Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufutwa vikwazo

  • Iran inajiandaa kujibu mapigo ya kuwekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya

    Iran inajiandaa kujibu mapigo ya kuwekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya

    Feb 21, 2023 00:09

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema ndani ya siku chache zijazo itatoa jibu la vikwazo vya hivi karibuni vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia 32 na taasisi mbili za Jamhuri ya Kiislamu.

  • Syria yakosoa 'upotoshaji' wa Marekani kuhusu kuondoa vikwazo

    Syria yakosoa 'upotoshaji' wa Marekani kuhusu kuondoa vikwazo

    Feb 11, 2023 23:05

    Serikali ya Syria imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kutangaza kuisimamishia vikwazo nchi hiyo ya Kiarabu kwa muda wa miezi sita, eti ili kuruhusu kupelekwa misaada ya dharura katika taifa hilo lililokumbwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi hivi karibuni.

  • Sudan yautaka Umoja wa Mataifa uiondolee haraka vikwazo vya silaha

    Sudan yautaka Umoja wa Mataifa uiondolee haraka vikwazo vya silaha

    Feb 04, 2023 03:40

    Sudan inalitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liifutie nchi hiyo vikwazo vya silaha haraka iwezekanavyo, vilivyowekwa mwaka 2005 kutokana na vita katika eneo la Darfur, magharibi mwa nchi.

  • Russia: Vikwazo vya Magharibi vimeshadidisha hali mbaya ya kibinadamu Syria

    Russia: Vikwazo vya Magharibi vimeshadidisha hali mbaya ya kibinadamu Syria

    Jan 11, 2023 07:39

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema Wamagharibi wanabeba dhima ya kushtadi hali mbaya ya kibinadamu nchini Syria kutokana na vikwazo vyao vya upande mmoja.

  • Raisi: Mafanikio ya sekta ya anga za mbali ya Iran ni ithibati ya kufeli kwa vikwazo

    Raisi: Mafanikio ya sekta ya anga za mbali ya Iran ni ithibati ya kufeli kwa vikwazo

    Jan 05, 2023 03:49

    Rais wa Iran amesema mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu katika sekta ya anga za mbali ni ishara tosha ya kufeli na kugonga mwamba vikwazo vya Wamagharibi na njama zao za kutaka kulitenga taifa hili.

  • Zimbabwe kuwaadhibu wananchi wasio na 'uzalendo'

    Zimbabwe kuwaadhibu wananchi wasio na 'uzalendo'

    Nov 23, 2022 23:01

    Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe imeudhinisha muswada wa sheria ya kuwaadhibu wananchi wasio wazalendo, ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na vikwazo vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo la kusini mwa Afrika.

  • Tehran yalaani vikwazo vipya vya EU dhidi ya Iran

    Tehran yalaani vikwazo vipya vya EU dhidi ya Iran

    Nov 15, 2022 03:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikwazo vipya vilivyotangazwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia 29 na taasisi tatu za Kiirani, ikiwemo kanali ya televisheni ya Press TV.

  • Iran: Vikwazo kwa wazalishaji gesi kuwa na matokeo hasi

    Iran: Vikwazo kwa wazalishaji gesi kuwa na matokeo hasi

    Oct 25, 2022 23:02

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuwa, hatua ya Wamagharibi ya kuziwekea vikwazo nchi zinazozalisha na kuuza nje ya nchi gesi itakuwa na matokeo hasi yasiyoweza kurekebishika.

  • China yapinga vikwazo haramu na vya upande mmoja vya EU dhidi ya Iran

    China yapinga vikwazo haramu na vya upande mmoja vya EU dhidi ya Iran

    Oct 24, 2022 00:31

    China imepinga na kukosoa vikali hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo ilivyovitaja kuwa haramu na vya upande mmoja.

  • Iran: Vikwazo vya EU havina maana, ghasia haziruhusiwi popote duniani

    Iran: Vikwazo vya EU havina maana, ghasia haziruhusiwi popote duniani

    Oct 18, 2022 00:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema ghasia, fujo na kuharibu mali za umma ni mambo yasiyokubalika katika sehemu yoyote ile duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS