Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Jeshi la Lebanon: Kukombolewa kusini mwa Lebanon yalikuwa mafanikio makubwa dhidi ya Israel

    Jeshi la Lebanon: Kukombolewa kusini mwa Lebanon yalikuwa mafanikio makubwa dhidi ya Israel

    May 22, 2020 08:01

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Lebanon amehutubu kwa mnasaba wa mwaka wa 20 wa kukombolewa eneo la kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu na kuongeza kwamba, lau kama si kusimama imara kwa taifa hilo, basi mafanikio hayo makubwa yasingepatikana.

  • Hizbullah: Tumejiandaa barabara kuzima uchokozi wowote wa Israel

    Hizbullah: Tumejiandaa barabara kuzima uchokozi wowote wa Israel

    May 20, 2020 22:05

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama imejiandaa vilivyo na ipo tayari kikamilifu kukabiliana na uvamizi na chokochoko zozote za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Tupo vitani na utawala haramu wa Israel

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Tupo vitani na utawala haramu wa Israel

    Apr 20, 2020 22:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon sambamba na kuashiria kuendelea uvamizi wa utawala haramu wa Kizayuni, amesema kuwa, nchi hiyo iko katika vita na utawala huo.

  • Hizbullah: Muqawama umejiandaa kupambana na maadui

    Hizbullah: Muqawama umejiandaa kupambana na maadui

    Apr 14, 2020 07:09

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya muqawama daima iko tayari na imejiandaa barabara kukabiliana na chokochoko za maadui.

  • Kukosolewa na Lebanon utendaji wa asasi za kimataifa kuhusiana na janga la Corona

    Kukosolewa na Lebanon utendaji wa asasi za kimataifa kuhusiana na janga la Corona

    Apr 13, 2020 07:16

    Utendaji wa asasi za kimataifa kuhusiana na janga la virusi vya Corona umekosolewa vikali na Hamad Hassan, Waziri wa Afya wa Lebanon.

  • Shirika la ujasusi la Israel Mossad lashukiwa kuhusika na mauaji ya kamanda wa Hizbullah

    Shirika la ujasusi la Israel Mossad lashukiwa kuhusika na mauaji ya kamanda wa Hizbullah

    Apr 06, 2020 03:14

    Duru za Lebanon zimesema, shirika la ujasusi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Mossad na vibaraka wake ndio wanaoshukiwa kuhusika na mauaji ya kamanda wa Hizbullah Muhammad Ali Yunus.

  • Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu kadhia ya Amer Al-Fakhoury

    Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu kadhia ya Amer Al-Fakhoury

    Mar 22, 2020 04:49

    Kuachiliwa huru na kutoroshwa Amer Al-Fakhoury, kibaraka mwenye uraiapacha wa Lebanon na Marekani, ilikuwa ndio maudhui kuu ya hotuba aliyotoa Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon usiku wa kuamkia jana.

  • Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Lebanon na kuendelea mwenendo ulio dhidi ya Hizbullah

    Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Lebanon na kuendelea mwenendo ulio dhidi ya Hizbullah

    Mar 15, 2020 05:56

    Katika kikao cha Ijumaa iliyopita pamoja na Hassan Diab, Waziri Mkuu wa Lebanon, Dorothy Shea, balozi mpya wa Marekani nchini Lebanon sambamba na kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu, alisema kuwa mazingira ya msaada wa Washington kwa ajili ya kuushinda mzozo wa kiuchumi wa taifa hilo, unategemea kutengana serikali ya Beirut na Harakati ya Muqawama ya Hizbullah.

  • Lebanon yachukua uamuzi wa kuanza kuchimba mafuta eneo inalozozania na Israel

    Lebanon yachukua uamuzi wa kuanza kuchimba mafuta eneo inalozozania na Israel

    Feb 27, 2020 21:47

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa nchi yake itaanzisha operesheni ya kuchimba mafuta katika eneo inalozozania na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Askofu wa Kanisa Katoliki Lebanon: Mpango wa Muamala wa Karne ni namna fulani ya kutangaza vita

    Askofu wa Kanisa Katoliki Lebanon: Mpango wa Muamala wa Karne ni namna fulani ya kutangaza vita

    Feb 19, 2020 08:11

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki kusini mwa Lebanon amesema kuwa, mpango wa kibaguzi wa Muamala wa Karne unakinzana wazi kabisa na amani na kuishi pamoja na kimsingi ni namna fulani ya kutangaza vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS