-
Jeshi la Lebanon: Kukombolewa kusini mwa Lebanon yalikuwa mafanikio makubwa dhidi ya Israel
May 22, 2020 08:01Kamanda Mkuu wa Jeshi la Lebanon amehutubu kwa mnasaba wa mwaka wa 20 wa kukombolewa eneo la kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu na kuongeza kwamba, lau kama si kusimama imara kwa taifa hilo, basi mafanikio hayo makubwa yasingepatikana.
-
Hizbullah: Tumejiandaa barabara kuzima uchokozi wowote wa Israel
May 20, 2020 22:05Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama imejiandaa vilivyo na ipo tayari kikamilifu kukabiliana na uvamizi na chokochoko zozote za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Tupo vitani na utawala haramu wa Israel
Apr 20, 2020 22:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon sambamba na kuashiria kuendelea uvamizi wa utawala haramu wa Kizayuni, amesema kuwa, nchi hiyo iko katika vita na utawala huo.
-
Hizbullah: Muqawama umejiandaa kupambana na maadui
Apr 14, 2020 07:09Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya muqawama daima iko tayari na imejiandaa barabara kukabiliana na chokochoko za maadui.
-
Kukosolewa na Lebanon utendaji wa asasi za kimataifa kuhusiana na janga la Corona
Apr 13, 2020 07:16Utendaji wa asasi za kimataifa kuhusiana na janga la virusi vya Corona umekosolewa vikali na Hamad Hassan, Waziri wa Afya wa Lebanon.
-
Shirika la ujasusi la Israel Mossad lashukiwa kuhusika na mauaji ya kamanda wa Hizbullah
Apr 06, 2020 03:14Duru za Lebanon zimesema, shirika la ujasusi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Mossad na vibaraka wake ndio wanaoshukiwa kuhusika na mauaji ya kamanda wa Hizbullah Muhammad Ali Yunus.
-
Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu kadhia ya Amer Al-Fakhoury
Mar 22, 2020 04:49Kuachiliwa huru na kutoroshwa Amer Al-Fakhoury, kibaraka mwenye uraiapacha wa Lebanon na Marekani, ilikuwa ndio maudhui kuu ya hotuba aliyotoa Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon usiku wa kuamkia jana.
-
Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Lebanon na kuendelea mwenendo ulio dhidi ya Hizbullah
Mar 15, 2020 05:56Katika kikao cha Ijumaa iliyopita pamoja na Hassan Diab, Waziri Mkuu wa Lebanon, Dorothy Shea, balozi mpya wa Marekani nchini Lebanon sambamba na kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu, alisema kuwa mazingira ya msaada wa Washington kwa ajili ya kuushinda mzozo wa kiuchumi wa taifa hilo, unategemea kutengana serikali ya Beirut na Harakati ya Muqawama ya Hizbullah.
-
Lebanon yachukua uamuzi wa kuanza kuchimba mafuta eneo inalozozania na Israel
Feb 27, 2020 21:47Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa nchi yake itaanzisha operesheni ya kuchimba mafuta katika eneo inalozozania na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Askofu wa Kanisa Katoliki Lebanon: Mpango wa Muamala wa Karne ni namna fulani ya kutangaza vita
Feb 19, 2020 08:11Kiongozi wa Kanisa Katoliki kusini mwa Lebanon amesema kuwa, mpango wa kibaguzi wa Muamala wa Karne unakinzana wazi kabisa na amani na kuishi pamoja na kimsingi ni namna fulani ya kutangaza vita.