Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kuwait

  • Raisi: Uhusiano wa Iran na Kuwait unarejea katika hali yake ya kawaida

    Raisi: Uhusiano wa Iran na Kuwait unarejea katika hali yake ya kawaida

    May 04, 2022 08:17

    Rais wa Iran ameutaja msimamo imara wa Kuwait mkabala wa njama mbalimbali katika eneo la Magharibi mwa Asia kuwa makini; na huku akikumbushia uhusiano mzuri kati ya Iran na Kuwait huko nyuma, amesisitiza kuwa, uhusiano wa pande hizo mbili zikiwa nchi mbili marafiki wa muda mrefu, unapasa kurejea katika uwezo wake halisi.

  • Saudia na Kuwait kuwarejesha mabalozi wao Lebanon

    Saudia na Kuwait kuwarejesha mabalozi wao Lebanon

    Mar 25, 2022 02:29

    Saudi Arabia na Kuwait zimeamua kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia na Beirut, ambao uliingia doa mwaka jana kufuatia matamshi ya ukosoaji aliyotoa aliyekuwa waziri wa habari wa Lebanon kuhusiana na uchokozi na uvamizi wa kijeshi wa muungano wa kivita wa unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen.

  • Kuwait yataka Israel ifukuzwe katika Umoja wa Mabunge Duniani

    Kuwait yataka Israel ifukuzwe katika Umoja wa Mabunge Duniani

    Mar 20, 2022 03:52

    Spika wa Bunge la Kuwait amekosoa sera za undukumakuwili za Jamii ya Kimataifa kuhusu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kutaka ujumbe wa utawala huo utimuliwe katika kikao cha Umoja wa Kimataifa wa Mabunge.

  • Kuwait yapiga marufuku filamu ya 'Death on the Nile' iliyoigizwa na Muisraeli

    Kuwait yapiga marufuku filamu ya 'Death on the Nile' iliyoigizwa na Muisraeli

    Feb 08, 2022 02:49

    Kuwait imepiga marufuku kuonyeshwa kwa filamu ya Kimarekani ya Death on the Nile, iliyotengenezwa kutoka kwenye riwaya yenye majina ya Agatha Christie na kuchezwa na mwigizaji wa Israel, Gal Gadot.

  • Hamas yamshukuru mcheza tenisi Mkuwaiti aliyekataa kucheza na Mzayuni

    Hamas yamshukuru mcheza tenisi Mkuwaiti aliyekataa kucheza na Mzayuni

    Jan 29, 2022 10:23

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imempongeza mcheza tenisi wa Kuwait aliyekataa kucheza na mwakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS yapongeza hatua ya Kuwait ya kuzipiga marufuku meli za Israel

    HAMAS yapongeza hatua ya Kuwait ya kuzipiga marufuku meli za Israel

    Dec 06, 2021 07:10

    Harakati ya Mapambano ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kukaribisha kwa mikono miwili hatua ya serikali ya Kuwait ya kuzipiga marufuku meli za kibiashara zinazobeba bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kutia nanga katika bandari za nchi hiyo.

  • Kuwait yapiga marufuku meli za Israel kutia nanga nchini humo

    Kuwait yapiga marufuku meli za Israel kutia nanga nchini humo

    Dec 05, 2021 06:19

    Serikali ya Kuwait imezipiga marufuku meli za kibiashara zinazobeba bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kutia nanga katika bandari za nchi hiyo au kubeba bidhaa kutoka Kuwait kuelekea Israel.

  • Kuwait: Palestina ingali maudhui kuu na ya msingi katika ulimwengu wa Kiislamu

    Kuwait: Palestina ingali maudhui kuu na ya msingi katika ulimwengu wa Kiislamu

    Sep 26, 2021 04:35

    Waziri Mkuu wa Kuwait amesema kuwa, Palestina ingali maudhui kuu na ya asili katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Israel inajenga kituo cha kijeshi kwenye mpaka wa pamoja wa Saudia na Imarati

    Israel inajenga kituo cha kijeshi kwenye mpaka wa pamoja wa Saudia na Imarati

    Aug 13, 2021 02:25

    Mtafiti mmoja wa Qatar amefichua kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unajenga kituo cha kijeshi kwenye mpaka wa pamoja wa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati.

  • Jumatatu tarehe 19 Julai 2021

    Jumatatu tarehe 19 Julai 2021

    Jul 19, 2021 01:20

    Leo ni Jumatatu tarehe 8 Mfunguo Tatu Dhulhija 1442 Hujria sawa na Julai 19 mwaka 2021.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS