Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kundi la Kigaidi la Munafikina

  • Wanachama wa kundi la kigaidi la MKO watiwa mbaroni Albania kwa magendo ya binadamu na mihadarati

    Wanachama wa kundi la kigaidi la MKO watiwa mbaroni Albania kwa magendo ya binadamu na mihadarati

    Dec 05, 2021 03:03

    Gazeti moja linalochapishwa nchini Albania limeripoti kuwa wanachama kadhaa wa kundi la MKO wamekamatwa nchini humo kwa kufanya magendo ya binadamu, madawa ya kulevya na kutakatisha pesa.

  • Jumatatu tarehe 6 Septemba 2021

    Jumatatu tarehe 6 Septemba 2021

    Sep 06, 2021 03:50

    Leo ni Jumatatu tarehe 28 Muharram 1443 Hijria sawa na na tarehe 6 Septemba 2021.

  • Jumamosi, Septemba 5, 2020

    Jumamosi, Septemba 5, 2020

    Sep 05, 2020 02:27

    Leo ni Jumamosi tarehe 16 Mfunguo Nne Muharram 1442 Hijria, ambayo inasadifiana na tarehe 5 Septemba 2020.

  • Iran: Magaidi wa MKO wanapewa hifadhi na US na EU licha ya kuua maelfu ya Wairani

    Iran: Magaidi wa MKO wanapewa hifadhi na US na EU licha ya kuua maelfu ya Wairani

    Aug 30, 2020 11:02

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema nchi za Ulaya na Marekani zinawapa hifadhi wanachama wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) licha ya genge hilo kuua kikatili maelfu ya Wairani.

  • Iran: Ulaya na Marekani ni washirika wa kundi la kigaidi la MKO katika mauaji ya Wairani wasio na hatia

    Iran: Ulaya na Marekani ni washirika wa kundi la kigaidi la MKO katika mauaji ya Wairani wasio na hatia

    Jun 29, 2020 03:40

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema nchi za Ulaya na Marekani ni washirika wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) katika mauaji ya watu wa Iran.

  • Mwanadiplomasia wa Marekani: Uhusiano wa Bolton na genge la Munafiqina (MKO) ni kashfa kubwa

    Mwanadiplomasia wa Marekani: Uhusiano wa Bolton na genge la Munafiqina (MKO) ni kashfa kubwa

    Jun 09, 2019 13:47

    Mwanadiplomasia wa Kimarekani amesema kuwa, uhusiano uliopo wa Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani na kundi la kigaidi la Munafiqina (MKO) ni kashfa kubwa iliyofichikana katika ufisadi uliokita mizizi ndani ya serikali ya Trump.

  • Njama za kikundi cha Munafiqeen na uchochezi dhidi ya Iran

    Njama za kikundi cha Munafiqeen na uchochezi dhidi ya Iran

    Oct 11, 2018 11:43

    Kukamatwa mwanadiplomasia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ubelgiji kwa tuhuma bandia za kushiriki kwake katika mpango wa kushambuliwa kikundi cha kigaidi cha Munafigeen katika mojawapo ya viunga vya Paris, mji mkuu wa Ufaransa, ni uchochezi mpya dhidi ya Iran.

  • Mshikamano wa Saudia na magaidi wa MKO, fitna nyingine za Aal Saud Mashariki ya Kati

    Mshikamano wa Saudia na magaidi wa MKO, fitna nyingine za Aal Saud Mashariki ya Kati

    Sep 20, 2018 07:38

    Kiongozi mmoja mkubwa wa zamani wa genge la kigaidi la MKO lenye historia ya kufanya ugaidi, mauaji na jinai kubwa dhidi ya wananchi na viongozi wa Iran amefichua namna Saudi Arabia inavyolisaidia kifedha genge hilo.

  • Aliyekuwa gaidi wa MKO afichua namna Saudia ilivyolipa kundi hilo tani za dhahabu

    Aliyekuwa gaidi wa MKO afichua namna Saudia ilivyolipa kundi hilo tani za dhahabu

    Sep 19, 2018 07:06

    Aliyekuwa mwanachama wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la Munafiqeen (MKO) amefichua kuwa Saudi Arabia ililipa genge hilo dhahabu na vito vingine vya thamani kubwa vilivyokuwa na thamani ya Dola milioni 200.

  • Muhammad Javad Larijani: Munafiqeen MKO ndio wale Madaesh wanaosaidiwa kifedha na Saudi Arabia

    Muhammad Javad Larijani: Munafiqeen MKO ndio wale Madaesh wanaosaidiwa kifedha na Saudi Arabia

    Sep 15, 2018 07:33

    Katibu wa Tume ya Haki za Binadanamu ya Idara ya Mahakama ya Iran ameashiria uungaji mkono wa Uistikbari wa dunia kwa magaidi wa kitakfiri na kusema, Kundi la Kigaidi la Munafiqeen (MKO) ndio wale magaidi wa Daesh ambao wanatumia fedha za Saudia na kutenda jinai dhidi ya binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS