Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Jan 06, 2022 02:49

    Marekani imeingiwa na kiwewe baada ya jeshi la Korea Kaskazini kuvurumisha baharini kombora jingine la balestiki.

  • Jumamosi, 20 Novemba 2021

    Jumamosi, 20 Novemba 2021

    Nov 20, 2021 04:46

    Leo ni Jumamosi tarehe 14 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1443 Hijria sawa na tarehe 20 Novemba 2021 Miladia.

  • Korea Kaskazini yavurumisha baharini kombora jingine la balestiki

    Korea Kaskazini yavurumisha baharini kombora jingine la balestiki

    Oct 19, 2021 13:24

    Kwa mara nyingine tena, jeshi la Korea Kaskazini limevurumisha baharini kombora jingine la balestiki katika pwani ya mashariki ya nchi hiyo.

  • Marekani: Tuko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote

    Marekani: Tuko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote

    Oct 05, 2021 10:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema kuwa, nchi yake iko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote yale.

  • Korea Kaskazini yasema imefanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hypersonic

    Korea Kaskazini yasema imefanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hypersonic

    Sep 29, 2021 13:00

    Korea Kaskazini imetangaza kuwa imefanikiwa kurusha kombora jengine la balestiki aina ya hypersonic liitwalo Hwasong-8.

  • Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Sep 20, 2021 10:14

    Korea Kaskazini imesema makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya nchi tatu za Marekani, Uingereza na Australia ni hatua hatari sana.

  • Alkhamisi, Septemba 9, 2021

    Alkhamisi, Septemba 9, 2021

    Sep 09, 2021 02:34

    Leo ni tarehe Alkhamisi mwezi pili Mfunguo Tano Safar 1443 Hijria sawa na Septemba 9 mwaka 2021 Milaadia.

  • Jumanne tarehe 10 Agosti 2021

    Jumanne tarehe 10 Agosti 2021

    Aug 10, 2021 02:26

    Leo ni tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram mwaka 1443 Hijria sawa na Agosti 10 mwaka 2021.

  • Kim ataka Korea Kaskazini ijiandae kwa makabiliano na Marekani

    Kim ataka Korea Kaskazini ijiandae kwa makabiliano na Marekani

    Jun 19, 2021 05:04

    Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema nchi hiyo inakaribisha mpango wowote wa kufanyika mazungumzo mapya baina yake na Marekani, lakini kamwe haiweza kuondoa mezani chaguo la vita.

  • Korea ya Kaskazini yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Magharibi

    Korea ya Kaskazini yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Magharibi

    Mar 23, 2021 07:40

    Korea ya Kaskazini imezikosoa nchi za Magharibi kwa kukiuka haki za binadamu na kuitolea mwito jamii ya kimataifa kuchukua hatua ya kulipatia ufumbuzi tatizo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS