Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Serikali ya Libya yapinga ombi la Haftar la kusimamishwa vita bila ya kuondoka wanamgambo wake

    Serikali ya Libya yapinga ombi la Haftar la kusimamishwa vita bila ya kuondoka wanamgambo wake

    Dec 06, 2019 07:30

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imekataa ombi la jenerali muasi Khalifa Haftar la kusimamishwa vita bila ya wapiganaji wa jenerali huyo kuondoka katika maeneo waliyoyateka. Kundi linaloongozwa na jenerali huyo muasi anayeungwa mkono na Saudia, Imarati, Misri na baadhi ya nchi, linajiita Jeshi la Taifa la Libya.

  • Maandamano ya kupinga vita yafanyika mbele ya balozi za Imarati katika nchi za Ulaya

    Maandamano ya kupinga vita yafanyika mbele ya balozi za Imarati katika nchi za Ulaya

    Dec 03, 2019 07:39

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano hadi mbele ya balozi za Umoja wa Falme za Kiarabu katika nchi kadhaa za Ulaya.

  • Baraza la Usalama lazionya nchi zinazoendelea kumimina silaha Libya

    Baraza la Usalama lazionya nchi zinazoendelea kumimina silaha Libya

    Dec 03, 2019 07:35

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa onyo kali kwa nchi zinazokiuka azimio la baraza hilo na kuendelea kurundika silaha nchini Libya.

  • Vikosi vya Haftar vyaua raia 14 katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Vikosi vya Haftar vyaua raia 14 katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Dec 03, 2019 03:23

    Kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na Khalifa Haftar linatuhumiwa kufanya mashambulizi ya anga katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli ambayo yameua raia 14.

  • Shehena ya silaha kutoka Imarati yawasili nchini Libya

    Shehena ya silaha kutoka Imarati yawasili nchini Libya

    Nov 29, 2019 11:18

    Duru za habari nchini Misri zimeelezea kuwasili nchini Libya shehena ya silaha kutoka Imarati.

  • UN yakanusha kuwatendea maovu wahajiri walioko Libya

    UN yakanusha kuwatendea maovu wahajiri walioko Libya

    Nov 29, 2019 07:19

    Umoja wa Mataifa umekadhibisha ripoti zinazodai kuwa wafanyakazi wa taasisi hiyo ya kimataifa wamewatendea isivyo wahajiri walioko katika kambi za wakimbizi nchini Libya.

  • Wapiganaji wa Haftar watungua drone ya Marekani 'kimakosa'

    Wapiganaji wa Haftar watungua drone ya Marekani 'kimakosa'

    Nov 26, 2019 04:15

    Kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na Khalifa Haftar limetangaza kuwa lilitungua ndege isiyo na rubani ya Marekani kwa bahati mbaya.

  • Rais wa Chad akosoa vikali uingiliaji wa NATO katika masuala ya ndani ya Libya

    Rais wa Chad akosoa vikali uingiliaji wa NATO katika masuala ya ndani ya Libya

    Nov 23, 2019 07:56

    Rais Idriss Deby wa Chad amesisitiza kuwa, uingiliaji wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) katika masuala ya ndani ya Libya ulipelekea kutokea maafa katika nchi hiyo na kwamba, Afrika haipaswi kubeba peke yake mzigo wa maafa hayo.

  • Sudan na Chad zapokea makumi ya wahajiri waliotimuliwa Libya

    Sudan na Chad zapokea makumi ya wahajiri waliotimuliwa Libya

    Nov 18, 2019 11:38

    Serikali ya Libya imewahamishia katika nchi za Sudan na Chad makumi ya wahamiaji haramu.

  • Mjumbe wa UN Libya alikosoa Baraza la Usalama kwa kushindwa kutatua mgogoro wa nchi hiyo

    Mjumbe wa UN Libya alikosoa Baraza la Usalama kwa kushindwa kutatua mgogoro wa nchi hiyo

    Nov 14, 2019 09:38

    Mkumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amelikosoa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kushindwa kuchukua maamuzi kuhusiana na nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS