Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kupambana na ugaidi

  • Ali Shamkhani: Ugaidi ni kikwazo kikubwa katika njia ya ustawi wa nchi za Kiislamu

    Ali Shamkhani: Ugaidi ni kikwazo kikubwa katika njia ya ustawi wa nchi za Kiislamu

    Sep 25, 2018 02:25

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, hatari ya ugaidi na mizizi yake ni miongoni mwa fikra za kitakfiri zinazoenezwa na baadhi ya nchi za Kiislamu katika Mashariki ya Kati ambazo zimelitumbukiza eneo lote hili katika mgogoro na kuwa kikwazo kikubwa katika njia ya ustawi na maendeleo ya nchi za Kiislamu.

  • Wanachama 10 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Kenya, Lamu

    Wanachama 10 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Kenya, Lamu

    Sep 24, 2018 13:57

    Askari wa Kenya wamewaangamiza wanamgambo 10 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataka kuungwa mkono wahanga wa ugaidi duniani

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataka kuungwa mkono wahanga wa ugaidi duniani

    Aug 21, 2018 02:46

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuungwa mkono wahanga wa vitendo vya ugaidi duniani pamoja na familia zao.

  • Meja Jenerali Ghulam Ali Rashid: Tishio lolote litajibiwa vikali

    Meja Jenerali Ghulam Ali Rashid: Tishio lolote litajibiwa vikali

    Jul 03, 2018 03:08

    Kamanda wa kamandi kuu ya Khatamul Anbiya (S.A.W) amesema kuwa vikosi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran viko imara na vimejiandaa kukabiliana na tishio lolote la makundi ya kigaidi na kitakfiri kuliko ilivyokuwa huko nyuma na kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatoa jibu kali kwa tishio lolote dhidi yake.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Bunge litunge sheria za kukabiliana na ugaidi, utakatishaji fedha

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Bunge litunge sheria za kukabiliana na ugaidi, utakatishaji fedha

    Jun 20, 2018 16:34

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) ambayo imebalehe na kukomaa inapaswa kutenda kwa kujitegemea katika kutunga sheria za masuala kama kupambana na ugaidi na mapambano dhidi ya utakatishaji wa fedha chafu.

  • Kurejeshwa usalama kamili Damascus na katika viunga vyake; mafanikio mengine ya Syria dhidi ya magaidi

    Kurejeshwa usalama kamili Damascus na katika viunga vyake; mafanikio mengine ya Syria dhidi ya magaidi

    May 23, 2018 06:15

    Kamandi Kuu ya jeshi na vikosi vya ulinzi vya Syria imetangaza kuwa baada ya kufurushwa magaidi wote katika eneo la Hajarul-Aswad na kwenye kambi ya Yarmuk, amani na usalama kamili umerejea katika mji mkuu wa nchi hiyo Damascus na vitongoji vyake.

  • Kamandi Kuu ya jeshi la Syria: Amani na usalama kamili umerejea katika mji mkuu Damascus

    Kamandi Kuu ya jeshi la Syria: Amani na usalama kamili umerejea katika mji mkuu Damascus

    May 22, 2018 07:54

    Kamandi Kuu ya jeshi na vikosi vya ulinzi vya Syria imetangaza kuwa baada ya kufurushwa magaidi wote katika eneo la Hajarul-Aswad na kwenye kambi ya Yarmuk, amani na usalama umerejea kikamilifu katika mji mkuu wa nchi hiyo Damascus na viunga vyake.

  • Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa eneo la Hiran, Somalia

    Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa eneo la Hiran, Somalia

    Apr 18, 2018 07:34

    Kwa akali wanachama 30 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa al-Qaeda wameuawa katika operesheni kali iliyotekelezwa na Jeshi la Taifa la Somalia katika eneo la Hiran jana Jumanne.

  • Rais wa Niger ataka kustawishwa uchumi na ushirikiano wa pamoja dhidi ya ugaidi

    Rais wa Niger ataka kustawishwa uchumi na ushirikiano wa pamoja dhidi ya ugaidi

    Feb 02, 2018 03:50

    Rais wa Niger amesisitiza juu ya udharura wa kustawishwa uchumi na wakati huo huo kuweko ushirikiano wa pamoja katika kupambana na ugaidi ambao ni tishio kwa amani na usalama wa dunia.

  • Iran na Russia ni nembo ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi

    Iran na Russia ni nembo ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi

    Dec 01, 2017 07:28

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano baina ya nchi hii na Russia katika vita dhidi ya ugaidi ni nembo ya aina yake na mfano wa kuigwa kote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS