-
UN: Imarati, Sudan na Jordan ziliwapa wapiganaji wa Haftar silaha
Nov 10, 2019 07:31Rasimu ya ripoti ya Umoja wa Mataifa imefichua kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu, Sudan na Jordan zimekiuka vikwazo vya silaha vya umoja huo kwa kulipa silaha kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na Jenerali mstaafu Khalifa Haftar.
-
Imarati yatuhumiwa kuhusika na shambulizi la anga lililoua wahajiri 53 Libya
Nov 07, 2019 01:13Nyaraka za siri za Umoja wa Mataifa zinaonesha kuwa, ndege ya kivita ya nchi ajinabi ndiyo iliyotekeleza shambulizi la anga lililolenga kituo cha kuwazuilia wahajiri haramu mashariki mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli na kuua makumi miongoni mwao.
-
Wahajiri haramu 148 waokolewa katika pwani ya Libya
Oct 21, 2019 02:38Gadi ya ulinzi wa pwani ya Libya imefanikiwa kuwaokoa wahajiri haramu 148 waliokuwa hatarini kuzama katika maji ya pwani ya nchi hiyo.
-
Libya yahamishia nchini Misri wahamiaji haramu 95
Oct 18, 2019 03:25Serikali ya Libya imewahamishia nchini Misri makumi ya wahamiaji haramu wanaodaiwa kuwa na magonjwa ya kuambukiza.
-
UN: Rwanda imewapokea wakimbizi 189 kutoka Libya
Oct 12, 2019 07:57Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, Rwanda imewapokea wakimbizi 189 kutoka Libya kufikia sasa.
-
Musa Ibrahim: Libya imeharibiwa kwa lengo la kupora tena utajiri wa Afrika
Oct 08, 2019 04:38Msemaji wa zamani wa utawala wa Libya amesema kuwa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) umevamia na kuibomoa Libya lengo lake likiwa ni kuendelea kupora utajiri wa Afrika.
-
Wapiganaji wawili wa Jenerali Haftar wauawa karibu na mji mkuu wa Libya
Oct 02, 2019 10:51Wapiganaji wawili wa jenerali muasi Khalifa Haftar wameuawa katika mapigano na wanajeshi wa serikali ya Umoja wa Kitaifa inayotambuliwa kimataifa, karibu na mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Gadi ya pwani ya Libya yaokoa makumi ya wahajiri
Sep 30, 2019 02:36Gadi ya Pwani ya Libya imetangaza kuwaokoa wahajiri haramu wapatao 70 baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterania.
-
Haftar atangaza kuwa tayari kufanya mazungumzo na Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya
Sep 27, 2019 12:23Jenerali Khalifa Haftar, kamanda wa jeshi la kitaifa la Libya ametangaza kuwa, yuko tayari kufanya mazungumzo na Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.
-
Raia wanane wa Russia wauawa nchini Libya
Sep 27, 2019 06:52Wanajeshi wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya wamesema kuwa, shambulio la anga lililofanywa na wanamgambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar huko kusini mwa Tripoli, mji mkuu wa Libya, limeua raia wanane wa Russia.