Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Kiongozi wa Hizbullah: Walebanon wasiwapigie kura wanasiasa wanaopata himaya ya Marekani

    Kiongozi wa Hizbullah: Walebanon wasiwapigie kura wanasiasa wanaopata himaya ya Marekani

    Feb 25, 2018 04:32

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ametoa wito kwa wananchi wa Lebanon kutowapigia kura wagombea wanaopata himaya ya Marekani katika uchaguzi ujao wa bunge huku akionya kuwa wanasiasa kama hao wataikabidhi nchi kwa Marekani.

  • Jeshi la Lebanon: Tutamia nguvu zote kuukabili uvamizi wa Israel

    Jeshi la Lebanon: Tutamia nguvu zote kuukabili uvamizi wa Israel

    Feb 21, 2018 04:00

    Jeshi la Lebanon limeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuanzisha vita vipya dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa litatumia mbinu na uwezo wake wote kuzima uvamizi tarajiwa.

  • Sayyid Nasrullah alipongeza jeshi la Syria kwa kutungua ndege ya kivita ya Israel

    Sayyid Nasrullah alipongeza jeshi la Syria kwa kutungua ndege ya kivita ya Israel

    Feb 17, 2018 03:56

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelipongea jeshi la Syria kwa kutungua ndege ya kijeshi aina ya F-16 ya utawala haramu wa Israel na kuitaja hatua hiyo kuwa ni mafanikio makubwa ya kijeshi.

  • Hatimaye Marekani yakiri: Hizbullah ni sehemu ya mchakato wa kisiasa wa Lebanon

    Hatimaye Marekani yakiri: Hizbullah ni sehemu ya mchakato wa kisiasa wa Lebanon

    Feb 15, 2018 04:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Rex Tillerson amekiri kuwa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ni sehemu ya mchakato wa kisiasa wa nchi hiyo na kwamba ukweli huo inapasa utambuliwe rasmi.

  • Hizbullah: Stratijia mpya ya kupambana na uvamizi wa Israel nchini Syria imeanza rasmi

    Hizbullah: Stratijia mpya ya kupambana na uvamizi wa Israel nchini Syria imeanza rasmi

    Feb 11, 2018 04:14

    Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon imetoa taarifa ya kupongeza kitendo cha kuangamizwa ndege ya kisasa ya kivita ya utawala haramu wa Israel ya F16 katika anga ya Syria na kusisitiza kuwa, mlingano wa nguvu wa zamani sasa umebadilika.

  • Uhusiano wa Saudia na Lebanon na kuzidi kupanda joto la mvutano baina ya pande mbili

    Uhusiano wa Saudia na Lebanon na kuzidi kupanda joto la mvutano baina ya pande mbili

    Feb 10, 2018 02:36

    Kuna kila ishara inayoonyesha kuwa uhusiano wa Saudi Arabia na Lebanon unaelekea kwenye mkondo unaoshadidisha mvutano baina ya pande mbili.

  • Rais wa Lebanon asema jeshi la nchi hiyo liko tayari kuikabili Israel

    Rais wa Lebanon asema jeshi la nchi hiyo liko tayari kuikabili Israel

    Feb 09, 2018 10:39

    Rais wa Lebanon ameliagiza jeshi la nchi hiyo kuwa macho dhidi ya njama zozote za utawala haramu wa Israel za kujaribu kudhalilisha uhuru wa kujitawala nchi hiyo.

  • Viongozi wa Lebanon wasema Israel ni tishio kwa usalama mpakani

    Viongozi wa Lebanon wasema Israel ni tishio kwa usalama mpakani

    Feb 06, 2018 10:47

    Viongozi watatu wa ngazi za juu nchini Lebanon wamesema utawala haramu wa Israel ni tishio kwa uthabiti wa eneo la mpakani.

  • Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Feb 03, 2018 04:11

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon, amejibu madai ya hivi karibuni ya Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel aliyedai kwamba kisima nambari tisa cha mafuta na gesi ya Lebanon katika Bahari ya Mediterranean ni mali ya Israel na kusema, Lebanon sio tonge laini kwa yeyote yule.

  • Hariri aipongeza Hizbullah, ataka uhusiano uliobora na Iran

    Hariri aipongeza Hizbullah, ataka uhusiano uliobora na Iran

    Jan 12, 2018 10:18

    Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri ametoa wito wa nchi hiyo kuwekwa mbali na migogoro ya eneo la Mashariki ya Kati huku akiipongeza Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini hiyo kwa jitihada zake za kupunguza taharuki katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS