-
Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia
Aug 11, 2023 02:19Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 27 ya wahajiri wa Kiafrika katika jangwa la magharibi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Tunisia.
-
Iran na Libya zatangaza azma ya kuimarisha uhusiano
Jul 25, 2023 15:19Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Libya wamesisitiza azma ya viongozi wa nchi mbili ya kupanua uhusiano wa pande mbili.
-
Libya yawahukumu watu 37 kwa kusababisha vifo vya wahamiaji 11
Jul 11, 2023 11:02Mahakama nchini Libya imeidhinisha hukumu kali kwa watu 37 waliotuhumiwa kujihusisha na magendo ya binadamu. Watu hao wanatajwa kusababisha vifo vya wahajiri waliokuwa wakijaribu kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania. Haya yameelezwa na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Libya.
-
Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni
May 15, 2023 10:41Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia umeelekea Tripoli mji mkuu wa Libya kwa ajili ya kuchuguza taratibu za kufungua tena ubalozi wa nchi hiyo nchini Libya.
-
Umoja wa Ulaya na mchango wake katika uhalifu dhidi ya ubinadamu nchini Libya
Mar 30, 2023 02:15Wakati wimbi kubwa la wakimbizi linaendelea kumiminika Libya wakiwa na matumaini ya kuvuka bahari na kufika Ulaya, nchi hiyo ya Afrika sasa imekuwa Jahanamu kwa wakimbizi na wahamiaji, kiasi kwamba wengi wao wananyanyaswa kimwili na kiakili na hata kuuawa.
-
UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya
Mar 28, 2023 07:25Jopo la uchunguzi la Umoja wa Mataifa limesema kwamba, kuna ushahidi unaoonyesha kuwa jinai dhidi ya binadamu zimefanywa dhidi wa wananchi wa Libya na wahajiri waliokwama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, wakiwemo wanawake wanaolazimishwa kuingia kwenye utumwa wa kingono.
-
Libya: Mapatano kati ya Iran na Saudi Arabia ni kwa maslahi ya nchi za Asia Magharibi
Mar 13, 2023 02:42Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya imetoa taarifa na kukaribisha mapatano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia na kueleza kuwa, mapatano hayo yana maslahi kwa nchi mbili na eneo zima la Asia Magharibi kwa ujumla.
-
Mchango wa NATO katika kuimarika magaidi barani Afrika
Mar 08, 2023 02:25Uwepo wa makundi ya kigaidi amilifu katika maeneo mbalibali barani Afrika hususan katika eneo la Sahel Afrika umekuwa tatizo na kikwazo cha kurejesha amani katika mataifa ya aeneo hilo.
-
Juhudi za kuweko mwafaka wa makundi ya kisiasa kwa ajili ya uchaguzi nchini Libya
Feb 23, 2023 02:32Katika hali ambayo Libya ingali inakabwa koo na jinamizi la mgogoro mkubwa wa kisiasa, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika nchi hiyo ameyatolea mwito makundi ya kisiasa ya nchi hiyo kufikia mwafaka na kauli moja kuhusiana na kuitishwa uchaguzi mwaka huu sambamba na kuongeza ushirikiano kwa minajili ya kuhitimisha mkwamo wa sasa wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Juhudi za kuandaa sheria na kufanyika uchaguzi nchini Libya
Jan 11, 2023 02:32Kufanyika uchaguzi nchini Libya na kuingia madarakani serikali yenye ridhaa ya wananchi na kwa mujibu wa mchakato wa demokrasia ndio takwa kuu na la kimsingi la wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.