Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Aug 11, 2023 02:19

    Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 27 ya wahajiri wa Kiafrika katika jangwa la magharibi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Tunisia.

  • Iran na Libya zatangaza azma ya kuimarisha uhusiano

    Iran na Libya zatangaza azma ya kuimarisha uhusiano

    Jul 25, 2023 15:19

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Libya wamesisitiza azma ya viongozi wa nchi mbili ya kupanua uhusiano wa pande mbili.

  • Libya yawahukumu watu 37 kwa kusababisha vifo vya wahamiaji 11

    Libya yawahukumu watu 37 kwa kusababisha vifo vya wahamiaji 11

    Jul 11, 2023 11:02

    Mahakama nchini Libya imeidhinisha hukumu kali kwa watu 37 waliotuhumiwa kujihusisha na magendo ya binadamu. Watu hao wanatajwa kusababisha vifo vya wahajiri waliokuwa wakijaribu kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania. Haya yameelezwa na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Libya.

  • Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni

    Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni

    May 15, 2023 10:41

    Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia umeelekea Tripoli mji mkuu wa Libya kwa ajili ya kuchuguza taratibu za kufungua tena ubalozi wa nchi hiyo nchini Libya.

  • Umoja wa Ulaya na mchango wake katika uhalifu dhidi ya ubinadamu nchini Libya

    Umoja wa Ulaya na mchango wake katika uhalifu dhidi ya ubinadamu nchini Libya

    Mar 30, 2023 02:15

    Wakati wimbi kubwa la wakimbizi linaendelea kumiminika Libya wakiwa na matumaini ya kuvuka bahari na kufika Ulaya, nchi hiyo ya Afrika sasa imekuwa Jahanamu kwa wakimbizi na wahamiaji, kiasi kwamba wengi wao wananyanyaswa kimwili na kiakili na hata kuuawa.

  • UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya

    UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya

    Mar 28, 2023 07:25

    Jopo la uchunguzi la Umoja wa Mataifa limesema kwamba, kuna ushahidi unaoonyesha kuwa jinai dhidi ya binadamu zimefanywa dhidi wa wananchi wa Libya na wahajiri waliokwama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, wakiwemo wanawake wanaolazimishwa kuingia kwenye utumwa wa kingono.

  • Libya: Mapatano kati ya Iran na Saudi Arabia ni kwa maslahi ya nchi za Asia Magharibi

    Libya: Mapatano kati ya Iran na Saudi Arabia ni kwa maslahi ya nchi za Asia Magharibi

    Mar 13, 2023 02:42

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya imetoa taarifa na kukaribisha mapatano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia na kueleza kuwa, mapatano hayo yana maslahi kwa nchi mbili na eneo zima la Asia Magharibi kwa ujumla.

  • Mchango wa NATO katika kuimarika magaidi barani Afrika

    Mchango wa NATO katika kuimarika magaidi barani Afrika

    Mar 08, 2023 02:25

    Uwepo wa makundi ya kigaidi amilifu katika maeneo mbalibali barani Afrika hususan katika eneo la Sahel Afrika umekuwa tatizo na kikwazo cha kurejesha amani katika mataifa ya aeneo hilo.

  • Juhudi za kuweko mwafaka wa makundi ya kisiasa kwa ajili ya uchaguzi nchini Libya

    Juhudi za kuweko mwafaka wa makundi ya kisiasa kwa ajili ya uchaguzi nchini Libya

    Feb 23, 2023 02:32

    Katika hali ambayo Libya ingali inakabwa koo na jinamizi la mgogoro mkubwa wa kisiasa, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika nchi hiyo ameyatolea mwito makundi ya kisiasa ya nchi hiyo kufikia mwafaka na kauli moja kuhusiana na kuitishwa uchaguzi mwaka huu sambamba na kuongeza ushirikiano kwa minajili ya kuhitimisha mkwamo wa sasa wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Juhudi za kuandaa sheria na kufanyika uchaguzi nchini Libya

    Juhudi za kuandaa sheria na kufanyika uchaguzi nchini Libya

    Jan 11, 2023 02:32

    Kufanyika uchaguzi nchini Libya na kuingia madarakani serikali yenye ridhaa ya wananchi na kwa mujibu wa mchakato wa demokrasia ndio takwa kuu na la kimsingi la wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS