Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Kansela wa Ujerumani alaumiwa baada ya silaha za nchi hiyo kuonekana zikitumika Libya

    Kansela wa Ujerumani alaumiwa baada ya silaha za nchi hiyo kuonekana zikitumika Libya

    May 29, 2020 06:39

    Chama cha Kijani ambacho ni moja ya vyama vya upinzani nchini Ujerumani kimemshutumu Kansela wa nchi hiyo Angela Merkel kwa kutoheshimu marufuku ya Umoja wa Mataifa na kumtaka atoe ufafanuzi kuhusu kutumwa silaha za nchi hiyo kwa makundi hasimu nchini Libya.

  • Wanamgambo wa Haftar: Uturuki ni hatari kubwa kwa Libya

    Wanamgambo wa Haftar: Uturuki ni hatari kubwa kwa Libya

    May 29, 2020 06:18

    Msemaji wa wanamgambo wanaojiita "Jeshi la Taifa la Libya" chini ya jenerali muasi Khalifa Haftar amesema kuwa, uingiliaji wa kijeshi wa Uturuki ni hatari sana kwa Libya.

  • Russia yakanusha madai ya US ya kutuma ndege za kivita Libya

    Russia yakanusha madai ya US ya kutuma ndege za kivita Libya

    May 27, 2020 15:51

    Russia imekadhibisha na kutaja kama upotoshaji madai ya Marekani kwamba Mosow imetuma ndege za kijeshi nchini Libya kwenda kuwasaidia wapiganaji wa Khalifa Haftar.

  • Mpango wa siri wa operesheni ya nchi kadhaa za Magharibi dhidi ya Libya wafichuliwa

    Mpango wa siri wa operesheni ya nchi kadhaa za Magharibi dhidi ya Libya wafichuliwa

    May 26, 2020 07:16

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamefichua mpango wa siri wa nchi kadhaa za Magharibi ikiwemo Marekani na Uingereza katika kuwaunga mkono wapiganaji wa jenerali muasi Khalifa Haftar nchini Libya.

  • Kiongozi mmoja wa ISIS atiwa mbaroni nchini Libya

    Kiongozi mmoja wa ISIS atiwa mbaroni nchini Libya

    May 25, 2020 12:13

    Kundi linalojiita "Jeshi la Taifa la Libya" limedai kumtia mbaroni kiongozi mmoja wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini humo.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya: Imarati inakiuka sheria za kimataifa

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya: Imarati inakiuka sheria za kimataifa

    May 20, 2020 07:56

    Mwakilishi wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya (GNA) katika Umoja wa Mataifa amesema: Umoja wa Falme za Kiarabu unakiuka sheria za kimataifa kwa kutuma silaha nchini Libya.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya: Sehemu inayomfaa Khalifa Haftar ni jela tu

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya: Sehemu inayomfaa Khalifa Haftar ni jela tu

    May 20, 2020 00:49

    Muhammad Al-Qiblawi, Msemaji wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya amesisitiza kwamba hakutakuwa na usuluhishi wowote pamoja na wapiganaji wa Khalifa Haftar wanaojiita 'Jeshi la Kitaiga la Libya' na kwamba jenerali huyo muasi hana mustakbali wowote nchini humo.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya: Tunakaribia kupata ushindi mkubwa

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya: Tunakaribia kupata ushindi mkubwa

    May 19, 2020 15:23

    Kiongozi wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya (GNA) Fayez al-Sarraj amesisitiza kuwa vikosi vya serikali yake vinakaribia kupata ushindi mkubwa baada ya kukikomboa kituo cha anga cha al-Watiya kilichoko magharibi mwa mji mkuu wa nchi hiyo,Tripoli.

  • Jeshi la Libya lachukua udhibiti wa uwanja wa ndege za kijeshi kutoka wapiganaji wa Haftar

    Jeshi la Libya lachukua udhibiti wa uwanja wa ndege za kijeshi kutoka wapiganaji wa Haftar

    May 18, 2020 10:43

    Jeshi la Libya leo Jumatatu limechukua udhibiti wa Uwanja wa Ndege za Kijeshi wa Al-Watiya kutoka kwa wapiganaji wa jenerali muasi Khalifa Haftar

  • Ujerumani yalaumiwa kwa kutumia vibaya mgogoro wa Libya

    Ujerumani yalaumiwa kwa kutumia vibaya mgogoro wa Libya

    May 18, 2020 00:41

    Duru mbalimbali duniani zinailaumu Ujerumani kwa kuchochea mapigano nchini Libya na kutojali vikwazo na marufuku ya kutopeleka silaha katika nchi hiyo iliyoathiriwa vibaya na vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS