novemba 2021 Miladia.
-
Korea Kaskazini yavurumisha baharini kombora jingine la balestiki
Oct 19, 2021 13:24Kwa mara nyingine tena, jeshi la Korea Kaskazini limevurumisha baharini kombora jingine la balestiki katika pwani ya mashariki ya nchi hiyo.
-
Marekani: Tuko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote
Oct 05, 2021 10:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema kuwa, nchi yake iko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote yale.
-
Korea Kaskazini yasema imefanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hypersonic
Sep 29, 2021 13:00Korea Kaskazini imetangaza kuwa imefanikiwa kurusha kombora jengine la balestiki aina ya hypersonic liitwalo Hwasong-8.
-
Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia
Sep 20, 2021 10:14Korea Kaskazini imesema makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya nchi tatu za Marekani, Uingereza na Australia ni hatua hatari sana.
-
Alkhamisi, Septemba 9, 2021
Sep 09, 2021 02:34Leo ni tarehe Alkhamisi mwezi pili Mfunguo Tano Safar 1443 Hijria sawa na Septemba 9 mwaka 2021 Milaadia.
-
Jumanne tarehe 10 Agosti 2021
Aug 10, 2021 02:26Leo ni tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram mwaka 1443 Hijria sawa na Agosti 10 mwaka 2021.
-
Kim ataka Korea Kaskazini ijiandae kwa makabiliano na Marekani
Jun 19, 2021 05:04Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema nchi hiyo inakaribisha mpango wowote wa kufanyika mazungumzo mapya baina yake na Marekani, lakini kamwe haiweza kuondoa mezani chaguo la vita.
-
Korea ya Kaskazini yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Magharibi
Mar 23, 2021 07:40Korea ya Kaskazini imezikosoa nchi za Magharibi kwa kukiuka haki za binadamu na kuitolea mwito jamii ya kimataifa kuchukua hatua ya kulipatia ufumbuzi tatizo hilo.