Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya

    Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya

    Sep 27, 2019 02:38

    Waziri Mkuu na Mkuu wa baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka kusitishwa uingiliaji wa Imarati, Misri na Ufaransa katika masuala ya ndani ya nchi yake.

  • Droni ya Imarati yashambulia Tripoli, watu kadhaa wa familia moja wajeruhiwa vibaya

    Droni ya Imarati yashambulia Tripoli, watu kadhaa wa familia moja wajeruhiwa vibaya

    Sep 23, 2019 02:43

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa droni ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imeshambulia eneo moja la makazi ya raia katika mji mkuu wa Libya Tripoli.

  • Watu 18 wauawa katika mapigano baina ya vikosi vya Haftar na serikali, Libya

    Watu 18 wauawa katika mapigano baina ya vikosi vya Haftar na serikali, Libya

    Sep 22, 2019 03:01

    Kwa akali watu 18 wameuawa katika makabiliano makali baina ya vikosi vinavyojiita Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali mstaafu Khalifa Haftar na vile vya serikali ya mwafaka wa kitaifa kusini mwa mji mkuu, Tripoli.

  • Kundi la Jenerali Haftar laua askari 14 wa serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya

    Kundi la Jenerali Haftar laua askari 14 wa serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya

    Sep 20, 2019 14:54

    Askari 14 wa vikosi vya serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya wameuliwa katika mashambulio ya anga yaliyofanywa na vikosi vinavyojiita Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali mstaafu Khalifa Haftar.

  • Makamanda wa Haftar wauawa karibu na Tripoli, Libya

    Makamanda wa Haftar wauawa karibu na Tripoli, Libya

    Sep 14, 2019 11:27

    Wapiganaji watatu wa 'Jeshi la Kitaifa la Libya' wanaoongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wameuawa na wanajeshi wa Serikali ya Mapatano ya Kitaifa Libya inayoongozwa na Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa karibu na mji mkuu Tripoli.

  • Rwanda kuwapokea mamia ya wakimbizi waliokwama Libya

    Rwanda kuwapokea mamia ya wakimbizi waliokwama Libya

    Sep 11, 2019 07:01

    Serikali ya Rwanda imekubali kuwapokea mamia ya wakimbizi na watu wanaotafuta hifadhi waliokwama nchini Libya.

  • Vikosi vya Haftar: Hatutaki mazungumzo, mapigano ndiyo njia bora ya suluhu

    Vikosi vya Haftar: Hatutaki mazungumzo, mapigano ndiyo njia bora ya suluhu

    Sep 08, 2019 12:10

    Wapiganaji wa jenerali mstaafu wa Libya, Khalifa Haftar wamepinga mwito wa Umoja wa Mataifa wa kurejea katika meza ya mazungumzo, wakisisitiza kuwa vita ndiyo njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro unaoikabili nchi hiyo.

  • Baraza la Usalama UN lataka utatuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya

    Baraza la Usalama UN lataka utatuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya

    Sep 06, 2019 02:27

    Mkuu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesema kuwa wanchama wa baraza hilo wanasisitiza udharura wa kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi nchini Libya

    UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi nchini Libya

    Sep 04, 2019 07:56

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi nchini Libya.

  • UN yatahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vikubwa vya ndani nchini Libya

    UN yatahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vikubwa vya ndani nchini Libya

    Aug 30, 2019 13:22

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea kusikitishwa sana na hali inavyoendelea hivi sasa nchini Libya na kutahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vikubwa vya ndani katika nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS